Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,506
- 113,626
Ni mtu wa Ruvuma na hii ni plus ya watu wa makabila ya huko, they are humble and down to earth, ndio maana kila alipopelekwa alikubali kwa moyo mkunjufu bila donge.Well its a big coincidence but sad too and memorable at the same time. Hivi mzee kawawa ni mwenyeji wa Ruvuma nilkuwa sijui hili swala, historia wengine imepiota mbali kweli kwa mtindo huu
Wanabodi, leo ndio imefanyika Arobaini ya Simba wa Vita, Mzee wetu, Rashidi Mfaume Kawawa, ambapo Rais JK, ameongoza maelfu ya waliohudhuria iliyofanyikia nyumbani kwake Madale, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.
Nilipokuwa nikitafakari, terehe hii ya leo ya Arobaini ya Mzee wetu huyu, kumbukumbu ikanirudia, hebu soma hapa..
"Rashid Mfaume Kawawa alizaliwa tarehe February 27, 1926 katika kijiji cha Matepwende, Wilaya ya Songea, Mkoani Ruvuma, Tanzania". What a coincidence!.
Kama hiyo haitoshi, katika pita pita kusalimiana na huyu na yule kwenye arobaini hii, nikakutana na mmoja wa mabinti Kawawa kwa jina la Zamaradi,
akasema tarehe ya leo, sio tuu ni siku ya kuzaliwa kwa baba yao, bali pia ndiyo siku aliyofariki mama yao!, yaani mmoja kati ya wake zake, alifariki siku ya birthday ya mumewe!.
What an amaizing coincidence!.
Kwa waumini wa nature, there is no such a thing as coincidence, kila kitu kinatokea for a reason, na every move is pre meditated move and precise calculated kama 'De ja vu'!.
RIP Simba wa Vita, Rashidi Mfaume Kawawa.
Ni mtu wa Ruvuma na hii ni plus ya watu wa makabila ya huko, they are humble and down to earth, ndio maana kila alipopelekwa alikubali kwa moyo mkunjufu bila donge.
Mzee mpaka leo ukikutana na EL utaiona smile usoni inayokuwa betrayed ya macho yanathibitisha donge moyoni.
Rashidi alikuwa Waziri Mkuu na Makamo wa pili wa rais was always smilling, , akashushwa akawa waziri wa kawaida still smilling, akafanya waziri asiye na wizara maalum, still smiling!. leo mtu katemeshwa UPM ananuna mpaka basi!.
Ni mtu wa Ruvuma na hii ni plus ya watu wa makabila ya huko, they are humble and down to earth, ndio maana kila alipopelekwa alikubali kwa moyo mkunjufu bila donge.
Mzee mpaka leo ukikutana na EL utaiona smile usoni inayokuwa betrayed ya macho yanathibitisha donge moyoni.
Rashidi alikuwa Waziri Mkuu na Makamo wa pili wa rais was always smilling, , akashushwa akawa waziri wa kawaida still smilling, akafanya waziri asiye na wizara maalum, still smiling!. leo mtu katemeshwa UPM ananuna mpaka basi!.
Si hivyo tu, leo pia ni Maulidi na Maziko ya Mwakawago.
Unanikumbusha na mimi Birthday yangu ni 1st January ambayo pia ni New Year na pia Wedding day, Of course dunia yote huwa wako likizo wakisherehekea Birth Day yangu na Anniversary.
Wanabodi, leo ndio imefanyika Arobaini ya Simba wa Vita, Mzee wetu, Rashidi Mfaume Kawawa, ambapo Rais JK, ameongoza maelfu ya waliohudhuria iliyofanyikia nyumbani kwake Madale, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.
Nilipokuwa nikitafakari, terehe hii ya leo ya Arobaini ya Mzee wetu huyu, kumbukumbu ikanirudia, hebu soma hapa..
"Rashid Mfaume Kawawa alizaliwa tarehe February 27, 1926 katika kijiji cha Matepwende, Wilaya ya Songea, Mkoani Ruvuma, Tanzania". What a coincidence!.
Kama hiyo haitoshi, katika pita pita kusalimiana na huyu na yule kwenye arobaini hii, nikakutana na mmoja wa mabinti Kawawa kwa jina la Zamaradi,
akasema tarehe ya leo, sio tuu ni siku ya kuzaliwa kwa baba yao, bali pia ndiyo siku aliyofariki mama yao!, yaani mmoja kati ya wake zake, alifariki siku ya birthday ya mumewe!.
What an amaizing coincidence!.
Kwa waumini wa nature, there is no such a thing as coincidence, kila kitu kinatokea for a reason, na every move is pre meditated move and precise calculated kama 'De ja vu'!.
RIP Simba wa Vita, Rashidi Mfaume Kawawa.