Mkuu NC walikuwa wamejiandaa na baada ya kuwa goli moja down walikuwa hawana cha kupoteza bali kushambulia, strategy yao ilikuwa kupata goli la kushtukiza lakini mbinu yao imegonga mwamba. Vijana wamekomaa nao vile vile usisahau away games ni ngumu sana waulize Manshity walivyopata tabu jana na CP, na hio ndio sababu Prof hakumwondoa Giroud kwa sababu alikuwa na third thinking kwamba atapata nafasi na ataitumia kama ilivyojiri tuwangoje sasa Cardif new year ... .. ... .. .. Emirates .... ..
Mimi kwangu MOTM alikuwa ni Per Mertesacker ambae aliiongoza vema safu ya mabeki wa Arsenal ambayo alikuwa ina kazi ya kushughulikia mipira mingi ya juu iliyokuwa ikielekezwa langoni mwa Gunners.