Arrrrgh! Huu Ucameron huu!

Arrrrgh! Huu Ucameron huu!

TECHMAN, hapo nilikuwa nazungumza na mshana jr.Sikumchanganya kwenye kundi la elton john na mshirika wake.Na mshana jr alielewa na ndo maana hajalalamika kutaka marekebisho.
ahaaaaa swa bwana SHIEKA
 
Last edited by a moderator:
Hao watoto wakikua wataambiwa mama yao alikufa au wataambiwa ukweli! Sipati picha naona chenga tu
 
Hao watoto wakikua wataambiwa mama yao alikufa au wataambiwa ukweli! Sipati picha naona chenga tu

grafani watakuzwa katika mazingira ya kishoga na watafundishwa ushoga, hao walezi/wazazi!!?? hawatakubali watoto wao wawe tofauti na wao ni sawa na wazazi wa imani fulani hupenda na watoto wao wawe hivyo hivyo....!laana inatamalaki duniani
 
Last edited by a moderator:
grafani watakuzwa katika mazingira ya kishoga na watafundishwa ushoga, hao walezi/wazazi!!?? hawatakubali watoto wao wawe tofauti na wao ni sawa na wazazi wa imani fulani hupenda na watoto wao wawe hivyo hivyo....!laana inatamalaki duniani
Hapo ndipo mwisho wa yote utakapofika
 
Haijalishi kwakuwa sitaraji kukutana na zimwi
Ohooo shauri lako mkuu, nasikia eti hadi kuna majini nayo yanaweza kulog in JF, japo kiukweli huwa sielewi kama hayo majini ni wanyama, ndege au ni wadudu!!
 
Ohooo shauri lako mkuu, nasikia eti hadi kuna majini nayo yanaweza kulog in JF, japo kiukweli huwa sielewi kama hayo majini ni wanyama, ndege au ni wadudu!!

Usijali mi mwenyewe nayamiliki na nina uwezo wa kuwasiliana na hata na vibwengo vinyamkera mizimu na hungry ghosts!!! sio kwamba natania ni kweli ninachosema
 
Back
Top Bottom