halafu draiva ni wewe na miye niko zangu pembeni nakutazama...
Kwa hiyo kuja lazima uwe umealikwa? Siwezi nikajialika mwenyewe as far as I know tym and venue?
@jawilat
Umeona eeh tupo na white wine yetu mdogo mdogo mpaka eneo la tukio
Hahahah....
Itakuwa kapitiwa tu! Karibu sanaa mkuu!I am invited but not mentioned.....
Thanks mkuu
Kwa hiyo kuja lazima uwe umealikwa? Siwezi nikajialika mwenyewe as far as I know tym and venue?
Kwa nini umeniquote wee mbabu,
kuna steak na chicken au sato....maana mimi m-bara hao wadudu hapo juu not richabo kabisa!
Baby kuna Caviar! Almas the Iranian Caviar! Naskiaga tu lakini kwnye Rich Kids of Beverly Hills show, kwenye dstv ya jirani! Na china kuna delicacy za bahari kama Pythons dishes very expensive!Hao wadudu kuna prawns na Lobuster, most expensive sea food.
kwa sababu mimi ni mbabu...
kuna steak na chicken au sato....maana mimi m-bara hao wadudu hapo juu not richabo kabisa!
Umeninyima mwaliko?
Nunua basi hata kuku
Baby kuna Caviar! Naskiaga tu lakini kwnye Rich Kids of Beverly Hills show, kwenye dstv ya jirani!