Elections 2015 Apson awatumia kina Bashe kuwachafua Membe na Jack Gotham

Sauti ya Rondo

Senior Member
Aug 1, 2009
127
226
Nimeliona andiko la kumchafua Waziri Membe na Jack Gotham ESCROW: Bernard Membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake, lakini nataka niwahakikishie tu kwamba halina chembe ya ukweli hata kidogo.

1.Ni kweli Jack Gotham yupo Dodoma na tumekuja pamoja kwenye msiba wa baba yake mdogo marehemu mzee Adolf, tumeingia Dodoma Alhamis usiku saa 6 na tukapitiliza msibani tukakaa mpaka saa 8 usiku ndipo tuliporudi hotelini kujipumzisha.

Jana Ijumaa asubuhi na mapema tumedamka kwenye maandalizi ya asubuhi pamoja na matayarisho ya Ibada ambayo ilituchukua muda mpaka saa 11 jioni ndipo tulipoelekea makaburini kupumzisha mzee Adolf na kutoka makaburi ya eneo la Kikuyu mnamo saa 1 kasoro.

Saa 2 tulikuwa Dodoma Carnival kwa ajili ya chakula tukiwa watu zaidi ya 10 tuliotoka msibani pasipokuwepo na mwanasiasa yoyote katika jumuiko letu.Tumetoka huko saa 5 usiku na kurudi mahotelini.

Najiuliza ni muda gani matukio yote hayo yaliyotajwa yametokea kwa aina hiyo ya shughuli tangu juzi?Ni fabricated story yenye lengo mahsusi ya kutaka kuharibu mahusiano ya muda mrefu ya watu.

Ukweli uliopo ni kwamba yanayozungumzwa ni siasa chafu za kundi la Lowassa linaloongozwa na Apson Mwang'onda aliyekuwa Dg wa Tiss miaka ya nyuma.Hii ni baada ya kugundua kwamba sakata la Escrow litawageukia maana limegusa baadhi ya watu wao kama vile Andrew Chenge.

Pia jiulizeni je wanaoshabikia Escrow isomwe bungeni ni wapambe wa nani?Kangi Lugora,Deo Haule Filikunjombe na Peter Serukamba wanajulikana wazi ni watu wa Lowassa na sio Membe.Wanakosa hoja wanabaki kutengeneza hekaya za kumchafua Membe na Jack Gotham.

Apson Mwang'onda anapaswa aache kuwatumia kina Bashe kufanya na kueneza ujinga huu maana ataumbuka.Asifikiri anamharibia Membe au Jack zaidi wanajiharibia wao na mtu wao.Asitake tuongee ambayo yamebaki kuwa siri kwa nia ya kuepuka mivurugano ndani ya chama na serikali.

Akizidi kujilea katika umri wa ujinga wa uzeeni tutamlipua kabla hata hawajafikiria kumwambia mgombea wao aghairishe kuchukua fomu.
 
acha wafu wazikane, hamna faida kwa taifa hili, heri mngekuwa kwenye ile ndege ya malyasia;
 
Safi Mkuu Kwa Ufanunuzi Murua. Vijana Wa Huyu Fisadi Wanahangaika Sana.
 
Nawashangaa ninyi wote,kwa kuwa sioni sababu ya kutwishana lawama hizi za kipuuzi,ilihali mnajua fika kwamba UTAWALA HUU ULIOPO SASA uliingia madarakani kwa kutumia fedha za EPA.

Kwa hiyo wewe na hao wengine wote unaowataja hapa ni sehemu ya balaa hilo.
 
Mkuu mbona umejing'atang'ata sana? Au wewe ndiye unayetumika.

Wananchi wa Tanzania wanataka hela zao zirudi. Nafikiri huu ni wakati wakuungana na siyo siasa. Wananchi tunataka report isomwe.

Lugola, Filikunjombe na Selukamba wanawakilisha wananchi wengi kwa hili swala la Escrow, Likiisha tunaweza endelea na siasa ya maji tata unazotaka kuzileta hapa.
 
Mzee Apson naye hanaakili anazeeka kijinga sana lakini watakapokosa urais ndiyo watakapojikojolea wanadhani hatuoni ujinga wanaofanya.
 
acha waumizane tu....ni furaha kwetu sisi .. ukawa
 
Last edited by a moderator:
Nimeliona andiko la kumchafua Waziri Membe na Jack Gotham ESCROW: Bernard Membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake, lakini nataka niwahakikishie tu kwamba halina chembe ya ukweli hata kidogo.

1.Ni kweli Jack Gotham yupo Dodoma na tumekuja pamoja kwenye msiba wa baba yake mdogo marehemu mzee Adolf, tumeingia Dodoma Alhamis usiku saa 6 na tukapitiliza msibani tukakaa mpaka saa 8 usiku ndipo tuliporudi hotelini kujipumzisha.

