Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
Nimeamua kuleta mada hii kutokana na ‘upepo' wa kisiasa/kitaifa unaolikumba taifa letu. Mie naona kila kitu vululuvululu. Hivi ‘wanamme' wetu wameenda wapi? Wako wapi wale wanamme tulioaminishwa ni ‘vichwa' vya familia na taifa?
Those strong, fearless, courageous, invulnerable, greatthinker and intellectually bright men? Where are our men waliokoe taifa? If our men are lost we are more lost.
Najua hata wanawake wana nafasi katika hilo lakini hadikufikia sasa asilimia kubwa ya uongozi uko chini ya wanamme, hadi 2005 wanawakewalikuwa 31%(including special seats) ukiondoa viti maalumu ni kama 9%
Do we need deconstruction and construction?
Hivi tunahitaji deconstruction ya "the myth of a strong man' and ‘Man asprotector and provider' Kwa sababu they have been challenged kwenye hili kuanzia ngazi za familia hadi kitaifa, hivi wanawake tunahitaji ku-adjust akili zetu tuondokane na hii delusion? Nielezeni.
May be a new construction of idea zinahitajika, kama ‘women and men partnership' ambapo kila component inapewa fursa sawa pamoja na ‘collective intelligence and collective leadership'room for debate, participation, recognition kwa wake na waume katika maendeleo.
Nikiongea kwa mtazamo wa niliyofundishwa na jamii iliyonikuza, kweli nahangaika sana kuwatafuta wanamme wetu kitaifa. Sitaki kuangalia chama wala nini, nataka kuangalia wanamme wetu tu, wako wapi, ni nini kinawapata? Mnapitia nini?
Those strong, fearless, courageous, invulnerable, greatthinker and intellectually bright men? Where are our men waliokoe taifa? If our men are lost we are more lost.
Najua hata wanawake wana nafasi katika hilo lakini hadikufikia sasa asilimia kubwa ya uongozi uko chini ya wanamme, hadi 2005 wanawakewalikuwa 31%(including special seats) ukiondoa viti maalumu ni kama 9%
Do we need deconstruction and construction?
Hivi tunahitaji deconstruction ya "the myth of a strong man' and ‘Man asprotector and provider' Kwa sababu they have been challenged kwenye hili kuanzia ngazi za familia hadi kitaifa, hivi wanawake tunahitaji ku-adjust akili zetu tuondokane na hii delusion? Nielezeni.
May be a new construction of idea zinahitajika, kama ‘women and men partnership' ambapo kila component inapewa fursa sawa pamoja na ‘collective intelligence and collective leadership'room for debate, participation, recognition kwa wake na waume katika maendeleo.
Nikiongea kwa mtazamo wa niliyofundishwa na jamii iliyonikuza, kweli nahangaika sana kuwatafuta wanamme wetu kitaifa. Sitaki kuangalia chama wala nini, nataka kuangalia wanamme wetu tu, wako wapi, ni nini kinawapata? Mnapitia nini?