Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Duh leo mtu 3 tu ndani ya Jukwaa Bigup sana Balantanda na Piere. Fm
......hehehh,.....kwa raha zetu, #Mburukenge wanalala mapeema siku hizi ....#Weshajizoelea .
Last edited by a moderator:
Duh leo mtu 3 tu ndani ya Jukwaa Bigup sana Balantanda na Piere. Fm
Arsenal for life....asanten kwa kutuwakilishaDuh leo mtu 3 tu ndani ya Jukwaa Bigup sana Balantanda na Piere. Fm
BFG, Podolski, Ozil, Gnabry, Zalalem, Eisfeld next germany is Draxler. Media zitaanza kutuchukia tena sababu ya wajerumani.
Ndo BFG huyo!per merteseker
humu ndani nimepamiss sana asee...hope kila member ni mzima hapa
after all gunners wanazidi kutupa raha daily
Mkuu naona Ratiba ya Febrary, ni ngumu sana.
Ila nina Matumaini tutaweza kuchukua Point zetu zote.