Jana Ijumaa asubuhi na mapema tumedamka kwenye maandalizi ya asubuhi pamoja na matayarisho ya Ibada ambayo ilituchukua muda mpaka saa 11 jioni ndipo tulipoelekea makaburini kupumzisha mzee Adolf na kutoka makaburi ya eneo la Kikuyu mnamo saa 1 kasoro.

Saa 2 tulikuwa Dodoma Carnival kwa ajili ya chakula tukiwa watu zaidi ya 10 tuliotoka msibani pasipokuwepo na mwanasiasa yoyote katika jumuiko letu.Tumetoka huko saa 5 usiku na kurudi mahotelini.

Najiuliza ni muda gani matukio yote hayo yaliyotajwa yametokea kwa aina hiyo ya shughuli tangu juzi?Ni fabricated story yenye lengo mahsusi ya kutaka kuharibu mahusiano ya muda mrefu ya watu.

Ukweli uliopo ni kwamba yanayozungumzwa ni siasa chafu za kundi la Lowassa linaloongozwa na Apson Mwang'onda aliyekuwa Dg wa Tiss miaka ya nyuma.Hii ni baada ya kugundua kwamba sakata la Escrow litawageukia maana limegusa baadhi ya watu wao kama vile Andrew Chenge.

Pia jiulizeni je wanaoshabikia Escrow isomwe bungeni ni wapambe wa nani?Kangi Lugora,Deo Haule Filikunjombe na Peter Serukamba wanajulikana wazi ni watu wa Lowassa na sio Membe.Wanakosa hoja wanabaki kutengeneza hekaya za kumchafua Membe na Jack Gotham.

Apson Mwang'onda anapaswa aache kuwatumia kina Bashe kufanya na kueneza ujinga huu maana ataumbuka.Asifikiri anamharibia Membe au Jack zaidi wanajiharibia wao na mtu wao.Asitake tuongee ambayo yamebaki kuwa siri kwa nia ya kuepuka mivurugano ndani ya chama na serikali.

Akizidi kujilea katika umri wa ujinga wa uzeeni tutamlipua kabla hata hawajafikiria kumwambia mgombea wao aghairishe kuchukua fomu.

Wewe huna akili kabisa na kama Membe anawategemea watu bogus kama wewe nampa pole sana.

Ulianza vizuri kueleza dhumuni la safari yenu Dodoma ni msiba ulipaswa ujikite hapo lakini badala yake na wewe umejiingiza kwenye siasa uchwara.

Hivi jitu kubwa zima na akili zako unaota ndoto za mchana kwamba Membe anaweza kumshinda Lowasa kutoa rushwa Ccm ili ateuliwe kuwa mgombea wa chama cha wezi na mafisadi?

Njaa mbaya sana, Membe huyu aliyepata Unec kwa msaada wa Salma Kikwete na na mtoto wa Mfalme leo anawaza Urais? Poleni sana, naona tangu Kikwete awe Rais kila mpumbavu yeyote anadhani anaweza kuwa Rais, wakati mnajiandaa kumlipuwa Lowasa andaeni na maelezo ya pesa za Gadaffi Membe amezipeleka wapi?

Cc: Pasco
 
Last edited by a moderator:
nimeliona andiko la kumchafua waziri membe na jack gotham escrow: Bernard membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake, lakini nataka niwahakikishie tu kwamba halina chembe ya ukweli hata kidogo.

1.ni kweli jack gotham yupo dodoma na tumekuja pamoja kwenye msiba wa baba yake mdogo marehemu mzee adolf, tumeingia dodoma alhamis usiku saa 6 na tukapitiliza msibani tukakaa mpaka saa 8 usiku ndipo tuliporudi hotelini kujipumzisha.

Jana ijumaa asubuhi na mapema tumedamka kwenye maandalizi ya asubuhi pamoja na matayarisho ya ibada ambayo ilituchukua muda mpaka saa 11 jioni ndipo tulipoelekea makaburini kupumzisha mzee adolf na kutoka makaburi ya eneo la kikuyu mnamo saa 1 kasoro.

Saa 2 tulikuwa dodoma carnival kwa ajili ya chakula tukiwa watu zaidi ya 10 tuliotoka msibani pasipokuwepo na mwanasiasa yoyote katika jumuiko letu.tumetoka huko saa 5 usiku na kurudi mahotelini.

Najiuliza ni muda gani matukio yote hayo yaliyotajwa yametokea kwa aina hiyo ya shughuli tangu juzi?ni fabricated story yenye lengo mahsusi ya kutaka kuharibu mahusiano ya muda mrefu ya watu.

Ukweli uliopo ni kwamba yanayozungumzwa ni siasa chafu za kundi la lowassa linaloongozwa na apson mwang'onda aliyekuwa dg wa tiss miaka ya nyuma.hii ni baada ya kugundua kwamba sakata la escrow litawageukia maana limegusa baadhi ya watu wao kama vile andrew chenge.

