mkulungu mkuyengo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2015
- 786
- 564
Girl Next-door atakua anajua.Duh hao jamaa sijui huwa wana chukua ukiwa na umri gan
Girl Next-door atakua anajua.Duh hao jamaa sijui huwa wana chukua ukiwa na umri gan
Usijaribu kabisa kufanya hivyoYaani hii thread inanipa hasira na matamanio ya kupeleka barua ya kazi kwa hao watu.
Napenda mno kazi hizi ila ipo siku Mungu atanipa kile nachomuomba.
Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
Sawa mkuu kuna siku wataniona.Usijaribu kabisa kufanya hivyo
Sent from my Apple iPhone 7plus using Jamiiforums
Never! Kadri unavozidi kuitamani hii kazi ndivyo na yenyewe inavyozidi kukukimbia,inakwenda kwa wale ambao hawaitaki au hawakuwahi kamwe kufikiria kufanya kazi hii!!! Amini haya ninayokwambiaSawa mkuu kuna siku wataniona.
Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
KwaheriNever! Kadri unavozidi kuitamani hii kazi ndivyo na yenyewe inavyozidi kukukimbia,inakwenda kwa wale ambao hawaitaki au hawakuwahi kamwe kufikiria kufanya kazi hii!!! Amini haya ninayokwambia
Nitarudi..
Sent from my Apple iPhone 7plus using Jamiiforums
Majukumu kiongozi wangu ila mara moja moja kama hivi tunapita hapaKaka Freelancer mbona kimya saaana hivyo mkuu?
Infantry Soldier mambo vp? Umenitenga sana dada yako.Special thread for discussing espionage business and other closely related issues:
Bila shaka wote mu wazima wa afya humu JF.
Kama ambavyo heading inavyojielezea hapo juu ni swali nililokuwa nikijiuliza kwa muda mrefu sasa kama uwezo wa hawa watu (spies/intelligence officers) huwa ni wa mafunzo au wanazaliwa wakiwa tayari ni spies?
Ninawasilisha mjadala.
Naomba kuwasilisha
I respect you and your contributions sana kaka yangu. Unanifunza mengi sana tuMajukumu kiongozi wangu ila mara moja moja kama hivi tunapita hapa
Asante kwa appreciation dada yanguI respect you and your contributions sana kaka yangu. Unanifunza mengi sana tu
Nampenda sana AngelinaAisee yule Dada ni nyoko,
Hasa ukisoma wasifu wa uhusika aliouvaa kwenye ile sinema na shughuli aliyoifanya.
Zile Lips pale kati.Nampenda sana Angelina
How are they being made?are both, born and made.
But how? In which manners?We can dig it all and share, but they still got their own to venting and recruit qualified ones according to their different security levels.
Through trainning in various secret collage.How are they being made?