Arsenal (The Gunners) | Special Thread

















Kama kawa Prof na Giroud wakiwa kwenye press conf. kabla ya mtanange
wa kukata na shoka kesho ... ..... .. COYG






We jamaa iyo identification yako nmeiona kweny group moja hv ya arsenal kule sura kitabu
 
dah...mech 2liofungw na hawa kenge nilipokelewa nyumban kwang na kundi kuwa la wana man u ambao ni majiran zang, leo nashangaa ni mke wangu 2 ananipokea, nahisi wanataman kusikuche.....hahahahahahahah sijui kama jumapili hawatahama mtaa kwel; nshaanza kuwa na wasiwasi wa kupoteza mmajiran msimu huu
 
#Mburukenge na #vimburu kimyaaaaaa..... kwa raha zetu walikuwa wanasubiri kufanya karamu kwenye uzi wetu wameondoka bila hata kuaga lol!!!!
 

Hahahahahahahaha hiyo hatari sanaa mkuu, kwamba Gunners wamesababisha mpaka uanze kupoteza majirani??
Hahahahahahahahahahaaaaaaaa!!
 
A huge confidence booster...tukiwachapa na wale MANU 3-1 Jumapili mbona itakuwa shida mtaani!? Hahahahaha lol!!!! #mburukenge hata kuchungulia hawatataka kabisa lol!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…