BAK hivi unawezaje kununua mchezaji nyota au kumbakiza ukiwa na Strict wage structure? Falcao,Benzema,Rvp,Rooney utaweza kuwanunua ishu kuwalipa! Na ndo balaa tulilokuwa nalo ndugu
Gunners wakitaka kufanya kweli basi wanaweza hakuna pingamizi.
Arsenal shareholder Alisher Usmanov criticises the club
Hivi kwa mfano ungekuwa wewe usingeshangilia kupata nafasi ya kucheza UCL?.....
Rafael Benitez bado hamumtaki? Alafu ebu peruzi kwenye mitandao ya Arsenal utagundua kitu ndo maana nimeweka muhtasari kwenye post moja hapa! Ile balaa la kifedha na kunyanyasika kwa miaka 8 limeisha na sasa tutaishi maisha mapya!
Tangu 2005 Arsenal imelazimika kuishi maisha magumu "prudent financial model" na ikalazimika kuweka strict wage structure na wachezaji nyota ikawa vurnelable kukaa nao wakawa wakitaka mishahara mikubwa wanaondoka...karibu wachezaji nyota wote walifuata pesa na vikombe ispokuwa Fabregas na Reyes (Home sick)
Taarifa ya September mwaka jana kwenye kikao cha Board na Arsenal supporters trust (AST) wenger alisema "tutaanza kushindana baada ya miaka 2 kwani sasa hatuwezi kushindana na vilabu vikubwa vyenye pesa" Miaka 2 ni kuanzia season ijayo kwani Deni la miaka 8 la uwanja £360+interest rates (adjusted inflation) limeisha nadhani hujui limelipwaje nakujuza Tv revenues,Ticket sales,merchandise revenues,kuuza wachezaji nyota,na recently pesa zimetokana na mikataba mipya ya Fly Emirates na Puma!
That financial madness is behind us no more silly exodus timu itajengwa kupitia british spine ya wilshere,jenkinson,ramsey,oxlade chambelain,theo walcott,gibbs hawa wamesaini miaka 5 mwaka jana kwani watakaa sana ukichanganya na wageni wengine kama Arsene 96 alivyowakuta keown,adams,wright,winterburn,bould,parlour,seaman na Lee dixon nae akaongeza wafaransa wake unakumbuka manyanyaso uliyoyapata kabla ya 2003 Russian revolution!
WENGER ndo kocha wa kutuondoa hapa tulipo kama kipindi cha mpito amegangamala pamoja na bajeti finyu kama ya Everton ila hatujawahi kumaliza nje ya CL spot na kama akicheza karata zake vizuri kwenye transfer tutapambana next season hata kama hatutofanikiwa kupata kombe ila wenger kasema "top 4 spot is not enough next season we'll have to challenge major honours.
Alafu acha ushabiki wa kitoto kushinda hapa unabwabwaja
Najua washabiki wa Arsenal are the most deluded fans in the world. Wakati wa ku-renew season ticket umefika mtapewa promise kibao, lakini hakuna cha maana kitafanyika. Arsenal ni ya nne kwenye EPL kwa wage bill, kwa hiyo kumaliza ya nne sio overachievement kama unavyotaka tuamini, that's exactly where you belongs. BTW, hongera kwa kunyakuwa hicho kikombe chenu, lini mnaparade mitaa ya London kwenye open top bus....hahaha.
Kinachokusumbua ni ushabiki wa kiswahili kama Julio maana sioni point unazoweka ila pumba wasubiri wengine unaowezana nao aisee
Tushawazoea na porojo zenu
Kinachokusumbua ni ushabiki wa kiswahili kama Julio maana sioni point unazoweka ila pumba wasubiri wengine unaowezana nao aisee
Kama mmetuzoea mbona mlimlilia judas? wacha ngebe kijana. nenda kwenye uzi wenu wa mashoga khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kinachonifurasha ni kuwa mashoga waliwabungua 8
usipindishe hoja hao unaowaita mashoga wamewabungua mara ngapi?Mkuu ushoga ni deal kule UK hata waziri mkuu yupo kwenye mpasuko kuhusu ushoga .... .... BTW wewe ni shoga au wanakusingizia tu? Maana huwezi kupenda ushoga kama wewe chio shoga khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hebu tuweke sawa hapa!
