Si unaona unakodolea mpira wa timu zinazocheza ndinga la uhakika unafikiri hizi ni timu kama ka=timu kako kanakonunua matokeo? Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
HF...team iko vizuri, shida ni ndogo tu kwamba bado hatujijamini na hatukai na mpira, ule mpira wetu tuliozoea hatujaucheza bado, kama refa hatawabeba hawa mbwaku...basi tuna goli zaidi ya 3 leo...
Ngoja turudi mapumziko mtaona maajabu ya futbo.