Safi sana wanoko wanalia Prof na Gunners tunasonga mbele ..... .. next Napoli J4.
Safi sana wanoko wanalia Prof na Gunners tunasonga mbele ..... .. next Napoli J4.
Hongereni...
Asante Kaka.... Nawe Pole sana... Hope u never expected that BLOW from WBA...Its FOOTBALL.....
Yeah. It is football...United is a big team; so we will bounce back...
Japo ushindi umepatikana ila Wenga january inabidi afanye usajiri. Kunaa wachezaji baadhi ya wakichoka timu itachemsha kama hakuna mbadala.
Its Going to Tough Kaka... NAPOLI wapo SAWA saaana...
Kweli kabisa inabidi timu iwe na wachezaji mbadala...
Kweli kabisa inabidi timu iwe na wachezaji mbadala...
Mapema sana kusema hivyo. Ikifika January ndio tutajua hatima ya kila timu.Hongera Arsenal. Huu mwaka wawezakuwa wenu...kazeni buti
I guess you guyz will bounce back next season... otherwise Moyes is sinking the ship!