thanks mkuu naenda kuedit
Goal via penult shoot out by Aterta!
Wenger anazeeka vibaya sababu ya kuwapanga mwishoni wakina walcot nini?au ndo kujifanya hana fast eleven.kweli anatafutia mashabiki na wachezaji presha
Safi sana vijana.
Angeharibu kabisa wikendi yangu huyu babu.ungekufa kwa presha wikiendi hii..
Naona Spurs wameshaporomoka....Tuko nafasi ya 3 sasa....Japo tuna game moja zaidi ya Chelsea...Spurs tunalingana idadi ya mechi