Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,338
mimi sitaki kujiaminisha hivyo....
najua wapo wengi tu, ila sisi hatuoni tumpe nani, kwa maana hiyo kosa ni letu.
kati ya vitu sitaki hasa kwa ngazi ya nyumba yangu ni mimi kiwa kichwa cha nyumba, sitaki kabisa
Tatizo tunapendekeza kwanza watu wanaofaa kutuongoza badala ya kuangalia maslahi ya taifa ni yapi kwanza kisha tuangalie nani ana sifa za kuweza kutimiza hayo maslahi then ndio tumteue aingie kwenye kinyang'anyiro lakini sie watz tunachofanya ni kuangalia mtu kwanza alafu ndio tunampa majukumu ya kutuongoza kwa kuangalia kigezo cha anajua kujenga hoja vizuri wakati tunasahau kwamba kule anakokwenda tunachohitaji ni mtu wa kufanya maamuzi na si kubishana.
Mbaya zaidi tunawapa watu madaraka ya kuongoza wizara au taasisi mbalimbali bila kuangalia uzoefu wake katika kuongoza hata taasisi ya watu 15 tu au kuweza kusimamia budget angalau ya milioni 10 kwa mwaka, ukichanganya na kujuana basi balaa anakua anaendeshwa kwa remote control.