Nyie mtaacha lini kulialia,timu yenu ni mbovu endeleeni kugombania nafasi ya nneSong ametuma tena maombi ya kurudi kwenye chama kama atakubaliwa
Na leo tumeona tena vipi mpunga unavyofanyakazi
Nilikuwa nikisikia tu kuwa kuna mpunga lakini sasa ninaona, na Wnger alisema kwanini FA hawakubali timu zipimwe doping tumgeliona mengi lakini ndio MPUNGA unafanyakazi
Timu nyingi kama Manu wanatumia doping lakini wacha ninyamaze kwanza
Nyie mtaacha lini kulialia,timu yenu ni mbovu endeleeni kugombania nafasi ya nne
sidwell kapewa red card dk 12
Kama haisaidii chochote kile....
Tunahitaji kuongeza magoli, hawaaminiki hawa jamaa!!!!!Ht fulham 0-1 arsenal
Mi nimechelewa kuangalia mechi sikujua kama hawa jamaa wako pungufu!kweli aiseeh manake tunacheza vile vile kama wapo wote kumi na mmoja
Dakika ya ngapi mkuu?walcot na rosick out podoski na wilshere in