Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,221
Evidence soma hii adress.. Absolute proof aliens exist, ufo sightings proof and evidence
Kinachonifanya niuamini ukristu ni kuwa hata bible imeonyesha existence ya alliens.. Soma katika hii adress Proof Aliens Exist - The Weirdest Truth In the Bible: Aliens!
<br /><br />These giants are not comparable to the aliens we see. Au na hao aliens wanabadilika umbo?
<br />Wanasema kipindi cha nabii Nuhu Malaika waasi walijichanganya na binadamu wakifanya maasi na uzinzi Mungu alikasirika akamtuma Nuhu ajenge safina wasije sema ni aliens ndio walijenga pia
<br />Kuna nyayo ya mtu mkubwa zaidi kusini mwa tanzania alijulikana na wenyeji wa kirwa nadhani walimuita jina la Hunzi Bin Hunuzi. <br />
Kuna mshikaji wangu kwa jina la kopwe alisema babake alishawahi muadithia kuwa babu yake alishawaona hao magulver kulikuwa na watu miaka ya yao walikuwa ni wakubwa mno na walikula na watu pia
<br />&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
swali kwako... Unafikiri hao jianti ni kina nani? Kulikuwa hakuna neno aliens walikuwa wanaitwa giants check ktk previous links.
<br />Hadith Nzuri King'ast ukiogopa njoo ila usije na mtutu wako alien hawaogopi hiyo ila wakiiona wanakuwa wakali zaidi
<br />i though giants ni tofauti kabisa na alliens? though giants wanakuwa na miujiza flani lakini hawana teknolojia kama ya alliens...<br />
<br /><br />
<br />
<br />sasa ujanja umerudi. enhee,manake nakumbuka kusoma novel moja nadhani ya john grisham ama igles, abt hiyo balloon plane ambayo ilitua somewhere in america. kuna a group of tourists waliishuhudia na aliens wote walikufa/kupaa except mmoja. ni kama walikuwa kwenye vegetative state. i have seen a few movies too wana-portray kama wana vichwa vikubwa na matumbo ya round hivi! i remember kama 90s hivi nilikuwa nasoma magazeti yana hizi stori kuhusu marekani kuwaua na possibility ya vita.was in primary skul lakini it made sense.bt has it really been proved scientifically,manake kama kuna subbotage we will take so looong kujua!
[h=2]al·ien[/h]   [eyl-yuhn, ey-lee-uhn] Show IPA
noun1.a resident born in or belonging to another country who hasnot acquired citizenship by naturalization ( distinguished fromcitizen).
2.a foreigner.
3.a person who has been estranged or excluded.
4.a creature from outer space; extraterrestrial.
adjective5.residing under a government or in a country other than thatof one's birth without having or obtaining the status ofcitizenship there.
6.belonging or relating to aliens: alien property.
7.unlike one's own; strange; not belonging to one: alienspeech.
8.adverse; hostile; opposed (usually followed by to or from ):ideas alien to modern thinking.
extraterrestrial.
Kuna nyayo ya mtu mkubwa zaidi kusini mwa tanzania alijulikana na wenyeji wa kirwa nadhani walimuita jina la Hunzi Bin Hunuzi.
Kuna mshikaji wangu kwa jina la kopwe alisema babake alishawahi muadithia kuwa babu yake alishawaona hao magulver kulikuwa na watu miaka ya yao walikuwa ni wakubwa mno na walikula na watu pia[/QUOTE
.............. hao ni watu wa Hud na wameongelewa katika Quran Kareem.
Wacha tuangalie Wagalatia mnavyo ogelea katika hii habari !