Pia jiulizeni je wanaoshabikia escrow isomwe bungeni ni wapambe wa nani?kangi lugora,deo haule filikunjombe na peter serukamba wanajulikana wazi ni watu wa lowassa na sio membe.wanakosa hoja wanabaki kutengeneza hekaya za kumchafua membe na jack gotham.

Apson mwang'onda anapaswa aache kuwatumia kina bashe kufanya na kueneza ujinga huu maana ataumbuka.asifikiri anamharibia membe au jack zaidi wanajiharibia wao na mtu wao.asitake tuongee ambayo yamebaki kuwa siri kwa nia ya kuepuka mivurugano ndani ya chama na serikali.

Akizidi kujilea katika umri wa ujinga wa uzeeni tutamlipua kabla hata hawajafikiria kumwambia mgombea wao aghairishe kuchukua fomu.


kumbe bado mengine mmeyaficha?. Kweli ccm kiboko ya watanzania!!!
 
Nimeliona andiko la kumchafua Waziri Membe na Jack Gotham ESCROW: Bernard Membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake, lakini nataka niwahakikishie tu kwamba halina chembe ya ukweli hata kidogo.

1.Ni kweli Jack Gotham yupo Dodoma na tumekuja pamoja kwenye msiba wa baba yake mdogo marehemu mzee Adolf, tumeingia Dodoma Alhamis usiku saa 6 na tukapitiliza msibani tukakaa mpaka saa 8 usiku ndipo tuliporudi hotelini kujipumzisha.

Jana Ijumaa asubuhi na mapema tumedamka kwenye maandalizi ya asubuhi pamoja na matayarisho ya Ibada ambayo ilituchukua muda mpaka saa 11 jioni ndipo tulipoelekea makaburini kupumzisha mzee Adolf na kutoka makaburi ya eneo la Kikuyu mnamo saa 1 kasoro.

Saa 2 tulikuwa Dodoma Carnival kwa ajili ya chakula tukiwa watu zaidi ya 10 tuliotoka msibani pasipokuwepo na mwanasiasa yoyote katika jumuiko letu.Tumetoka huko saa 5 usiku na kurudi mahotelini.

Najiuliza ni muda gani matukio yote hayo yaliyotajwa yametokea kwa aina hiyo ya shughuli tangu juzi?Ni fabricated story yenye lengo mahsusi ya kutaka kuharibu mahusiano ya muda mrefu ya watu.

Ukweli uliopo ni kwamba yanayozungumzwa ni siasa chafu za kundi la Lowassa linaloongozwa na Apson Mwang'onda aliyekuwa Dg wa Tiss miaka ya nyuma.Hii ni baada ya kugundua kwamba sakata la Escrow litawageukia maana limegusa baadhi ya watu wao kama vile Andrew Chenge.

Pia jiulizeni je wanaoshabikia Escrow isomwe bungeni ni wapambe wa nani?Kangi Lugora,Deo Haule Filikunjombe na Peter Serukamba wanajulikana wazi ni watu wa Lowassa na sio Membe.Wanakosa hoja wanabaki kutengeneza hekaya za kumchafua Membe na Jack Gotham.

Apson Mwang'onda anapaswa aache kuwatumia kina Bashe kufanya na kueneza ujinga huu maana ataumbuka.Asifikiri anamharibia Membe au Jack zaidi wanajiharibia wao na mtu wao.Asitake tuongee ambayo yamebaki kuwa siri kwa nia ya kuepuka mivurugano ndani ya chama na serikali.

Akizidi kujilea katika umri wa ujinga wa uzeeni tutamlipua kabla hata hawajafikiria kumwambia mgombea wao aghairishe kuchukua fomu.


Acha mikwara ya kitoto, kama kweli unaweza kimlipua unasubiri nini kumlipua? Huna lolote!

Acha kutishia watu wazima nyau. Huu ni upuuzi kama upuuzi mwingine wowote.

Hizi ngonjera zenu za kitoto tumezichoka humu jamvini....tunataka vitendo, sio mnakuja kujitutumua humu wakati hamna lolote.
 
''Asitake tuongee ambayo yamebaki kuwa siri kwa nia ya kuepuka mivurugano ndani ya chama na serikali''
Dah hii nchi sasa.......Kuna watu wanaweza kuvuruga hadi Serikali?!!!!

2015 ipite salama maana......
 
Najiuliza maswali mengi sana. Mbona majibu ya wapambe wote wa Membe yanafanana? Sisi sio wajinga kama mnavyodhani. Hakuna Bashe wala Apson hapa. Membe kachafuka, ananuka, yeye kama kachero anajua kosa la kuihujumu serikali kuwa ni sawa na uhaini. Membe katajwa na wabunge wa upinzani kuwa anawapa siri za serikali. Anafanya hujuma kuvunja serikali huku akimdanganya Rais Kikwete kuwa ni rafiki yake. Huu ni uhaini. Jack Gotham kama alikua kafiwa, ni msiba gani wa siri? Mtu aliyefiwa anakwenda Dodoma carnival kula raha hata kabla ya siku moja ya matanga kupita?
 
Back
Top Bottom