Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Taja watatu? alafu Henry huwezi kujivunia kuwa kaibuliwa na Arsenal. Tatizo lenu mnaanzia kufuatilia wachezaji wakishafika Arsenal.

kw hyo unataka kusema henry alkuwa star kabla ya kuja arsenal, naomba nipe vigezo mkuu...



Acha hizo wewe ... Henry huko kote alikotoka alikuwa ni winger ..

Nani aliyemtengeneza akawa striker na finisher mzuri?

Jibu unalo hata kama hutaki kusema ?

Kwani alipokuwa Winga Monaco hakuwa anafunga?



Henry amekuja Arsenal akiwa ni world cup winner na ndio alikuwa mfungaji mwenye magoli mengi zaid kwa timu ya Ufaransa kwenye michuano hiyo ya mwaka 1998. Sidhani kama haujui mpira vizuri unaweza kuchaguliwa kwenye kikosi cha wakati huo cha Ufaransa kilichokuwa na vipaji kibao, achilia mbali kuwa mfungaji bora wa timu.
 

Hata Torres s.africa alikuwa mfungaji Bora lakini nani mchezaji bora wa dunia according to Fifa ? ..

Kuwa na magoli mengi katika world cup doesn't make mchezaji kuwa world best ..

Ukweli utabaki under wenger .. Henry amekuwa converted na kuwa finisher mzuri zaidi ...
 

OLEG SALENKO wa russia alikuwa kati ya waliofunga mabao mengi World Cup ya 1994 USA akifukuzana na Romario wa brazil lakini hakuwa mchezaji mwenye mafanikio kabra na baada ya hapo, hivyo naendelea kusisitiza Henry ametengenezwa Arsenal na mzee Wenger hadi kuwa World Class prayer.
 
Jamani wana Arsenal wenzangu naomba tukae kimya,tumeongea mno mpaka wapinzani wanafura kwa jazba...tusubiri vitendo uwanjani,vitendo vikiongea hamna atakaye criticize any more!

Kweli aisee, naifike mahali tuache miguu ya wachezaji iongee.., tupunguze presha bandugu...
 



Mh. Viper
Naona umeanza ku-flip flop kwenye argument yako. Hatuongelei mchezaji bora wa dunia hapa, na kwanza hata Henry mwenyewe hajawahi kuwa mchezaji bora wa Dunia according to FIFA.
 
Bit late but well done Monsieur for signing Ozil. Now a few more in the next windows please. Thanks for finally listening :becky:
 




Friends already? Alex Oxlade-Chamberlain is among
the first Arsenal players to meet
Mesut Ozil





New surroundings: Ozil has been pictured at Arsenal's
London Colney training ground for the first time






Club and country:
Lukas Podolski and Ozil have already combined
for the Germany national team






Classy operator: Ozil again highlighted his ability
in Germany's 3-0 win away to the Faroe Islands




BTW Sherehe za kumpongeza Rafa zilifana baada ya kumrarua Joka pale NY.
 
Reactions: BAK

Mbona anarembua hivyo? Au ndiyo pusti?! khe khe khe khe khe
 
Arsenal:
Szczesny, Jenkinson, Sagna, Koscielny, Gibbs, Wilshere, Flamini, Ozil, Walcott, Giroud, Ramsey.

Subs:

Vermaelen, Monreal, Fabianski, Frimpong, Miyaichi, Gnabry, Akpom.
 
Kama kawa dadadek ozil assists,giroud goal

Unajua maana ya kama kawa wewe Goons? Hii ni mara ya kwanza kwa Ozil na Giroud kucheza; sasa kama kawa ipi? Ya Ozil kutoa pasi ama Giroud kufunga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…