Timu kubwa gani haijachukua kombe miaka 8,Timu kubwa gani inafungwa goli 8,Timu kubwa gani haijawahi kuchukua UEFA Champions League .Kama umekosa cha kuandika bora ukae kimya
Haya basi timu kubwa ni Man u ndo maana inaongoza ligi na haijawahi kufungwa goli tano na kuendelea
Arsenal itakua vipi bora wakati inashika nafasi ya 6..?
25 minutes na ushee Caz anafanya two mistakes, so far not at his best Rosicky kajaribu one shoot Jack kajaribu glorious pass missed Giroud not on the game as yet ... ... ... .... .... ...
Haya basi timu kubwa ni Man u ndo maana inaongoza ligi na haijawahi kufungwa goli tano na kuendelea
Arsenal itakua vipi bora wakati inashika nafasi ya 6..?