Nzi umewacha Manu na kumshabikia Jose?
Arsene sio rahisi kumjibu Jose kwani watu hawatotofautisha nani mwenye wazimu,
Kuna timu zina pesa kutokana na mabilionea wao na kuna timu wamejaribu kuweka mfumo wa mapato kutoka ndani ya club, Jose anajaribu mind game lakini sijui kama ataweza kufika mbali hata kwenye msimu huu inawezekana kutokufika mbali pia