Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,719
- 13,423
Au vyote kwa pamoja.Mimi mwenzenu bado sijawaelewa hawa watu kwani tatizo ni jogoo hapandi mtungi? Au ni hulka yao tu?
Au vyote kwa pamoja.Mimi mwenzenu bado sijawaelewa hawa watu kwani tatizo ni jogoo hapandi mtungi? Au ni hulka yao tu?
stable woman, yaweza ikawa hulka yao au jogoo hapandi mtungi, lakini baada ya hawa wanaume wawili kupendana, wakataka kuoana. Kwa wakati huo wa mapenzi yao yalipokuwa juu, Uingereza na Wales hawakuwa na sheria ya kuruhusu ndoa ya jinsia moja. Mwaka 2005 Uingereza na Wales wakarekebisha sheria kuruhusu wasagaji na mashoga kuoana. Hawa wawili, Elton John na David Furnish wakaoana tarehe 21/12/2005 elton akiwa mke na david mume.Kwa hiyo ni wazi jogoo la elton ni marufuku kuwika! Kwa hiyo wanaishi kihalali na ni kosa kuwaingilia maisha yao au kuwabagua kwa namna yoyote kwani sheria inawalinda.
Kwani Shetani ndio kitu gani mkuu?Aah wapi shetani mwenyewe akikuta wafuasi wake wanafanya huu ushenzi anatimuaga mbio....!tena mbio kweli
wanawaharibu tu hao watoto sasa watakua wanamuuita uyo jamaa mama au?
Kuna watu wa ajabu, dume lenzio unalipapasa na tena huna hata wasi
Sema wewe mkuu, akilini hata kwa kufikiria unaona haiji kabisa ni kitu ambacho hakiwezekani ila kwa hawa wenzetu(mafirauni) hawana hata uogaYani wanyama pamoja na uhayawani wao hawawezi kufanya huu ubazazi
Sema wewe mkuu, akilini hata kwa kufikiria unaona haiji kabisa ni kitu ambacho hakiwezekani ila kwa hawa wenzetu(mafirauni) hawana hata uoga
Halafu wanafanya juhudi kubwa kweli kuharibu vijana wetu afrika
Watoto wako wawili kabanga. Kuna Zachary na huyu kwenye picha Ellijah.Walimwomba mwanamke mmoja (wamemficha sana hawataki ajulikane)awazalie watoto. Uzao wa kwanza wakampata Zachary(sasa ana miaka 2) na uzao wa pili ni huyu ellijah umri mwaka na nusu.
SHIEKA, Rekebisha hii habari yako, umesema Elton John na mwenzake mshana?Kwenye huu ushetani wa Elton John na mwenzake mshana, ni kwamba wanalindwa na sheria. Sheria ndo jambo kubwa.Huku kwetu watu wa aina hiyo ya elton john na mwenzake wamejaa, lakini kitu kikubwa ni kwamba hawatambuliwi na sheria.Nchi yetu itakapotunga sheria kulinda ushoga hapo ndo utakuwa kiama na si vinginevyo.Mashoga wa tz wanajichezea mpira kwenye matope usiotambuliwa na tff caf wala fifa!
hivi mpwa yule Albosgnauth yupowap