Huyo chelsea mwenyewe kuna uwezekano atakumbana na the saints,SOUTHAMPTON kwenye capital one,ni lazima apewe za mizengo pinda!Ozil amesema timu ina speed ya Formula 1 nadhani hajakosea,naona kupanga ni kuchagua Chelsea kaingia Robo fainali ya Capital One leo kapoteza Points 3 Muhimu kwenye Premier League,Wenger yeye ameona atolewe Capital One ili ajiimarishe kileleni mwa Premier League sidhani kama kuna ubaya
Huyo chelsea mwenyewe kuna uwezekano atakumbana na the saints,SOUTHAMPTON kwenye capital one,ni lazima apewe za mizengo pinda!
Hahaaa unajua mashabiki wengine wanataka tu mradi kombe hata kama halina TIJA kwa maendeleo ya Club kama umeangalia Bingwa wa Capital One na Fa Cup wanashiriki Eufa Cup nafasi ambazo mshindi wa 5 mpaka 6 nadhani kwenye msimamo wa Premier League ndio wanashiriki angalia Wigan wameshinda FA Cup lakini wameshuka daraja kutoka Premier league hata ukiwauliza kushinda FA na kushuka Daraja watakuambia bora kubaki Ligi kuu kuliko kupata Kikombe cha FA maana wanajua kuwa mapato yatapungua sana kama hawatashiriki Ligi kuu,na ndio maana Wenger anakuambia ni bora ukose Capital One Cup kuliko kutoshiriki Uefa Champions League maana utafanikiwa kupata hela ambazo utaendelea kuimarisha team ili kuja kupata mafanikio na hata wachezaji wenye uwezo kuwapata ni rahisi zaidi ukiwa unashiriki Champions League kuliko kuikosa na ndio maana hata Liverpool wanasema kumuuza Suarez kumpata mchezaji wa kiwango chake ni ngumu kwa kuwa hawashiriki Champions League na ukiangalia wachezaji wengi wanajua kucheza Champions League ni mojawapo ya kujiongezea nafasi za kuitwa kwenye vikosi vya Timu zao za Taifa kwa ajili ya World Cup Brazil 2014
Wacha waangalie wenyewe ooops wanachungulia tu ....
Update
22.10.13 - Champions League: Arsenal 1 v B. Dortmund 2
26.10.13 - EPL: C.Palace 0 v Arsenal 2
29.10.13 - Capital One cup: Arsenal 0 v Chelsea 2
NEXT
02.11.13 - EPL: Arsenal v Liverpool
06.11.13 - Champions League: B. Dortmund v Arsenal
10.11.13 - EPL: Man. Utd v Arsenal
Update
22.10.13 - Champions League: Arsenal 1 v B. Dortmund 2
26.10.13 - EPL: C.Palace 0 v Arsenal 2
29.10.13 - Capital One cup: Arsenal 0 v Chelsea 2
02.11.13 - EPL: Arsenal 2 v Liverpool 0
Next
06.11.13 - Champions League: B. Dortmund v Arsenal
10.11.13 - EPL: Man. Utd v Arsena