Kumbuka msema kweli ni kipenzi cha mwenyezi mungu.
Kashengo usihangaike na hawa yatima, si ulisikia yule mrusi amekufa bila kuwa na chochote baada ya dhuluma kule kwao. Anayefuatia ni Abraham o Vic akifa na timu inakufa hawa wanaangalia pua zao wanafahamu mziki wa Gunners enjoy summer tu chacha. Wacha wachubiri kula matapishi yao, hivi uliona kuna mtu anakula matapishi na kusifia ati ni chakula bora? wanaosifia ndio hao unawaona wanajipitisha pitisha.
Huyu jamaa ni purely glory hunter! Timu yake ikicheza anakuwa shimoni kama digidigi na unaweza shangaa wanatumia mega money na ligi waka jana wamemaliza wa 6 na mwaka huu wako 2 points above Gunnerz...ATALAMBA matapishi soon huyu msakatonge...mtotowamjini alikuwa sahihi jamaa kawa chelsea 2004 baada ya Mou kuja England
Usipate shida sana ya kutaka kujua lini nimeanza kushabikia Chelsea. Nimeanza kwenda Stamford Bridge kabla sijatimiza miaka 10 na sasa niko kwenye 30s. Nina hakika hiyo ni hesabu rahisi sana hata kwa kichwa panzi kama wewe kujua kwamba sijaanza 2004. Ninashabikia Chelsea kwa sababu ya address, nimeiona ikicheza daraja la pili hapo Darajani. Kesi imefungwa.
Kwa upande wako kwanini umechagua Arsenal na wala si West Ham, Newcastle au Derby County? Kwa sababu ilikuwa inafanya vizuri....na hiyo ndio definition ya glory hunter. Majority ya washabiki walio mbali na England ni glory hunters kwa sababu wanavutiwa na timu kubwa tu ambazo ndio zinafanya vizuri, ndio maana ukiangalia Tanzania washabiki wengi wa Liverpool ni wazee waliokuwa wanaifuatilia miaka ya 70-80.
Mkuu Kashengo salaam,
Upo spoton na mawazo yako.
Kabla ya Arsenal kwenda safari za maandalizi huko bara la Asia watathibitisha usajili wa wachezaji wawili watatu hivi.
Lakini mpaka sasa ni mchezaji mmoja tu ambae anaweza kutangazwa kukamilika usajili wake lakini ni mshambuliaji mdogo kutoka France aitwae Yaya Sanogo, ambae anachezea timu ya Auxerre.
Update:
Mchezaji wa nafasi ya ushambuliaji Yaya Sanogo kutoka timu ya Auxerre nchini Ufaransa leo hii amekamilisha taratibu za kujiunga na Arsenal na amefanyiwa uchunguzi wa afya yake kwenye kituo cha mazoezi cha London Colney kaskazini mwa London.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 anatarajiwa kutangazwa mwishoni mwa mwezi Juni atakapomaliza mkataba wake rasmi na Auxerre.
Mchezaji huyo anachezea timu ya taifa ya Ufaransa ya vijana wa umri chini ya miaka 21 na ni mchezaji wa tatu kutoka kwenye timu hiyo ya Auxerre ambayo inashiriki ligi ya pili ya nchi hiyo. Abu Diaby na Bacary Sagna pia walitokea kwenye timu hiyo walipojiunga na Arsenal ni uwezo wake wa kumiliki mpira, mwendo na uwezo wa kiufundi ndivyo vilivyowavutia Arsenal.
![]()
Yaya Sanogo
Huu utakuwa ni usajili wa kwanza kwa msimu wa 2013/14 kwa kutumia pesa kidogo iliyotokana na mauzo ya Cesc Fabregas na Alex Song na bado jumla ya kitita halisi cha zaidi ya paundi milioni 100 zinazotarajiwa kutumiwa kusajili wachezaji zaidi hakijatolewa kwa meneja Arsene Wenger.
Karibu Arsenal Yaya Sanogo.
COYG!