Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[TABLE="width: 295"]
[TR]
[TD]90'
[/TD]
[TD="align: center"] [/TD]
[TD]Martin Atkinson will wait an extra 4 minutes before blowing the whistle to end the second half.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
GIROUD???????? Ama kweli Ng'ombe wa Masikini Hazai na akizaa Dume... Dume lenyewe Shoga... Ndo hii.......... Na goli na anpiga nje??????????
 
[TABLE="width: 295"]
[TR]
[TD] 90'
[/TD]
[TD="align: center"]
y.gif
[/TD]
[TD]Ramires for Chelsea FC has been booked by Martin Atkinson and receives a first yellow card.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
[TABLE="width: 295"]
[TR]
[TD]90'
[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[TD]The whistle has gone to end the second half. The match finishes 1 - 2.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Arsenal ndo imeshakalishwa, tungoje mfululizo wa mechi tatu za kufungwa, halafu ndo ije kukaa sawa!
 
Wachumba zetu hamjambo??!
Mlizani Mikel ni sawa na Kolo Toure??!
Chezea CHELSEA nyiee...
 
Sio Poa kabisa mwana...... Basi tuu, Ni uzembe wa hali ya juu, tena kwenye BIG game like this One.....

Kwa jinsi mambo yalivyokwenda wakati wa usajili naona hatuko katika hali mbaya kivile.

Magoli ya kizembe nakubali na ndio maana nimesema tunaitaji kujirekebisha kidogo.

Nina mategemeo makubwa sana tunakoelekea
 
Sio Poa kabisa mwana...... Basi tuu, Ni uzembe wa hali ya juu, tena kwenye BIG game like this One.....

Acha uongo! Usingekuwa uzembe wa Torres mnadhani mngekua mmefungwa ngapi??!
 
...Poor defensive decisions were very costly today, but kuvunjika kwa koleo.....Hongereni sana Wakuu Invisible, Peasant & Co sasa tusubiri mchapo mwingine leo baadaye kati ya MANU na Tottenham.
 
Yaani sie ndo team pekee tanayocheza bila striker, Giroud anakosa magoli ya same kind, the boy is letting his body move and leave the brain behind!!!
 
..so it's all over and beaten but not defeated, we will be back!!
Acha kutuzingua na kizungu cha kukopa apa...
Mmefungwa...mmekua defeated..mmepoteza points...mme chumbiwa na sisi...tumewafunza mpira sio spidi na kukimbiakimbia uwanjani..nice n slow...mshukuruni mungu hatuna striker la maana....nyambaffff......
 
Back
Top Bottom