Point to note:
Arsenal haitauza mchezaji yoyote yule muhimu mwaka huu na inahitaji wachezaji wawili watatu tu.
Arsenall ina kitita cha fedha za kutosha kununua mchezaji yoyote yule mwaka huu.
Halikdhalika Arsenal aina hofu yoyote ile ya kuuza wachezaji kwani uuzaji wa wachezaji waliotangulia ulikuwa unatokana na matatizo waliyokuwa nayo wachezaji hao ukiondoa Cesc Fabregas.
Arsenal inarudi kwenye msimu ujao ikiwa na timu kamili na yenye uchu wa kunyakua kombe lolote lile.
Kwa sasa tunaelekea kwenye Tour of Asia na tutarudi na nia mpya.
Mkuu usiwe na wasi wasi na chichi hamjaweza kuvunja record ya invincibles mambo ya brown envelopes yanakwisha technology inakuja chacha titaona mtatokea wapi ndio chababu kababu kamefukuzwa khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kazi kukomalia ushoga tu phew!
Point to note:
Arsenal haitauza mchezaji yoyote yule muhimu mwaka huu na inahitaji wachezaji wawili watatu tu.
Arsenall ina kitita cha fedha za kutosha kununua mchezaji yoyote yule mwaka huu.
Halikdhalika Arsenal aina hofu yoyote ile ya kuuza wachezaji kwani uuzaji wa wachezaji waliotangulia ulikuwa unatokana na matatizo waliyokuwa nayo wachezaji hao ukiondoa Cesc Fabregas.
Arsenal inarudi kwenye msimu ujao ikiwa na timu kamili na yenye uchu wa kunyakua kombe lolote lile.
Kwa sasa tunaelekea kwenye Tour of Asia na tutarudi na nia mpya.
Point to note:
Arsenal haitauza mchezaji yoyote yule muhimu mwaka huu na inahitaji wachezaji wawili watatu tu.
Arsenall ina kitita cha fedha za kutosha kununua mchezaji yoyote yule mwaka huu.
Halikdhalika Arsenal aina hofu yoyote ile ya kuuza wachezaji kwani uuzaji wa wachezaji waliotangulia ulikuwa unatokana na matatizo waliyokuwa nayo wachezaji hao ukiondoa Cesc Fabregas.
Arsenal inarudi kwenye msimu ujao ikiwa na timu kamili na yenye uchu wa kunyakua kombe lolote lile.
Kwa sasa tunaelekea kwenye Tour of Asia na tutarudi na nia mpya.
mmh! bora malengo yametimia
Well done.......Hata mtu akonde vipi... MABEGA HAYAWEZI VUKA KICHWA..... USajili wa maana and may be we will be title contenders next season.... CL place attarcts BIG players in our club....
Kaka kuanzia next season tunarejesha heshima yetu "pride of north London" unajua kwa post niliyoweka leo mchana iko katika ufafanuzi wa WENGER kupitia Press comference 2 zilizopita
Deni la uwanja limeisha,tuna pesa za stadium naming rights za Emirates,mkataba wa vifaa vya michezo wa Puma!
Ila ndugu hii transition ilitaka kututia wazimu dah ila kwa jinsi wachezaji nyota walivyokuwa wanaondoka Arsene ni bonge la kocha kuendelea kuhimili vishindo+presha ya media za waingereza
NEXT step wabadilishe wage structure ili kuvutia world class players na haters watatukoma hasa wala watakao kuwa kwenye Alex's success syndrome! Tuombe uzima
Gunner for life
Ahsante Kashengo kwa kuliona hilo. North London iko kwenye balance kati yenu na Spuds, lakini the WHOLE London belongs to Chelsea. The Blues are pride of London.
Mkuu kashengo mie naomba sana tuingie kwenye kinyang'anyiro cha kuwasajili Bale na Benteke. Bale (player of the year) alishasema lwamba Tottenham kama hawatakuwemo katika top 4 basi ataondoka na yule Benteke msimu huu amejidhihieisha kwamba ni moto wa kuotea mbali. Tukiweza kuwasajili hawa wawili safu yetu ya washambuliaji itaweza kuitetemesha ngome ya timu yoyote ile duniani na kuziona nyavu. Pia tukapata wachezaji watatu au wanne wakali ili kuimarisha defence na pia golikipa wa uhakika.
Ila wasiwasi wangu AW kama ilivyo kawaida yake ataishia kusajili wachezaji ambao bado hawajajiestablish katika ulimwengu wa soka na hivyo kuishia kugombania kuchukua nafasi ya nne badala ya kuwania ubingwa. Nina wasiwasi pia hawa akina Bale na benteke wataishia katika moja ya timu hizi tatu, MANU, MANC au Chelsea. Ngoja tusubiri tuone.
Kumnunua Bale haiwezi tokea hata kidogo kumbuka Totenham hawamezi kutuuzia mchezaji wao nyota! Sol Campbell mwaka 2001 alipoenda Arsenal bure mpaka leo wanamwita Msaliti...Benteke yah bonge la mchezaji a.k.a young Drogba ila bei yake ni £25 milioni kung'oa pale villa park kwa bei aliyoweka Paul Lambert
Kuna uwezekano mkubwa akanunua established players na mpaka sasa hajakana kumtaka JOVETIC wa fiorentina na hata wakala wake na Luca Toni amethibitisha kuwa Arsenal wameonyesha interest
Kuna kitu tunasahau timu kama Arsenal inakuwa na global scouting network wanawaona wachezaji nyota na Arsene anajua kuwa ana average players wengi na mungu saidia kuna panga la kuwaondoa wote pale msimu huu
Kingine si kila mchezaji mzuri anafit kwenye mfumo wa wenger nakumbuka miaka ya 2000 Davor suker alikuja na akachemsha highbury na Babtista
keep the faith on Arsene BAK