Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread



Gunners kama kawa timu inasukwa
sio kupangwa na kajamaaa flani kama timu flani ... .. .
 
familia ya wanaojua soka na wanaume waliotmia (arsenal) wanayofuraha kuwakaribisha wadowez wote kwnye hi thread ktk sakrament takatfu ya mauaji ya kimbar(lethal assasinatn) yatakayofanyika ethihad stm yakifuatiwa na tafrija ya nguv kwnye ukumb wa gunnerz special (maeneo ya jf) ua warmly welcome
 
familia ya wanaojua soka na wanaume waliotmia (arsenal) wanayofuraha kuwakaribisha wadowez wote kwnye hi thread ktk sakrament takatfu ya mauaji ya kimbar(lethal assasinatn) yatakayofanyika jion ya leo ethihad stm yakifuatiwa na tafrija ya nguv kwnye ukumb wa gunnerz special (maeneo ya jf) ua warmly welcome
 
Ivi kweli nyie majirani mnatarajia kumfunga man shitty??! Naona mtu akijinyonga leo...
 
Ivi kweli nyie majirani mnatarajia kumfunga man shitty??! Naona mtu akijinyonga leo...

cc co chelc bana doz kw hao cty is inevitable nyie subirin jmo na nyie tutawarape hard pale emirates
 
nipo kwa jirani! nimeweka kambi ntarudi hapa midaz kama kawaida! yetu
 
Kila la heri vijana leo naamini tunatoka na pointi zote tatu.
 
Wakulu basi la Arsenal linaelekea uwanjani Etihad tokea hotelini.

Nami namalizia chips na samaki wangu kabla ya kuingia.
 
Mechi ya leo inaweza kuamuliwa na wachezaji wawili wa Spain Santiago Carzola na David Silva.
 
Laurent Koscielny will start against Manchester City at the Etihad Stadium on Sunday.
Thomas Vermaelen misses out with flu against the Premier League champions, so Mikel Artetatakes the captain's armband.
Meanwhile, Aaron Ramsey will start in midfield asOlivier Giroud drops to the bench.
Team in full: Mannone, Jenkinson, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Arteta (c), Diaby, Cazorla, Ramsey, Podolski, Gervinho.
Substitutes: Martinez, Djourou, Santos, Coquelin, Oxlade-Chamberlain, Walcott, Giroud.

(Arsenal.com)
 
Huna cha kufanya??? Naona kila siku unaweka kambi kwenye hii thread yetu! Yaelekea thread yenu haina muvuto!!!!

Hongera naona umepewa likes kibao na gooners fans wenzako.. Tushawamaliza liverpool sasa nasubiri arsenal wawamalize man city.. Come on you goonerz
 
ahsante wakuu! Naomba mwenye stream yenye unafuu anirushie hapa! nahangaia n rojadirecta hapa.
 
Back
Top Bottom