Arsenal (The Gunners) | Special Thread

We didnt spend "Big" in January...huenda ikawa ni sababu ya kuukosa ubingwa
 
Mkuu una ushabiki wa ajabu!!!! Van persie aliwakosa mara tatu. Pamoja na kugongesha mwamba mara mbili, Bado tu huamini na nyie mliponea kwenye tundu la sindano?

 


Sasa Umekosea! Ungeshabikia li Chelsea la Mourinho kuliko Hiyo timu ina ukame Wa makombe!
 
Sasa Umekosea! Ungeshabikia li Chelsea la Mourinho kuliko Hiyo timu ina ukame Wa makombe!
Sitaki hata kulisikia hilo Lichelsea.

Wewe endelea tu kulishabikia huku nalo likiendelea kununua vikombe mbali mbali.
 
Sitaki hata kulisikia hilo Lichelsea.

Wewe endelea tu kulishabikia huku nalo likiendelea kununua vikombe mbali mbali.


Sasa Wewe unashabikia li timu lenye jezi nyekundu badala ya ya buluu km zile nguo zetu za machungani!

Utapigwa radi ukivaa nguo nyekundu machungani!

Chelsea ndio bingwa!
 

its time wenger to correct his mistake he has to make sure this coming summer transfer he buy atleast one super striker whatver the cost otherwise ubingwa msahau mpk wenger atakapoondoka arsenal
 
Sasa Wewe unashabikia li timu lenye jezi nyekundu badala ya ya buluu km zile nguo zetu za machungani!

Utapigwa radi ukivaa nguo nyekundu machungani!

Chelsea ndio bingwa!
Hilo halina tatizo hata kidogo. Nikiyavaa sikai karibu na mti wakati nikiwa machungani!.

Litimu gani hilo lina kiwanja kwenye sehemu ya matajiri matajiri utadhani washabiki wake wote ni matajiri wakati wengine ni wakulima wa pamba na mahindi Kama kina Ntuzu
 
Last edited by a moderator:


Ha ha ha ha haaaaaa!

Bahebu ahene onepandeka sn!

Ndio timu Nzuri Hiyo! Ata mashabiki wake harufu ya hela inakua inawanukia!

Wewe timu yako eti lighala la silaha nawakati Ng'wamapalala kumejaa mishale tu!
 
Last edited by a moderator:
acha povu wewe,hujui kuwa hawa walibeba ndoo za kutosha?acha kujitoa fahamu

Ndoo za kutosha ukiwalinganisha na Gerrard ama? Kwa sababu, hata ukiwajumuisha hao wote bado hawamfikii Giggsy...infwakti, Giggsy amebeba makombe ya EPL sawa na yale ya goons katika historia ya goons...
 
Sasa Umekosea! Ungeshabikia li Chelsea la Mourinho kuliko Hiyo timu ina ukame Wa makombe!

Tulia wewe mnyantuzyu kule uliko wewe ni Genge tu la watu wenye interest ya aina 1 walijikusanya eti na wao wakajiita timu.
 
Mkuu una ushabiki wa ajabu!!!! Van persie aliwakosa mara tatu. Pamoja na kugongesha mwamba mara mbili, Bado tu huamini na nyie mliponea kwenye tundu la sindano?
Kutukosa mara tatu au saba hakuwezi kuondoa ukweli wa mchezo kwa jinsi ulivyokuwa umepangwa na mameneja wa timu mbili.

Hiyo hoja yako haisimami kwenye Man United ya zamani kabla ya Moyes. Hii ya sasa inacheza mpira wa smash-and-grab.

Kila timu haikutaka kupoteza point kwa maana nyingine kila timu ilikuwa inacheza kwa uwoga kutokana na matokeo ya weekend as a result, hata mechi ilikuwa hata haivutii kuiangalia. No movement.

Man United is terrible and is there for the taking while Arsenal team was playing with fear for unknown.
 
Vijana walicheza wakiwa na hand break mkononi haina shida ..... ...... ........... kitaeleweka tu huko mbeleni ..... ... .. COYG






Morinyo ameanza kuweweseka .... .... ......





No way past: Wojciech Szczesny pulled off a stunning save
from Juda Iskariot on Wednesday








Point blank: The Arsenal keeper tipped a header
from Manure's striker onto the crossbar

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…