Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,524
Najua watu wengi watanishangaa kwa kuuliza swali hili:
ASKOFU MKUU NOVATUS RUGAMBWA NI RAIA WA NCHI GANI?
Ninajua kabisa kuwa kwa kuzaliwa ni raia wa Tanzania kwa kuzaliwa lakini ninaamini kabisa kuwa ni raia wa Vatican kiroho. ArchBishop Rugambwa ameteuliwa kuwa mwakilishi wa papa (balozi wa Vatican) ktk nchi za Angola na Sao Tome and Principe.
Hoja na wasiwasi wangu ni kuwa yeye atakuwa mwaminifu kwa nchi gani kati ya nchi hizo mbili? Je ni Tanzania kwa kuwa tu ni nchi yake ya kuzaliwa au Vatican nchi yake ya kiroho? Naomba tuijadili hoja hii bila jaziba wala kashfa ili tuweze kupanuana mawazo na ufahamu kuhusu masuala mazima ya kiimani.
Naomba Kuwakilisha
BAZAZI
ASKOFU MKUU NOVATUS RUGAMBWA NI RAIA WA NCHI GANI?
Ninajua kabisa kuwa kwa kuzaliwa ni raia wa Tanzania kwa kuzaliwa lakini ninaamini kabisa kuwa ni raia wa Vatican kiroho. ArchBishop Rugambwa ameteuliwa kuwa mwakilishi wa papa (balozi wa Vatican) ktk nchi za Angola na Sao Tome and Principe.
Hoja na wasiwasi wangu ni kuwa yeye atakuwa mwaminifu kwa nchi gani kati ya nchi hizo mbili? Je ni Tanzania kwa kuwa tu ni nchi yake ya kuzaliwa au Vatican nchi yake ya kiroho? Naomba tuijadili hoja hii bila jaziba wala kashfa ili tuweze kupanuana mawazo na ufahamu kuhusu masuala mazima ya kiimani.
Naomba Kuwakilisha
BAZAZI