nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,349
- 3,904
Kama ingekuwa ni ugonjwa ningesema nakaribia kukata kauli kwa jinsi mapigo ya moyo yanavyonienda mbio nimuonapo binti huyu. Arabela nakupenda sana nipe pumziko ndani ya moyo wako. Ni jambo lipi jema zaidi ya kumwambia mtu "NAKUPENDA"
Upendo mara nyingi hauangalii kile ilichonacho mimi nampenda sipo kwa ajili ya kumrubuni
nzuri kyoma enetwork neyanga mbali ndi ha