Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hivi unaizungumziaje ile picha?hapana kwa kweli kila mtu atabeba furushi lake la dhambi aisee
Hasa ya kusimama?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unaizungumziaje ile picha?hapana kwa kweli kila mtu atabeba furushi lake la dhambi aisee
Utadhani Wana upinde wa mvua kwenye simu Bwanasasa hizo marangirangi zote za nini, rangi saba kidogo kama upinde wa mvua khaa haipendezi bhana.


Hahahaaa. Lol
Unaeza cheka mpaka basi.Mana mwisho wa siku kila mtu na uono wake.View attachment 1425576







Hapo unaclear caches/ history ya browser inakuwa imefuta browsing history yote. Unatinga kama guest.tabu ya browser ni pale unapopigwa ban hata kuingia kama guest haiwezekani dadeki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana Mtani mwisho wangu kutumia App ilikuwa 2015 toka hapo naisikia tu na wala sioni cha kunishawishi kutumia sababu naiona ina mapungufu mengi ambayo huwezi yakuta huku kwenye browser.
Wala atujapanic mamiloowazee wa browser wameanza kupaniki. Wao si ndio wanatuita sisi wazee
Hahahaaa. Wa App naona wana magazeti tu yasiyo na hata chembe ya ushawishi + tija sababu kukisifia kitu ambacho hakikidhi mahitaji kwako kwa100% ni vichekesho hivyo ujue. 😂😂Okay, mpaka hapa kama ni mpambano browser anaongoza.
Hawa wa app wasubiri marekebisho warudi upya kutetea app yao.
Mbona wengine tunaweka kawaida tu mkuuIla kwenye browser siku hizi nina changamoto ya kuweka link ya youtube, nikitumia code hii
[Xmedia=youtube]hapa ni pasted url[/mediax] video inakataa kuplay.. sijajua ni nini..
hizo x nimeziweka ili isiweke link ya youtube, hazitakiwi ziwepo hapo.
Mbona wengine tunaweka kawaida tu mkuu
Haha kukujibu mwisho two lines 🙌🙌Hahahaaa. Wa App naona wana magazeti tu yasiyo na hata chembe ya ushawishi + tija sababu kukisifia kitu ambacho hakikidhi mahitaji kwako kwa100% ni vichekesho hivyo ujue. 😂😂
Wasubirie kwanza hayo maboresho kama usemavyo Mtani sababu toka waanze kulalama kuhusu hiyo App si leo.
Cc. Mdogo wangu Next Man. Teh. (Kunijibu mwisho two lines)