Arrrrgh! Huu Ucameron huu!

Arrrrgh! Huu Ucameron huu!

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,270
Mbabu mzima miaka 65 eti anaolewa!Huyu ni mwimbaji nguli Elton John na 'mume' wake, David Furnish 50.Kuondoa
upweke wao wameadopt watoto wawili Zachary na Ellijah, wote kutoka kwa mama mmoja aliyeombwa kuwazalia watoto hao
ELTON JOHN4.jpg ELTON JOHN3.jpg ELTON JOHN WITH HUSBAND2.jpg
 
Last edited by a moderator:
SHIEKA huko tuendako huko... sijui..!? ninachowaza ni hao watoto wakikua watakuwaje! tunajiandalia kiama kibaya mno
Kwenye huu ushetani wa Elton John na mwenzake mshana, ni kwamba wanalindwa na sheria. Sheria ndo jambo kubwa.Huku kwetu watu wa aina hiyo ya elton john na mwenzake wamejaa, lakini kitu kikubwa ni kwamba hawatambuliwi na sheria.Nchi yetu itakapotunga sheria kulinda ushoga hapo ndo utakuwa kiama na si vinginevyo.Mashoga wa tz wanajichezea mpira kwenye matope usiotambuliwa na tff caf wala fifa!
 
Last edited by a moderator:
Mimi mwenzenu bado sijawaelewa hawa watu kwani tatizo ni jogoo hapandi mtungi? Au ni hulka yao tu?
 
Mimi mwenzenu bado sijawaelewa hawa watu kwani tatizo ni jogoo hapandi mtungi? Au ni hulka yao tu?
stable woman, yaweza ikawa hulka yao au jogoo hapandi mtungi, lakini baada ya hawa wanaume wawili kupendana, wakataka kuoana. Kwa wakati huo wa mapenzi yao yalipokuwa juu, Uingereza na Wales hawakuwa na sheria ya kuruhusu ndoa ya jinsia moja. Mwaka 2005 Uingereza na Wales wakarekebisha sheria kuruhusu wasagaji na mashoga kuoana. Hawa wawili, Elton John na David Furnish wakaoana tarehe 21/12/2005 elton akiwa mke na david mume.Kwa hiyo ni wazi jogoo la elton ni marufuku kuwika! Kwa hiyo wanaishi kihalali na ni kosa kuwaingilia maisha yao au kuwabagua kwa namna yoyote kwani sheria inawalinda.
 
Last edited by a moderator:
huyo mtoto wamempataje....?
Watoto wako wawili kabanga. Kuna Zachary na huyu kwenye picha Ellijah.Walimwomba mwanamke mmoja (wamemficha sana hawataki ajulikane)awazalie watoto. Uzao wa kwanza wakampata Zachary(sasa ana miaka 2) na uzao wa pili ni huyu ellijah umri mwaka na nusu.
 
Last edited by a moderator:
harafu elton kwao anaitwa Sir, wazungu hamnazo
General8,kwa kuwa kuna sheria inayolinda mashoga na wasagaji, hakuna ubaguzi wowote dhidi yao.Kama elton angekuwa mwanasiasa angeweza hata kugombea uwaziri mkuu uingereza.Ila pointi yako naikubali:majuu kweli hamnazo kiasi cha kubariki ushoga na usagaji.
 
Last edited by a moderator:
Hivi rasimu ya katiba imezungumziaje ndoa ya jinsia mmoja
nakusaka, rasimu ya katiba haizungumzii ndoa za jinsia moja ila kwenye SURA YA NNE inayozungumzia haki za binadamu upo mwanya kwenye ibara ya 25 kipengele (2) unaoweza kutumiwa na wanaharakati wa haki za mashoga na wasagaji kutaka kutungwa kwa sheria ya kuwalinda.
 
Last edited by a moderator:
wanawaharibu tu hao watoto sasa watakua wanamuuita uyo jamaa mama au?
Kusema kweli maadili ya familia na malezi yanaharibiwa sana.Hao wavulana wawili katika kukua kwao wataona hao wanaume wawili wakishikanashikana, kupigana mabusu, kulala chumba/kitanda kimoja.Na wao si ajabu wakaishia kuwa mashoga waliokubuhu.
 
Back
Top Bottom