Mechi ya Liverpool vs Manchester United: Una kumbukumbu gani na hii mechi?

uwe hodari

JF-Expert Member
Dec 16, 2022
3,958
8,296
Kwa upande wa vilabu hii ni miongoni mwa mechi mbili zenye hadhi zenye hadhi zaidi duniani ngazi ya klabu

Timu hizi zote zilicheza english football (mpira wa nguvu na kasi) kabla ya ujio wa makocha wa kigeni (wasio wa kiingereza.

Upande wa liverpool makocha wao bora wa muda wote ni bob paisley na bill shankly.

Upande wa manchester united tunajua ni Sir Alex Ferguson na Sir matt busby

Liverpool na manchester united ndio kielelezo cha mpira wa United kingdom

Kwa sasa mabadiliko ya dunia ya mpira biashara uingereza inatoka inaweka milango wazi kwa wawekezaji kutoka nje kwenda kuwekeza vilabu vya premier

Vilabu karibu vyote vinamilikiwa na wageni usipokuwa Brenford, Brighton, tottenham, Vinamilikiwa na waingereza,wamiliki kutoka nje karibu 80% ni wamarekani.

Vingine vilivyobaki vinamilikiwa na wageni na baadhi waingereza wakiwa na hisa chache.

Kwasasa liverpool na manchester united vipo kwenye makocha wa kizazi kipya Sir Eric ten hag na kloop wa Liverpool.

Mimi binafsi navutiwa zaidi na mbinu ya uchezaji wa kocha wa manchester united eric ten hag kwasababu kila game ina approach tofauti anacheza mchezo kulingana na mpinzani alivyo na pasi zisizochosha kwa wachezaji ni wazi huu mfumo utampa makombe mengi sana kocha wa manchester united ndani ya misimu mitatu ijayo
Ukiangalia manchester united ilivyocheza.

Na timu zenye ubora kwa sasa manchester city na barcelona ni tofauti ilivyocheza na timu za kawaida kama chelsea, arsenal, New Castle na zingine kwenye ligi namfananisha Eric na carlo ancelot hata na Sir Alex Ferguson.

Kitu kizuri kwa Eric ten hag ana personality kubwa so lazima IQ yake ni kubwa mno kumbuka kwenye football management kitu cha kwanza ni kocha uwe na akili kubwa km ilivyo kwa Pep Gudiola,na alivyokuwa Wenger kwahiyo hapa kwa manchester united wamelamba dume ni swala la muda makocha wabovu km michael arteta na wengine mashabiki wataanza kuwakataa kwasababu huyu kocha manchester united ataenda kudominate EPL.

ofauti na kocha wa liverpool anaitaji pressing ya hali ya juu ( huu mfumo unawachosha mno wachezaji misimu mitatu kwao wanageuka makapi.

Kiukweli mimi simuheshimu kloop kwenye team management,kocha anayewaza kupokwa ubingwa kwa point moja karibu misimu mitatu sijawishika kumheshimu km ninavyomheshimu Pep.

Kloop alichukua ubingwa wa Epl kwenye era ya corona ambyo ilikuwa ni stress kwa dunia ikiwemo empty stadiums ili nimuheshimu kloop anatakiwa abebe Epl mbili kabla ya kuondoka Epl

Lengo la ujumbe huu ni kuwa Eric will conquer the europe football in a ten coming years nawahurumia timu km arsenal, chelsea na liverpool kwasababu dorminant itaenda kubaki kwa Pep na Eric km Pep hatakimbia

Hata km mechi ya leo manchester atapoteza dhidi ya liverpool, mashabiki wa manchester united watatoka na tabasamu kwasababu msimu huu wame overachieve
Though naona manchester united akiondoka na point leo

Era come to an End
 
Ni takribani miezi tisa toka Eric ten hag akabidhiwe majukumu ya kuwa kocha mkuu wa manchester united

Ndani muda mfupi

Yupo nafasi ya tatu kwenye ligi 3rd position in a Ligue

Amechukua kombe la EFL

Ameingia robo fainali ya FAcup

Amefuza 16 bora ya mashindano europa

The right man the right time for Eric ten hag in manchester united
 
Ni takribani miezi tisa toka Eric ten hag akabidhiwe majukumu ya kuwa kocha mkuu wa manchester united

Ndani muda mfupi

Yupo nafasi ya tatu kwenye ligi 3rd position in a Ligue

Amechukua kombe la EFL

Ameingia robo fainali ya FAcup

Amefuza 16 bora ya mashindano europa

The right man the right time for Eric ten hag in manchester united
Wew huchambui game ya Leo umekuja na ushabiki tayari chambua mechi bana
 
Hii ni derby mechi za hivi huwa zinaamuliwa na wachezaji binafsi na wachezaji wa kuamua hizo mechi upo kwa pande zote mbili

