Are Kasie and Aspirin a couple?

Are Kasie and Aspirin a couple?

Hhahahahahahahaha looh!!

Babu Asprin tangu arudi kutoka kunywa mbege safari hii amekuwa mpoleee....

Wacha nikuwekee mambo hadharani hapa mchana kweupee na wengine nao waone na wasikie.

Kasinde aka Kasie aka mama crush aka Mahaba Matata na aka nyingine kibaooo ni mwanamke halali wa Dadii Kitoko....

Huyu Dadii ni memba wa humuhumu JF ila sio Asprin Asprin ni Babu yangu aka Big Sam aka dawa ya kutuliza maumivu.

Iko siku isiyo na jina wala namba Dadii atakuja hapa jukwaani na kujidhihirisha kuwa yeye ndo anamuweka Kasie mjini na mavacation ya kila aina.

Nampenda sana Dadii sana sana tena sanaaa yaani sijui niseme kwa ukubwa gani ionekane maepnzi yangu kwa Dadii ni ya sayari nyingine.......

Ukifatilia nyuzi za Kasie asilimia 90 ni maelezo ya Kasie na Dadii na ni Mahaba mwanzo mwisho. Niko hivyo hata kwenye ulimwengu wa nje....

Namfurahia Dadii vile tunaishi kila mmoja ni mchokozi kwa mwenzie.... yaani acha tuu nisiseme mengi. Atapita na hapa atasoma, sanasana anaweza kuweka like akijisikia.

Mabusu teletele kwako Dadii wa Kasie, mmmuuuhaaaaa!!!!!!

Sasa LIKUD mdogo wangu, kuwa mpole tuu siwezi muacha Dadii labda yeye aniache mimi...

K' Matata.

Umemtetea sana Daddy basi ngoja nikae pembeni maana hapa duniani naogopa vitu viwili tu, Mungu na mwanamke alive kwenye ndoa
 
Ahahahahahahaha Baabuuu, hapo nilipo bold utampa na hofu Dadii ujue, ila kwa Dadii alivyo naanzaje kumuibia...... rangi yake, tabia, katoto lazima kafananie nae asilimia mia aahahahhhahahahaaa (Dadiii jana jioni tulizungumzia hili.... chotara wa Dadii na Kasie).

Nampongeza Sky yuko vizuri kukutunza, hongera sana Big Sam.
Dadii siwezi kumwibia bhana. Ila mleta mada akikuoa ndo ajipange.... ndio hilo tu kwa leo
 
Kasie hebu njoo umjibu huyu mtanzania

Aahahahahaa mwambie hiviii, ''...Sanaaaa, japo Kasie huwa hategemei vichocheo kama hivi kuziamsha. Hivi nilivyo nyegezi ziko pomoni asubuhi usiku, jumatatu ijumaa, januari disemba hehehehehehheheeee.''

Na hapa niko kibibi, nilivokuwa mschana ilikuwa hatariiii....
 
Dadii siwezi kumwibia bhana. Ila mleta mada akikuoa ndo ajipange.... ndio hilo tu kwa leo

Hapo sawa, mleta mada ni namba ndogo hawezi niwowa achilia mbali kunitoa kwa Dadii.
 
Aahahahahaa mwambie hiviii, ''...Sanaaaa, japo Kasie huwa hategemei vichocheo kama hivi kuziamsha. Hivi nilivyo nyegezi ziko pomoni asubuhi usiku, jumatatu ijumaa, januari disemba hehehehehehheheeee.''

Na hapa niko kibibi, nilivokuwa mschana ilikuwa hatariiii....
Basi inatosha. Ushamuamsha big Sam huku chimboni...

Mahaba nibabue, mahaba ni kama maendeleo...hayana chama
 
Unitumie kwa WhatsApp... ukiweka hapa utafaidisha wasiopenda maendeleo yetu.

Mahaba hayana chama

Aaaahahahahahahhaaa Babuuu, wasapu tena!!! Babu una mambo weweee, hupitwi na jambo hehehehehehhee.
 
Umemtetea sana Daddy basi ngoja nikae pembeni maana hapa duniani naogopa vitu viwili tu, Mungu na mwanamke alive kwenye ndoa

Hhahahahaha asante kukubali, sijamtetea bali nimemwaga Mahab yangu kwake hapa upenuni kila mwenye kusoma ajua Kasie ana mahaba mia mia bin trilionio kwa Dadii.
 
Basi inatosha. Ushamuamsha big Sam huku chimboni...

Mahaba nibabue, mahaba ni kama maendeleo...hayana chama

Aaaahahahhaa babu weweee..... uzuri wake Sky hachezi mbali.
 
Aaaahahahahahahhaaa Babuuu, wasapu tena!!! Babu una mambo weweee, hupitwi na jambo hehehehehehhee.
Hahahah mahaba mahabani...

AMARULA nilegezee... Grants nibabulie...
 
Hapana. Mi mke wangu ni Sky Eclat na mchepuko wangu wa kudumu ni Sakayo. Kasie ni partner wangu kwenye ulabu, starehe na anasa za dunia.

We kama unataka kumuoa jaribu bahati yako lakini haimaanishi kwamba utauvunja upatna wetu.

Ukishamuoa na akapata mimba, mtoto akizaliwa usisahau kucheki DNA kwa kuwa huwezi jua yanatokea nini kwenye starehe za dunia tunapokuwa tumeshanyuka ulabu wa kutosha.
@sakayo muondoe kwenye list yako "tafazali"
 
Hahahah mahaba mahabani...

AMARULA nilegezee... Grants nibabulie...

Wewe dawa yako siku utengenezewe cocktail moja Matata....

Halafu unawekewa ule wimbo wa Gwantanamera... gwarira gwantanamera.... ucheze aahahahahaaaa
 
Back
Top Bottom