Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Usanii huo kaka!

Mkuu,

Unajua inauma sana pale unapofungwa ugenini tena na timu ya Sunderland.

Mimi huwa mechi kama hizi napenda kuona mwenyewe pale uwanjani.

Nakiri kuwa Arsenal wanahitaji "steel" na "inspirational leader" pale katikati. Ni mtu wa aina ya Patrick Vieira ndie atakaewasaidia.

Kuna wakti sikuwaona kabisa Samir Nasri na Eduardo kwa vile walikuwa wametimwa mifukoni kabisa na mabeki mahili wa Sunderland.

Lakini pia international break nayo imewapumbaza sana wachezaji na hata Andrey Asharvin alikuwa bado yupo upset na kutolewa kwa Russia kwenda South Africa.

All in all kipimo cha Arsenal ni jumamosi ijayo na kipimo cha Chelsea ni mwezi January mwakani.

lol
 

Nimeona hili pia mzee mwezangu, all in all Chelsea and Arsenal will be a good encounter najua ubingwa bado uko wazi sana! Pamoja na Kufungwa Arsenal wapo top of the game same to Chelsea....tutafurahia mpira najua!
 
Wacheni longo longo nyie heheheeh!!!
mkuu mbona unapenda fujo sana? watu wnaongea vitu vya maana wewe unasema longo longo ha ha ha.mbona mechi zako kubwa sie hatuwasumbui mkianza kupigiana mikwara?


mie natizama mechi ya leo kwanza lol.
 
Ngoja kwanza Arsenal ishinde au ipate sare tu kesho halafu tujiandae na Chelsea maana tukiwafunga Chelsea jumamosi basi...

mie naona tumefanya maisha magumu sana kupoteza mechi ya sunderland.zile ndio game za kuchukulia ubingwa kama kweli tuko serious.ugonjwa wetu hule hule miaka nenda rudi we cant push for a win,we cant win ugly,tunakuwa so relaxed utasema tumepewa masaa 24 to win the game.
 

Mwana hayo maneno hapo juu ni msumari kny kidonda....hawa watoto sometimes wanacheza kama vibishoo fulani, vinataka kucheza show game just kuonyesha how star they are......wanasahau kabisa objective ya ushindi.....yaani sometimes huoni kama hata wanatafuta goli & ushindi......! Man U competitor wetu but tuwe wakweli those guys have got the so called push for the win kwa kweli......I like that!

Kama juzi,eti baada ya kufungwa ndo wanajifanya kutafuta goli kwa nguvu....wanakuwaga wapi? Nakubaliana na wewe kabisa, Gunners kama tunataka ubingwa pale, lazima tusikubali kupoteza vimechi vya mchangani kama Sunderland vile.....u can expect that from the best & big teams kama Man U, Liverpool, Chelsea.....not hivi vitimu vinavyotafuta pakufia incl Man city......! tukiendelea hivi hivi AR nakuhakikishia hata nne bora tunaweza kosa.......!Yes lazima tuseme ukweli sio tujifariji tu...!

Na pia namuunga mkono Richard tunahitaji jamaa kama Gerrad au Viera au Terry hivi.....kupush for win kuanzia kuhamasisha mashabiki na mpaka wachezaji ndani ya pitch.........!
 
kweli kabisa mkuu huwa wana kera sometimes.magoli mangapi watu wanafunga nje ya kumi na nane? kwanini wao kila saa wanataka kutembea na mpira mpaka kwenye nyavu hata kama hamna nafasi?

kitu kingine umenikumbusha kuhusu wachezaji wa kupush for a win thats true we are missing that na kundi lingine la kulaumiwa wale washabiki wetu wanaojaza emirates stadium hawana nguvu kabisa ya kushangilia ku-push wachezaji kama viwanja vingine vya wenzetu.
 
 
 
Mkuu si halali kulaumu washabiki, basi tuwaazime washabiki wa Burnley! Nyie pale captain wenu yuko slack sana, hawatii motisha wenzake kucheza jihad!

Yes hapa ndo kuna ukweli na ndicho tunacholalamika hapa......ila ile post yako ingine ndo sikubaliana nayo, timu yetu siyo mbovu kihivyo!
 
Yes hapa ndo kuna ukweli na ndicho tunacholalamika hapa......ila ile post yako ingine ndo sikubaliana nayo, timu yetu siyo mbovu kihivyo!

Waambie timu yetu nzuri but sii kisanaaa hasa kwenye maeneo flani. Kwenye ubovu hatupo.
 
Waambie timu yetu nzuri but sii kisanaaa hasa kwenye maeneo flani. Kwenye ubovu hatupo.
Arsenal timu yenu ni nzuri sana, wala haina kasoro katika eneo lolote. Wakati mwingine mnafungwa kama matokeo ya mchezo tu, kwani mpira una kushinda na kushindwa. Ila wakati mwingine mnafungwa kwa mbinu za nje ya uwanja, mnafunwa kisaikolojia. Nanyi mmekuwa wepesi kujiona kuwa hamuwezi, kwa hiyo adui zenu wanafurahi. Ndio maana mashabiki wakifungwa tu wanakata tamaa, na wachezaji nao wanachanganyikiwa. Lakini mkiamua na mkisema tunaweza, mnaweza kusimama na timu yoyote na kuisimamisha.
 
Fellow Gunners, check the preps hizo!











Huyu dogo Wilshere huwa namkubali sanaaa!
 

Attachments

  • gun__1259051041_training23112009_01.jpg
    19 KB · Views: 44
  • gun__1259051054_training23112009_02.jpg
    22 KB · Views: 42
  • gun__1259051065_training23112009_03.jpg
    19.1 KB · Views: 46
  • gun__1259051115_training23112009_08.jpg
    18.1 KB · Views: 42
  • gun__1259051094_training23112009_06.jpg
    37.6 KB · Views: 44
Problem kubwa ya Arsenal ,hatuna golikipa wa kutupatia ushindi ambaye anaweza kusave magoli ambayo ni unsavable kama vile Van or Petr Cech.Katikati hatuna "authority" midfielder kama alivyokuwa Viera yaani mbabembabe ambaye anaweza kupambana na yeyote yule aje Gerald,Lampard or anybody else.Ambaye pia ana uwezo wa kuhamasisha wenzie na vile vile kukaa na mpira.Matatizo mengine ni madogo madogo ambayo kila timu inayo.
 
Ninatamani SAF auze wale mapacha na kuwanunua Diaby na Sagna. Arsenal msiniue, wachezaji ni biashara tu lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…