Are spies made or born?

Yaani hii thread inanipa hasira na matamanio ya kupeleka barua ya kazi kwa hao watu.

Napenda mno kazi hizi ila ipo siku Mungu atanipa kile nachomuomba.

Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
Usijaribu kabisa kufanya hivyo

Sent from my Apple iPhone 7plus using Jamiiforums
 
Sawa mkuu kuna siku wataniona.

Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
Never! Kadri unavozidi kuitamani hii kazi ndivyo na yenyewe inavyozidi kukukimbia,inakwenda kwa wale ambao hawaitaki au hawakuwahi kamwe kufikiria kufanya kazi hii!!! Amini haya ninayokwambia
Nitarudi..

Sent from my Apple iPhone 7plus using Jamiiforums
 
Never! Kadri unavozidi kuitamani hii kazi ndivyo na yenyewe inavyozidi kukukimbia,inakwenda kwa wale ambao hawaitaki au hawakuwahi kamwe kufikiria kufanya kazi hii!!! Amini haya ninayokwambia
Nitarudi..

Sent from my Apple iPhone 7plus using Jamiiforums
Kwaheri

Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
 
Special thread for discussing espionage business and other closely related issues:

Bila shaka wote mu wazima wa afya humu JF.

Kama ambavyo heading inavyojielezea hapo juu ni swali nililokuwa nikijiuliza kwa muda mrefu sasa kama uwezo wa hawa watu (spies/intelligence officers) huwa ni wa mafunzo au wanazaliwa wakiwa tayari ni spies?

Ninawasilisha mjadala.

Naomba kuwasilisha
Infantry Soldier mambo vp? Umenitenga sana dada yako.
 
We can dig it all and share, but they still got their own to venting and recruit qualified ones according to their different security levels.
 
Back
Top Bottom