Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,483
- 19,281
Kwa wale wanasheria wenzangu, mnakumbuka kesi ya Dickson Paulo Sanga, Rufaa ya madai Na.175 ya 2020 Mahakama ya Rufaa (DSM) ilitoa miezi 18 sheria kubadilishwa kwa ujambazi wa kutumia silaha ili iwe na dhamana, miezi hiyo 18 imeisha November, 2021, endapo kwa kipindi hicho sheria itakuwa haijabadilisha, kuanzia muda huo armed robbery itakuwa inadhaminika Mahakamani. Kwa maana hiyo, kuanzia sasa armed robbery ni bailable.
Ni wakati muafaka kwa mawakili kwenda kuwatoa wateja wetu mahakamani kwasababu sasa kosa ambalo halikuwa na dhamana, linadhaminika. Tuwatoe kabla ya christmass hii ili wakatafute pesa za sikukuu, watajua wenyewe watatafutaje.
Nimewawekea na kesi ya Dickson paulo sanga hapa chini.
Ni wakati muafaka kwa mawakili kwenda kuwatoa wateja wetu mahakamani kwasababu sasa kosa ambalo halikuwa na dhamana, linadhaminika. Tuwatoe kabla ya christmass hii ili wakatafute pesa za sikukuu, watajua wenyewe watatafutaje.
Nimewawekea na kesi ya Dickson paulo sanga hapa chini.