Marcus kwa upande wa manchester united na Mo salah upande wa liverpool

Wew huchambui game ya Leo umekuja na ushabiki tayari chambua mechi bana
Liverpool ipo imara kwenye safu yake ya ushambuliaji na upande wa golikipa

ila ni dhaifu kati safu ya ulinzi na katikati mwa kiwanja

Liverpool walitengeneza mfumo wa mabeki wao wa pembeni kuwa sehemu ya viungo washambuliaji timu inapotafuta goal lkn msimu huu ni km hawapo kwenye viwango vyao kwa hiyo kina rashford wanaweza kutumia hii advantage kuwaadhibu liverpool

Naona kloop anaswitch mfumo taratibu na kuanza kutengeneza main target (nunez) namuona nunez km suarez ajaye kwa liverpool ila bado anajitafuta

Upande wa manchester united luke shaw anakuwa na udhaifu mkubwa timu inapofanyiwa pressing kwahiyo liverpool wanaweza kutumia upande wa luke shaw kuwaadhibu manchester united
 
Man U anapigwa kama dufu uko Liver 4-0 Manjesta😅😂
bado kuku kishingo wanaweza pata magoli mengine si chini ya mawili.😅
 
Kwa upande wa vilabu hii ni miongoni mwa mechi mbili zenye hadhi zenye hadhi zaidi duniani ngazi ya klabu

Timu hizi zote zilicheza english football (mpira wa nguvu na kasi) kabla ya ujio wa makocha wa kigeni (wasio wa kiingereza.

Upande wa liverpool makocha wao bora wa muda wote ni bob paisley na bill shankly.

Upande wa manchester united tunajua ni Sir Alex Ferguson na Sir matt busby

Liverpool na manchester united ndio kielelezo cha mpira wa United kingdom

Kwa sasa mabadiliko ya dunia ya mpira biashara uingereza inatoka inaweka milango wazi kwa wawekezaji kutoka nje kwenda kuwekeza vilabu vya premier

Vilabu karibu vyote vinamilikiwa na wageni usipokuwa Brenford, Brighton, tottenham, Vinamilikiwa na waingereza,wamiliki kutoka nje karibu 80% ni wamarekani.

Vingine vilivyobaki vinamilikiwa na wageni na baadhi waingereza wakiwa na hisa chache.

Kwasasa liverpool na manchester united vipo kwenye makocha wa kizazi kipya Sir Eric ten hag na kloop wa Liverpool.

Mimi binafsi navutiwa zaidi na mbinu ya uchezaji wa kocha wa manchester united eric ten hag kwasababu kila game ina approach tofauti anacheza mchezo kulingana na mpinzani alivyo na pasi zisizochosha kwa wachezaji ni wazi huu mfumo utampa makombe mengi sana kocha wa manchester united ndani ya misimu mitatu ijayo
Ukiangalia manchester united ilivyocheza.

Na timu zenye ubora kwa sasa manchester city na barcelona ni tofauti ilivyocheza na timu za kawaida kama chelsea, arsenal, New Castle na zingine kwenye ligi namfananisha Eric na carlo ancelot hata na Sir Alex Ferguson.

Kitu kizuri kwa Eric ten hag ana personality kubwa so lazima IQ yake ni kubwa mno kumbuka kwenye football management kitu cha kwanza ni kocha uwe na akili kubwa km ilivyo kwa Pep Gudiola,na alivyokuwa Wenger kwahiyo hapa kwa manchester united wamelamba dume ni swala la muda makocha wabovu km michael arteta na wengine mashabiki wataanza kuwakataa kwasababu huyu kocha manchester united ataenda kudominate EPL.

ofauti na kocha wa liverpool anaitaji pressing ya hali ya juu ( huu mfumo unawachosha mno wachezaji misimu mitatu kwao wanageuka makapi.

Kiukweli mimi simuheshimu kloop kwenye team management,kocha anayewaza kupokwa ubingwa kwa point moja karibu misimu mitatu sijawishika kumheshimu km ninavyomheshimu Pep.

Kloop alichukua ubingwa wa Epl kwenye era ya corona ambyo ilikuwa ni stress kwa dunia ikiwemo empty stadiums ili nimuheshimu kloop anatakiwa abebe Epl mbili kabla ya kuondoka Epl

Lengo la ujumbe huu ni kuwa Eric will conquer the europe football in a ten coming years nawahurumia timu km arsenal, chelsea na liverpool kwasababu dorminant itaenda kubaki kwa Pep na Eric km Pep hatakimbia

Hata km mechi ya leo manchester atapoteza dhidi ya liverpool, mashabiki wa manchester united watatoka na tabasamu kwasababu msimu huu wame overachieve
Though naona manchester united akiondoka na point leo

Era come to an End
Usiseme ukamaliza

Hizi pumba ulizoandika hapa ni vema ukazifuta ili kuepusha kudharaulika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom