Samsindima
Member
- Jan 18, 2012
- 37
- 0
Hata waabudio mizimu hawafanyi uchafu kama huu. Ni laana lisilo kifani. Nchi za matajiri zinajitahidi kutetea ufirauni na matokeo ndio kama haya. Washenzi wakubwa.
Haijahuuu....Lakini jamani twende mbele na kurudi nyuma, kuna dini ambayo kiongozi wao alifanya tukio la kufanana na hilo, naomba niweke wazi ili nalo mchangie. Mtume Mohamad (S.A.W) aliozeshewa kitoto cha kike chenye umri wa miaka 6 kiitwacho AYSHA na alikiingilia kikiwa na umri wa miaka 9 bila huruma. USHAHIDI Kitabu cha historia ya Nabii Mohamad kilichoandikwa na ABDALLAH RIDAY wa Ansaar Muslim Youth Organisation Mombasa Kenya uk 158 paragr 2. Naomba tujadili na hili kwa mtazamo huo huo, vile vile hii thread naona kama si mahali pake kweli ni utani huu au mleta mada amekosea.
Stone them to death !!
kwakn halali lakini alshabab na boko haram ni dhambi
Lakini jamani twende mbele na kurudi nyuma, kuna dini ambayo kiongozi wao alifanya tukio la kufanana na hilo, naomba niweke wazi ili nalo mchangie. Mtume Mohamad (S.A.W) aliozeshewa kitoto cha kike chenye umri wa miaka 6 kiitwacho AYSHA na alikiingilia kikiwa na umri wa miaka 9 bila huruma. USHAHIDI Kitabu cha historia ya Nabii Mohamad kilichoandikwa na ABDALLAH RIDAY wa Ansaar Muslim Youth Organisation Mombasa Kenya uk 158 paragr 2. Naomba tujadili na hili kwa mtazamo huo huo, vile vile hii thread naona kama si mahali pake kweli ni utani huu au mleta mada amekosea.