Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mashabiki wa Arsenal humu ndani leo wapo wapi? Hata yule Mama yao (Wacha1)simuoni
 
......hehe, it is only a game mkuu! Umetushikia bango mapema yote hii?
Ngoja kibao kigeuke!
 
Arsenal anaangaika kuuchomoa mpaka sasa kapata moja kupitia kwa Graud
 
Naona Arsenal wanaangaika kuuchomoa lakini waangalie wasichomoe na mavi tu
 
......umeshindwa hata ku update final score!

......haya mkakojoe mlale. Hafungwi mtu hapa msimu huu!
 
......umeshindwa hata ku update final score!

......haya mkakojoe mlale. Hafungwi mtu hapa msimu huu!

Mwaka huu Arsenal ushindi wenu suruh tu. Babu AW alivurugwa asijue nini chakufanya
 
Kuna watu wanasema wao sio arsenal lakini mioyoni mwao wanaipenda, leo watu wameongea sana baada ya FULL TIME nikaona kama kuna ukimya Fulani inanikumbusha TOTTENHAM wanavyosajili wachezaji kwa fujo mwishoni mwa ligi inakuwa ya TANO wanaitafuta UEFA CHAMPIONS LEAGUE kwa nguvu zote !
 



Respect: Arsene Wenger (right) and Rafael Benitez (left)
share a word before the 2-2 draw






Take that ... ..
Girouds acrobatic ..... second half comeback ...
Huyu kijana noma .... ....





Take that: Gonzalo Higuain is tackled by Laurent Koscielny


 


Running man: Arsenal's internet star was welcomed back
to the club for the Emirates Cup by Lukas Podolski






Internet star: 'The Running Man' attempts to keep pace
with the Arsenal team bus in Vietnam








Dream: He was welcomed onto the team bus
and got to meet his heroes, with his shirt being signed (below)









Baada ya kulifukuza bus la Gunners kule vietnam
.. .. ... amepewa zawadi ya kuwaona Vijana LIVE hapa oops pale Emirates jana .
... ..​
 
Nachikia peas of ants ooops wanoko nao wameanza kampeni wanalitafuta bus la Gunners ili mradi tu na wao wakaribishwe Emirates khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ... ..... thubutu! Hatukaribishi wauza unga ..... ...
 
Jana muliweza kuuchomoa japo harufu ya haja kubwa ilisikika, leo je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…