Arfi kuondoka CCM

Arfi kuondoka CCM

Laana ya kusaliti wenzake Kwenye bunge la katiba mpya.
Atahangaika sana
 
mbona kuatapatapa hivyo. Utulivu hana.

,huyu ni malaya wa kisiasa. Malaya wa kawaida hapendi mtu ila anapenda pesa. Na huyu hapendi chama anapenda pesa.kazi yake ni kubadilisha wanaume yaani vyama.
 
Arudi CDM

Mbowe kasema wanamuhitaji kila mtu!!

Lakini sio huyu. Wala asizikaribie tena ofisi za chadema. Sasa majimbo yote yameshajazwa kwa kila chama nae nia ya kuhama hama ni kuvizia fursa namshauri aachane na siasa wala siamini kama ana mfuasi.
 
CHADEMA alichoshwa na unafiki, na hakuwa tayali kuchaguliwa marafiki. Naona aliwafuata marafiki zake lakini nao wamemtosa, sasa sijui ataondoka na gia gani na uelekeo wake utakuwa upi, huenda atamfuata Shibuda kule TADEA.
 
Arfi, Mgana Msindai, Makongoro Mahanga ni wanasiasa Mapacha. Wameshindwa kura za Maoni wanajidai vyama vyao havina Democracy
 
Dhambi ya usaliti itawatafuna hadi kaburini.shetani hanaga jema.hutafuna hata mawakala wake
 
Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara, Ndg.Said Amour Arfi ambaye alijiunga na Chama cha mapinduzi (CCM) hivi karibuni amesema anafikiria kujiondoa CCM na kujiunga na chama kingine cha upinzani (hakukitaja jina), kwa kuwa hakuna demokrasia ya kweli ndani ya CCM.

Akizungumza na Mwandishi wa Habari hii kwa njia ya simu, Arfi amesema alijiondoa CCM mwaka 2000 na kujiunga na TLP kwa sababu CCM haikua na demokrasia, hivyo alitegemea miaka 15 aliyokaa nje ya CCM ingeweza kuibadilisha lakini hadi sasa hali ni ileile.

Arfi alitupwa nje kwenye kura za maoni ndani ya CCM kupitia jimbo la Mpanda Kati ambalo ameliongoza kwa miaka 10. Hata hivyo anafikiria kutetea kiti chake hicho cha ubunge kupitia chama kingine nje ya CCM. Watafiti wa masuala ya siasa wanasema huenda akajiunga na ACT wazalendo.

Arfi alikuwa mwanachama wa CCM hadi mwaka 2000 alipoondoka na kujiunga na TLP. Mwaka 2005 alijiondoa TLP na kujiunga CHADEMA ambapo alipata fursa ya kugombea Ubunge na kushinda kwa vipindi viwili mfululizo.

Mwaka huu alijiondoa CHADEMA na kurudi CCM, lakini ameangushwa kwenye kura za maoni na hivyo anafikiria kuondoka CCM na kujiunga na chama kingine cha upinzani ambacho hakukitaja.
Huyu mzee naye mbona nakuwa ma.la.ya wa kisiasa? Ina maana kwenda ccm alitegemea wamwachie agombee tu? Hiyo ndo faida ya kuimwaga CHADEMA. Amekutana na wataalam wanaoimba wembe ule ule ushindiii!! Namshauri astaafu siasani akafanye biashara tu, huko anakoenda hawezi kushinda hata kama atapitishwa bila kupingwa!!
 
Duh!!!

Hawa ndio walafi wa madaraka
...alafu utasikia eti wanamshangaa Lowassa hawa...wanasiasa wa kibongo hawatofautiani....kila mtu anaangalia mwisho wa tumbo lake.....siasa imekua short cut ya ku win maisha.....ndio maana unawona kina Pinda wanalia hadharan wanapoona wametupwa nje....siasa za nchi hii nuksi sana....alafu hawa wazee kama Arfi si wapumzike tu??
 
Unajua Mimi napata shida kuelewa siasa ya Tanzania, hivi tuna Anglia MTU au chama,so mdarefu pata eleweka tuu
 
Huyu jamaa si alisema hagombei tena ubunge na akawataka CHADEMA kama wanaweza walitetee hilo jimbo..kelele tupu
 
Kiukweli si vyema na sipendi kuwatukana wazee....... Lakini Arfi ni Mpumbavu
 
Sasa atasubiria baada ya miaka kumi tena yeye Shibuda na dada yao Leticia,hawa watasubiri sana
 
Back
Top Bottom