ha haaa, na sitajuruhusu kwenda mirembe aisee, I have alot to do.....Yaani ukifikiria sana mambo ya linchi hii, Merembe inakuhusu!
mzima lakini? uliona ujumbe wa mdogo wako?, nilishindwa kuujibu my fone is acting funny; l cant text as kabla hata sijatouch mijiherufi kama 30 inatokea kwenye screen.
Hivi, na kwa nchi za zilizoendelea nao wameshaachana na hii ya kudhani unaowaongoza ni wajibu wa kiongozi?
Je kushindwa kwa 'wanamme' alaumiwe mwanamke??
Kama watoto wa familia wanaharibikiwa, baba ambaye ni 'head of the family' anakuwa wapi?
Kwa Kina mama na wake ndo wakulaumiwa sana. Wanalea tabia mbaya za watoto wao nyumbani na wakikua wanakuwa hawana msaada. Wengine kwa tamaa za wanaume na mali wamewasahau watoto wao hata kujali kukua kwao. Wengine wamewashirikisha watoto wao kwenye uovu hata wakashindwa kuwakemea tena. Wanawalea watoto wao kama mayai wakikua wanashindwa kuhimili mapambano ya dunia kwa kushindwa kuwa wabunifu wa harakati za maisha. Wameshindwa kuwafundisha watoto maisha halisi ya kwao na kuendekeza ukisasa unaoharibu kujiamini kwa watoto wao.
Kutwa wake wanajifunza namna ya kuwa bora kwa waume zao na kuendelea kushindana na hawara za waume zao wakisahau kuwa watoto wao ndo wana safari ndefu kuliko hao wanaume. Wameshindwa kutumia nafasi yao ya kuwa "wake" kuwashawishi waume wao wajali vizazi vyao hadi watoto wanakosa huduma muhimu. Wanabembeleza wanaume magoigoi kwa kisingizio cha mapenzi na heshima kwa mme hadi nyumba zinakosa dira. Wanalia kwa watoto wao kuhusu madhaifu ya baba zao watoto wanakosa heshima kwa baba na jamii. Wanaacha kujitathimini na kushinda makanisani kutafuta suluhu za matatizo ya ndoa wakati wao wana mchango mkubwa katika matatizo hayo.
Familia zao huishi tamaa zao kuwaridhisha.
Katika nyumba hizi hatoki mwanaume au mwanamke jasiri, mwaminifu anajijali na kujali wengine.
Hapo sijakuelewa kidogo...waweza fafanua?
mi naona responsibility kubwa iko kwa akina mama na malezi ya family kwa ujumla. ninaamini strongly kuwa mtoto umleavyo ndio akuavyo, na sisi wakina mama ktk jamii zetu ndio tuna jukumu kubwa la malezi ya watoto na jamii. Wamama wa kileo wamesahau haya majumu au tusema hawayapi kipaumbele kama ilivyokuwa mwanzo. concentration imekuwa devided btn carrier, maisha na malezi.
Wanaweke tukiamua tunaweza kuleta mabadiliko makubwa through malezi
Kwa hiyo natakiwa kuamini hawapo tena? Je watuachie nafasi sie tujaribu? Wako tayari?
Yaani ukifikiria sana mambo ya linchi hii, Merembe inakuhusu!
mzima lakini? uliona ujumbe wa mdogo wako?, nilishindwa kuujibu my fone is acting funny; l cant text as kabla hata sijatouch mijiherufi kama 30 inatokea kwenye screen.
Strongmen are there but do not expect them to come from our green and yellow party unless I've got it bad. There is a 'mystic' blowing down here, We need a systemic change..
Tumewapa watu wasiostahili madaraka tena kwa kura zetu. Hawajitambui na bahati mbaya wanafikiri wanayoyafanya yataendelea kuwa siri kwa milele yote. Ukiona watu wanaona yanayoendelea sasa hivi ni sahihi basi jiulize sana nini kinaendelea kwenye vichwa vyao
May be
Ila si unasikia hapa kila siku baadhi ya watu wanataka wanawake wawe submissive? Wawaache wanamme waongoze?
Au sijaelewa kusema 'half of the coin'?
Ndio fanyeni maamuzi basi tuwasaidieje?
Ila msituingize chaka maana na sie nao siku hizi tunaelewa elewa kidogo
Thanks my Sist, pia tusisahau waliojitokeza mashujaa kama Ulimboka, Mwangosi, Kibanda n.k waliondolewa ujasiri kama siyo kupotezwa kabisa....We are very strong but nature is stronger than us.kabla sijasoma michango ya wengine na pengine kuathiri view yangu; naomba kuchangia kama ifuatavyo.
strong men hawajaisha, ila definition ya strong men ndio haiko shared na wote au wengi.
head wa families wapo, lakini kama ilivyo kwa 'strong men', basi hata definition ya family haipo shared na wote.
ilikuwa ni zamani ambapo, kiongozi wa kabila, nchi alikuwa anaona wale anawaongoza kama ni familia yake na anapaswa hasa kuangalia future ya hiyo familia na anajisikia vizuri sana kama akiweza kuacomplish kusecure future nzuri ya hilo kabila au nchi hata kama kwa gharama ya tone lake la mwisho la damu.
Tofauti na sasa ambapo kiongozi ni mnyonyaji wa kundi analoliongoza while securing great future kwa familia yake nikimaanisha BMW (baba mama na watoto) hata kusahau extended family.
Gone are the days when, watu walikuwa wanabembelezwa kuongoza; lakini sasa watu wanaua ili waweze kutawala.
So Kongosho kwa kiwango kikubwa nakubaliana nawe, lakini definition ya strong men lazima iwe clear kwa kweli, maana to some, yule ambaye anaonesha ubabe can be regarded as strong man na kina nyerere wanaweza kuonekana ni wajinga ambao wameshindwa hata kuahakikisha future ya watoto wao inakuwa secured.
those strong men walioandaliwa kuongoza jamii from manufacturer