MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 188
Wakulu Santiago Carzola amethibitisha kwamba ni moto wa kuotea mbali. Theo Walcott alimpa pande na Carzola akapiga shuti kali likaingia upande wa kulia wa kipa wa West Ham.
What a goal!
7 points behind Chelsea.