APPT-Maendeleo, CHAUMA Wamuunga Mkono Lowassa/UKAWA

APPT-Maendeleo, CHAUMA Wamuunga Mkono Lowassa/UKAWA

UKAWA mna uzoefu wa kuungwa mkono na vyama ambavyo mwenyekiti wa chama husika ndie mwanachama pekee hai wa chama husika.

Mlianza na Makaidi,sasa mko na Mziray na huyo wa CHAUMA.Haya weee!!!!!

CCM MBE MBELE KWA MBELE UKAWA MTAISOMA NAMBA

..kwa kuwaunga mkono cdm ktk nafasi ya uraisi appt na chauma wametoa mwelekeo mzuri kwa siasa zetu za tz.

..ingependeza kama ccm nao wangeungwa mkono waziwazi na vyama vingine vidogo.

..mimi nadhani huu ni mwelekeo mpya, wa kisasa, unaoendana na siasa za kimataifa.

cc ocampo four, Ritz, ZeMarcopolo, Kasheshe, Mkandara, Nguruvi3
 
Last edited by a moderator:
..kwa kuwaunga mkono cdm ktk nafasi ya uraisi appt na chauma wametoa mwelekeo mzuri kwa siasa zetu za tz.

..ingependeza kama ccm nao wangeungwa mkono waziwazi na vyama vingine vidogo.

..mimi nadhani huu ni mwelekeo mpya, wa kisasa, unaoendana na siasa za kimataifa.

cc ocampo four, Ritz, ZeMarcopolo, Kasheshe, Mkandara, Nguruvi3

Uko sahihi kabisa mkuu.... Vyama vingine washaanza kusoma mchezo pamoja na kuchoka kutumiwa na Mafisiemu
 
Last edited by a moderator:
Hii ni habari nzuri saana, najua magamba hayapati usingizi mnono. Kuna wanaoogopa hatima yao kisiasa ikiwa serikali ijayo ni mbadala wa CCM.


 
UKAWA mna uzoefu wa kuungwa mkono na vyama ambavyo mwenyekiti wa chama husika ndie mwanachama pekee hai wa chama husika.

Mlianza na Makaidi,sasa mko na Mziray na huyo wa CHAUMA.Haya weee!!!!!

CCM MBE MBELE KWA MBELE UKAWA MTAISOMA NAMBA

October 25, ndio mpango mzima
 
UKAWA mna uzoefu wa kuungwa mkono na vyama ambavyo mwenyekiti wa chama husika ndie mwanachama pekee hai wa chama husika.

Mlianza na Makaidi,sasa mko na Mziray na huyo wa CHAUMA.Haya weee!!!!!

CCM MBE MBELE KWA MBELE UKAWA MTAISOMA NAMBA

Unakumbuka Mziray uchaguzi uliopita alipata kura laki na .na unakumbu ccm kigoma mjini ilishinda ubunge kwa kupata kura moja zaidi.anyway kwaheri ccm
 
UKAWA mna uzoefu wa kuungwa mkono na vyama ambavyo mwenyekiti wa chama husika ndie mwanachama pekee hai wa chama husika.

Mlianza na Makaidi,sasa mko na Mziray na huyo wa CHAUMA.Haya weee!!!!!

CCM MBE MBELE KWA MBELE UKAWA MTAISOMA NAMBA
CCM ni ile ile oooh ni ile ile.
 
Hapo kwenyewe una shida lukuki huna ela, maisha ya taabu then bado unaishabikia CCM inayowanufaisha zaidi Mama Salma na Rizone....

We sitakujibu nakuacha hivyohivyo ila jifunze kusoma katikati ya mistari.
 
Safi sana,Mwaka huu ushindi ni lazima!
 
Photoshop jamaa alikuwa analalamikia tume ya uchaguzi
 
Nafikiri ni chama cha ACT pekee ambacho ni tawi la CCM ndiyo kitakachobaki na mgombea wa Urais kwa nia ya kupunguza kura za CHADEMA na kuipa faida CCM.
Hivi kile chama cha Mrema kimetoa msimamo wowote katika uchaguzi huu, mara ya mwisho walimuunga mkono mgombea wa CCM kwenye urais.
 
..kwa kuwaunga mkono cdm ktk nafasi ya uraisi appt na chauma wametoa mwelekeo mzuri kwa siasa zetu za tz.

..ingependeza kama ccm nao wangeungwa mkono waziwazi na vyama vingine vidogo.

