Dah dah dah Janjaweed hebu nikumbushe first leg yetu na Liver ilikuwaje? Mbona kutafuta kujiaibisha mwenyewe mkuu?
Si ninyi mliosema Chelsea haina wachezaji wa kumfunga Arsenal leo? Si ninyi mliosema Chelsea haina wachezaji wa kumfunga Man city....haya bana vyenu vidole kubofya...sie mpira tu...!!!
Ni kweli ninakubaliana na wewe.Ndugu,
Hawa wakubwa tunatakiwa tuwaeshimu kwa kukaa nyuma na kuhakikisha defensi tupo poa ndio tuanze kushambulia tena kwa kustukiza.
Inshort Wenger is too predictabla now adays.
Mkuu katika mpira, kila mara timu inaposhindwa huwa ni tatizo la management kuanzia kwenye bodi mpaka kwa manager na timu yake ya management. Cha muhimu ni njia inayotumika katika kutatua tatizo. Ndiyo maana timu yako huwa inafukuza manager kwa sababu hiyo ndiyo style yake katika kupambana na tatizo. Sisi kama Arsenal tunaangalia mpira katika angle nyingine, ndiyo maana hatufukuzi manager ili kutatua tatizo la kushindwa mechi kadhaa na kikubwa kabisa, matatizo ya kufungwa mechi kadhaa kati ya timu na timu ni tofauti.Nashukuru Mkuu Kwa kukubali Kua kuko na shida ktk uongozi!
Lkn Mara nyingi nimekua nikiroroma hapa na kuwambieni ukweli Lkn hua mnabisha! Sasa nazani mmeanza kujionea wenyewe!
No way...Liverpool FC hatushikiki mkuu.December mlikua moto sn mpk mkaanza na nyie kutangaza kutwaa ubingwa msimu huu!
Nataka nikwambie sasa! Ili niwe bingwa lazima zile timu tunazogombania nao ubingwa nizifunge!
Nimechukua point 6 Kwa Man City
Point 4 Kwa Arsenal
Point 4 Kwa Man Utd
Point 4 Kwa Spurs
Liverpool point 3.
Adui yng mkubwa Kwa sasa na nguvu nyingi naelekeza Kwa kila game na kwako wewe Liverpool
No way...Liverpool FC hatushikiki mkuu!
Na siku nikitua hapo Anfield hao kina Suarez, Sturidge, Cotinho, Stearling, Aleyn, Lucas yani huto waona kabisa uwanjani! Ulikuja kwangu darajani December unakumbuka nilivyokupiga? Na uikumbuke game Yangu ya Man City nilivyompiga!
No way...Liverpool FC hatushikiki mkuu.
Asante Mkuu!
Bouncing back mtaifanya Kwa City na Everton na hao mnaogombania top four Lkn sio Mimi bingwa! Nimeshamaliza biashara na wewe kz iliyo mbele yng ni kuipiga Liverpool pale Anfield tu!
Let's see next season dude!
Leo imekuwa siku mbaya sana kwa upande wangu...
kumbe mshakuwa mabingwa!
Kuna uwezakano mkubwa, hawa jamaa fixture yao iko vizuri.
kumbe mshakuwa mabingwa!
tulipigwa 2-1 tukiwa na wakubwa nje... Gerro, Sturridge, Johnson, Agger, etcDah dah dah Janjaweed hebu nikumbushe first leg yetu na Liver ilikuwaje? Mbona kutafuta kujiaibisha mwenyewe mkuu?
Si ninyi mliosema Chelsea haina wachezaji wa kumfunga Arsenal leo? Si ninyi mliosema Chelsea haina wachezaji wa kumfunga Man city....haya bana vyenu vidole kubofya...sie mpira tu...!!!
December mlikua moto sn mpk mkaanza na nyie kutangaza kutwaa ubingwa msimu huu!
Nataka nikwambie sasa! Ili niwe bingwa lazima zile timu tunazogombania nao ubingwa nizifunge!
Nimechukua point 6 Kwa Man City
Point 4 Kwa Arsenal
Point 4 Kwa Man Utd
Point 4 Kwa Spurs
Liverpool point 3.
Adui yng mkubwa Kwa sasa na nguvu nyingi naelekeza Kwa kila game na kwako wewe Liverpool
Na siku nikitua hapo Anfield hao kina Suarez, Sturidge, Cotinho, Stearling, Aleyn, Lucas yani huto waona kabisa uwanjani! Ulikuja kwangu darajani December unakumbuka nilivyokupiga? Na uikumbuke game Yangu ya Man City nilivyompiga!