Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

Wanasema kipindi cha nabii Nuhu Malaika waasi walijichanganya na binadamu wakifanya maasi na uzinzi Mungu alikasirika akamtuma Nuhu ajenge safina wasije sema ni aliens ndio walijenga pia
 
These giants are not comparable to the aliens we see. Au na hao aliens wanabadilika umbo?
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
swali kwako... Unafikiri hao jianti ni kina nani? Kulikuwa hakuna neno aliens walikuwa wanaitwa giants check ktk previous links.
 
Wanasema kipindi cha nabii Nuhu Malaika waasi walijichanganya na binadamu wakifanya maasi na uzinzi Mungu alikasirika akamtuma Nuhu ajenge safina wasije sema ni aliens ndio walijenga pia
<br />
<br />
ishu ni hivi..aliens wapo ktk sayari inayopita katika solar system yetu kwa kipindi fulani cha miaka.. Toka walipokuja ilikuwa kipindi cha pharaoh na watakuja tena miaka ijayo, na sayari yao imeanza kuonekana kwa satelite kwa mbali.
 
Kuna nyayo ya mtu mkubwa zaidi kusini mwa tanzania alijulikana na wenyeji wa kirwa nadhani walimuita jina la Hunzi Bin Hunuzi.
Kuna mshikaji wangu kwa jina la kopwe alisema babake alishawahi muadithia kuwa babu yake alishawaona hao magulver kulikuwa na watu miaka ya yao walikuwa ni wakubwa mno na walikula na watu pia
 
Kuna nyayo ya mtu mkubwa zaidi kusini mwa tanzania alijulikana na wenyeji wa kirwa nadhani walimuita jina la Hunzi Bin Hunuzi. <br />
Kuna mshikaji wangu kwa jina la kopwe alisema babake alishawahi muadithia kuwa babu yake alishawaona hao magulver kulikuwa na watu miaka ya yao walikuwa ni wakubwa mno na walikula na watu pia
<br />
<br />
raisiwapemba kinachonishangaza ni kuwa wanamifupa tofauti na mifupa yetu.
 
sasa ujanja umerudi. enhee,manake nakumbuka kusoma novel moja nadhani ya john grisham ama igles, abt hiyo balloon plane ambayo ilitua somewhere in america. kuna a group of tourists waliishuhudia na aliens wote walikufa/kupaa except mmoja. ni kama walikuwa kwenye vegetative state. i have seen a few movies too wana-portray kama wana vichwa vikubwa na matumbo ya round hivi! i remember kama 90s hivi nilikuwa nasoma magazeti yana hizi stori kuhusu marekani kuwaua na possibility ya vita.was in primary skul lakini it made sense.bt has it really been proved scientifically,manake kama kuna subbotage we will take so looong kujua!
 
i though giants ni tofauti kabisa na alliens? though giants wanakuwa na miujiza flani lakini hawana teknolojia kama ya alliens...
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
swali kwako... Unafikiri hao jianti ni kina nani? Kulikuwa hakuna neno aliens walikuwa wanaitwa giants check ktk previous links.
<br />
<br />
 
weeh hufai kupigiwa kura! ntakuja na wmd kabisaa, potelea mbali zinibomoe na mie! interesting abt these alliens ila ujanja wa kuziangalia usiku sina! bt last time nilisoma kama vile aliens wana-investigate sayari yetu. lakini wanakatishwa tamaa na level of pollution iliyopo manake ya kwao iko virgin kabisa!
Hadith Nzuri King'ast ukiogopa njoo ila usije na mtutu wako alien hawaogopi hiyo ila wakiiona wanakuwa wakali zaidi
<br />
<br />
 
i though giants ni tofauti kabisa na alliens? though giants wanakuwa na miujiza flani lakini hawana teknolojia kama ya alliens...<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
zamani hakuna aliyejua hao giant wametoka wapi na walikuwa wanaabudiwa, lakini hivi sasa tunawaita aliens coz wapo kama giants na wanazile sifa ktk michoro ya kale wameonekana.
 
sasa ujanja umerudi. enhee,manake nakumbuka kusoma novel moja nadhani ya john grisham ama igles, abt hiyo balloon plane ambayo ilitua somewhere in america. kuna a group of tourists waliishuhudia na aliens wote walikufa/kupaa except mmoja. ni kama walikuwa kwenye vegetative state. i have seen a few movies too wana-portray kama wana vichwa vikubwa na matumbo ya round hivi! i remember kama 90s hivi nilikuwa nasoma magazeti yana hizi stori kuhusu marekani kuwaua na possibility ya vita.was in primary skul lakini it made sense.bt has it really been proved scientifically,manake kama kuna subbotage we will take so looong kujua!
<br />
<br />
ipo video ya alien anahojiwa na UFO walimpa kifaa cha kutafsiri lugha na kiukweli aliens wanateknolojia ya juu na NASA wanakiri hilo ndio maana USA aliwaua wale alien walioanguka na ndege. Pia jamaa aliyekuwa amefichua siri kwa mwanae kuwa aliens wapo vp aliuawa kwani hawakutaka dunia ijue ukweli.
 
Wacha yaje tunahamu ya kuyaona mfano the mummy, Dragon , Jurassic , dinosaurs Gullivers n.k ma superman na Jesus pia tunahitaji aman tu tuishi kwa raha
 
Mkuu kutokana na definition ya alien:-

[h=2]al·ien[/h]&#8194; &#8194;[eyl-yuh
thinsp.png
n
, ey-lee-uh
thinsp.png
n
] Show IPA

noun1.a resident born in or belonging to another country who hasnot acquired citizenship by naturalization ( distinguished fromcitizen).

2.a foreigner.

3.a person who has been estranged or excluded.

4.a creature from outer space; extraterrestrial.
adjective5.residing under a government or in a country other than thatof one's birth without having or obtaining the status ofcitizenship there.

6.belonging or relating to aliens: alien property.

7.unlike one's own; strange; not belonging to one: alienspeech.

8.adverse; hostile; opposed (usually followed by to or from ):ideas alien to modern thinking.

extraterrestrial.

Kwahiyo mkuu jibu ni ndio hata wewe ukizamia nchi za watu usishangae wakikuita Illegal Alien...... lakini kama unaanisha extraterrestial thats a different ball game
 
Kuna nyayo ya mtu mkubwa zaidi kusini mwa tanzania alijulikana na wenyeji wa kirwa nadhani walimuita jina la Hunzi Bin Hunuzi.
Kuna mshikaji wangu kwa jina la kopwe alisema babake alishawahi muadithia kuwa babu yake alishawaona hao magulver kulikuwa na watu miaka ya yao walikuwa ni wakubwa mno na walikula na watu pia[/QUOTE

.............. hao ni watu wa Hud na wameongelewa katika Quran Kareem.
Wacha tuangalie Wagalatia mnavyo ogelea katika hii habari !
 
Hizi nyayo za hunzi bin hunuzi zipo mbili tu. Moja ilionekana mji mmoja na ya pili karibu na mji mwingine alikuwa anaelekea baharini na bado zipo

Kuna maeneo ya Same wanapaita Miamba kuna sanamu kwenye miamba lina sura ya mtu na sehemu ya macho kila mwaka hutoa maji ukiwa kwa mbali utaona kama linalia maybe hii mijitu iligeuka mawe? ujanja wa wabongo kuchonga sanamu kubwa kama ghorofa sidhazni kama walikuwa nao
 
Back
Top Bottom