..mimi nadhani huu ni mwelekeo mpya, wa kisasa, unaoendana na siasa za kimataifa.

cc ocampo four, Ritz, ZeMarcopolo, Kasheshe, Mkandara, Nguruvi3
Kumuunga mkono rais hujaunga mkono UKAWA kama utasimamisha wagombea wako katika majimbo ya UKAWA..Mimi nilidhani hoja kubwa ya UKAWA ni kushinda Wabunge lakini kama ndivyo ilivyo watakosa kote maana Edo sio UKAWA na hatakuwa UKAWA kwa sababu UKAWA sio chama ni ushirikiano, hivyo wamo hata watu wa CCM. Kifupi CCM nayo imeingia UKAWA dhidi ya nani sijui?
 
Na bado...hakuna namna yoyote ambayo CCM itapona........................natabiri.................CCM itamuhonga UPDP na vyama vilivyosalia ili wamuunge mkono magufuli...lakini hata hivo nguvu ya Ukawa Ni Kubwa sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa......................sisi adui yetu ni CCM yoteeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Ni kweli nguvu ya UKAWA ni kubwa sana kwenye media na si majimboni.
 
Kumuunga mkono rais hujaunga mkono UKAWA kama utasimamisha wagombea wako katika majimbo ya UKAWA..Mimi nilidhani hoja kubwa ya UKAWA ni kushinda Wabunge lakini kama ndivyo ilivyo watakosa kote maana Edo sio UKAWA na hatakuwa UKAWA kwa sababu UKAWA sio chama ni ushirikiano, hivyo wamo hata watu wa CCM. Kifupi CCM nayo imeingia UKAWA dhidi ya nani sijui?

..theoretically, YES.

..practically, NO.

..inachosha kuwa mpinzani kwa miaka 20+.

..inachosha zaidi kama chama tawala ni hawa mabaradhuli wa ccm.

..nakuhakikishia itakuwa ahueni sana kama ukawa watashinda.
 
..theoretically, YES.

..practically, NO.

..inachosha kuwa mpinzani kwa miaka 20+.

..inachosha zaidi kama chama tawala ni hawa mabaradhuli wa ccm.

..nakuhakikishia itakuwa ahueni sana kama ukawa watashinda.
Mkuu Mabaradhuli ni hawa mnaowapokea mkidhani wanaume kumbe mashoga tu..Mtandao ni zaidi ya fikra zenu na mnachoshangilia mimi sikioni kabisa kwa sababu Lowassa hawezi kuwa Chadema ikiwa Chadema ndio wamemfuata! hakuna mtu alowahi kujiunga na CDM kwa kuombwa yeye ajiunge na kuahidiwa nafasi kama ile.. CDM needed Edo sio kinyume. Lowassa ni Mbwa mwitu alovaa ngozi ya kondoo akiwa ndani ya zizi la kondoo ama niseme hivi Lowassa ni sawa na Chatu, mbwa humfuata wenyewe na wakabanwa mbavu na kumezwa, wewe na mimi hatutaijua sababu!.

Miaka 20+ sio swala la CCM kimaadili, hakuna mahala popote yameandikwa hayo waloyafanya kwa miaka hiyo isipokuwa wamegawanyika katika uchumia tumbo kutokana na mvutano wa kama katika kapu nla mvuvi. Kwa miaka zaidi ya 30 walikuwa wote hawa maskini kama sisi wakizeeka na umaskini wao. Toka Mwinyi hadi JK agenda ni swala la watu hao kutokana na Umaskini, kila mmoja wao kachuma kwa wakati wake na hata walipotoka tamaa za utajiri zaidi zikawashika wakaanza kuumizana wenyewe. Hii ni vita baina ya Fisi na Simba, wewe nyumbu unafurahia nini na kusema bora ya Fisi kuliko Simba?
 
Mkuu Mabaradhuli ni hawa mnaowapokea mkidhani wanaume kumbe mashoga tu..Mtandao ni zaidi ya fikra zenu na mnachoshangilia mimi sikioni kabisa kwa sababu Lowassa hawezi kuwa Chadema ikiwa Chadema ndio wamemfuata! hakuna mtu alowahi kujiunga na CDM kwa kuombwa yeye ajiunge na kuahidiwa nafasi kama ile.. CDM needed Edo sio kinyume. Lowassa ni Mbwa mwitu alovaa ngozi ya kondoo akiwa ndani ya zizi la kondoo ama niseme hivi Lowassa ni sawa na Chatu, mbwa humfuata wenyewe na wakabanwa mbavu na kumezwa, wewe na mimi hatutaijua sababu!.

