Application Users Vs Browser Users

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nyie watu wa App bwana hamuenjoy ile sanaa ya ufunguaji wa pages
 
Oooohh Haya Haya Mkuu

.
Navyojua Mimi kabla ya App ilikua hiyo Website so App imekuja as Simplest Method
Ni Kama Jiko la Mkaa na Gesi wote tutapika Lakin kwa njia tofauti
 

Mbona ipo kama hivyo, kama kuna mtu huwezi kumuangalia jua ni yeye kazuia watu wasimpekue hata kwenye app hutoweza kumcheki.
Kusubscribe tread huku kinaitwa watch thread, ukiwatch utakuwa unapata notification
 
Oooohh Haya Haya Mkuu

.
Navyojua Mimi kabla ya App ilikua hiyo Website so App imekuja as Simplest Method
Ni Kama Jiko la Mkaa na Gesi wote tutapika Lakin kwa njia tofauti
Basi web ndio jiko la gesi na app ni jiko la mkaa, nimeona malalamiko ya app ndio mengi kuliko ya browser
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…