Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nasubiri hizo dkk 20 ili nikatulie mbele ya TV nikiwaangalia vijana wakimuadhiri mtu nyumbani kwake. Siyo siku zote mcheza kwao hutuzwa 🙂
 
Teh teh teh teh teh teh Naona mnanenepesha Ng'ombe siku ya Mnada....kila laheri watani!
 
Jamani mpo? Natuma salamu zangu za dhati kwa rafiki yangu Balatanda popote alipo ....mwambieni matokeo, Arsenal 1 Liverfool 0
 
Jamani mpo? Natuma salamu zangu za dhati kwa rafiki yangu Balatanda popote alipo ....mwambieni matokeo, Arsenal 1 Liverfool 0

Teh teh..Mi nipo bwana sikimbii na kulitelekeza jukwaa kama wewe,kama kawaida yangu nasubiri dakika 90..Liverpool hawajacheza game ya kutisha sana so twaweza kusawazisha 2nd half na kuongeza pia
 
mambo wakuu? mpo?

niliwakaribisha wodini naona msipoangalia you will stay here for looong time, sie tushazoea
 
Teh teh..Mi nipo bwana sikimbii na kulitelekeza jukwaa kama wewe,kama kawaida yangu nasubiri dakika 90..Liverpool hawajacheza game ya kutisha sana so twaweza kusawazisha 2nd half na kuongeza pia

Muingize timu ya wakubwa labda ndugu yangu! Umeona penalty mlivyobebwa?
 
bora angeanza eboue kuliko walcott dogo sijui lini atapata confidence na akili ya mpira.

Walcott na Arshavin wanakimbiakimbia tu na kupoteza mipira hovyo uwanjani..Pia dogo Traore kageuzwa njia,wanampelekesha mnooo.Kiungo chetu hakina maelewano kabisa,ho[e watabadilika 2nd Half
 
Mkuu Masanilo usisahau kwamba mpira ni dkk 90 ati! na chochote kile kinaweza kutokea na sisi kuzoa points zote tatu 😉
 
50'
alert_icon2.gif
GOAL FOR ARSENAL! Glen Johnson turns the ball into his own net!
 
We keeping rolling
not hating
torrential rains predicted!!! hahaaa
 
We keeping rolling
not hating
torrential rains predicted!!! hahaaa

Not today Mkuu, according to weather forecast 🙂 What a Finish! From Russia with Love ha ha ha ha ha Let's go GUNNERS!
 
Back
Top Bottom