Miaka 20+ sio swala la CCM kimaadili, hakuna mahala popote yameandikwa hayo waloyafanya kwa miaka hiyo isipokuwa wamegawanyika katika uchumia tumbo kutokana na mvutano wa kama katika kapu nla mvuvi. Kwa miaka zaidi ya 30 walikuwa wote hawa maskini kama sisi wakizeeka na umaskini wao. Toka Mwinyi hadi JK agenda ni swala la watu hao kutokana na Umaskini, kila mmoja wao kachuma kwa wakati wake na hata walipotoka tamaa za utajiri zaidi zikawashika wakaanza kuumizana wenyewe. Hii ni vita baina ya Fisi na Simba, wewe nyumbu unafurahia nini na kusema bora ya Fisi kuliko Simba?

..sawa.

..lakini this time ccm lazima wapumzishwe.

..kama ni mtandao, sijui kitu gani, wacha tujaribu na chadema nao tuone uzuri au ubaya wao.
 
..sawa.

..lakini this time ccm lazima wapumzishwe.

..kama ni mtandao, sijui kitu gani, wacha tujaribu na chadema nao tuone uzuri au ubaya wao.
Mkuu tafadhali! hawa jamaa kumuunga mkono ama kumvhagua Lowassa wana maana ya kwamba kama CCM ingempitisha Lowassa basi wao wasingekuwa na pingamizi maana ndiye wanayetegemea kuleta mageuzi, sasa tujiulize ni mageuzi gani hayo? Na hawa CHAUMA wameonyesha wazi kwamba sio wamewaunga mkono UKAWA bali Lowassa na hivyo wangemuunga mkono hata kama angechaguliwa na CCM. Ndivyo kisiasa inavyotafsirika.

Kama UKAWA walikuwa na dawa dhidi ya Lowassa na walijiandaa vema dhidi ya Lowassa na mgombea wao ikiwa Lowassa atapitishwa na CCM, basi hizo ndizo sababu zingewafanya wasimchukue Lowassa kwani uchaguzi wa rais unatokana na sifa za mgombea sio Chama kwa ujumla. Mrema alifanya vizuri kwa sababu wananchi walimtazama yeye na sio NCCR na hata Dr. Slaa 2010 kama Chadema ingemsimamisha Mbowe bila shaka matokeo yangekuwa tofauti kabisa na ndio maana CDM wakampitisha Dr.Slaa.

Kwa hiyo unajaribu a Chadema kwa vipi kwani wananchi hawakuiona Chadema wakati wa Dr.Slaa ama Mbowe na kwa nini hawakuichagua ikiwa itikadi na sera zake ni zile zile!. Mkuu hatupo katika majaribisho, na wala hatuna wakati huo kwa sasa isipokuwa tumefungiwa kanya boya tukiamini kuna mbuzi katika gunia.

Hii Chadema itaongoza vipi? kwa hizo ahadi za Lowassa! mtu hatangazi hata sera za Chadema isipokuwa it's all about him, leo anatuhakikishia kwamba Mkataba wa Richmond ulikuwa safi kabisa na kusema ilikuwa kosa kufuatilia kesi hiyo ilitugharimu millioni mia moja na sijui ngapi, wakati leo inatugharimu zaidi ya hicho karibu kila mwezi na umeme bado hautoshelezi!

Huyu kweli ni mtu wa kumpa nafasi kubwa azungumze uongo kwa niaba yenu kwamba haoni kama kulikuwa na makosa yalipofanyika ilihali watu wote tunaamini yalikuwa makosa!. Huyu huyu leo anadai ati alitaka kuuvunja mkataba na kwa ushahidi gani? tumuamini tu leo hii. Richmond - shirika la kitapeli la uchapishaji Houston, owner wake mhindi tumekua naye Gerezani na address ya Rostam iwe mkataba safi kabisa ulosifika ha Obama na Mama Clinton sijui baada ya kuuziwa Symbion! Lini rais wa Marekani akaingilia biashara za mashirika hata kutamka maneno kama hayo!. Huu ni uongo ulopitikliza!

Sisi tunaoishi nchi hizi tunajua fika rais wa nchi hawezi kabisa kusema maneno hayo ktk mikataba ya mashirika isimhusu na kama unakumbuka Waziri mkuu wa Canada Harper alipokuja Dar aliombwa kutusaidia juu ya Mkataba wetu na Barricks! Na akasema yeye hana mamlaka hayo maadam tumeshafunga mkataba tukajadili na wawekezaji! Leo Lowassa anaudanganya Umma kwamba Obama alisifia mitambo ya Richmond na maneno haya anayasema kwa tiketi ya Chadema (UKAWA) mnakubali tu!..

Mnasikitisha sana ndugu zangu, sijui haya mageuzi yenu yanalenga kugeuzwa kwa chapati ili iive pande zote mbili..
 
Back
Top Bottom