Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie kila mtu hawapendi the whole world is against u huh... Get a grip :happy:

Tulia usiwe kama muppet, hii klabu nimekwishakueleza huko nyuma hivyo sina haja ya kurudia.

Gazeti la the Sun na msimamo wao kuhusu Arsenal wanajulikana. Soma magazeti mengine yanavyochambua hiyo defence na ulinganishe na hiyo ya huyo muppet wako.

Sisi ndio Arsenal mkuu na tunamwamini wenger kwa kila mpango anaofanya pale Arsenal, tokea amekuja mwaka 1998 mpaka sasa ni miaka 17 hiyo.

Ongea mambo mengine kabisa na sio kutengeneza "muppets ring" hapa.
 
Mannone

Jenkinson

Koscielny

Mertesacker

Gibbs

Ramsey

Diaby

Arteta

Cazorla

Gervinho

Podolski
 
Man City wameanza na Dzeko na Aguero mbele. Silva atasimama katikati mbele ya Yaya Toure na nyuma ya Aguero na Dzeko.

Huu ni mtihani mwingine kwa dogo Jekinson na nafikiri ataweza kumdhibiti Sinclair.
 
Arsenal kama kawaida wanakwenda na mtindo wa 4-3-3 na Man City watacheza 4-4-2
 
AW anamuanzisha Ramsey na OX Bench??? Duh.... Anajua mpira kuliko mimi lets see
 
Majirani nimekuja ol ze way from Stamford bridge....Anfield...na sasa nimetua Etihad....
 
Nzi ndani ya nyumba..Gooners leo niko nanyi.

Piga hiyo shitty club.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom