Application muhimu kwa smartphone yako

Application muhimu kwa smartphone yako

Naongezea apo! Kwa wale tusopenda kununua bando tunavizia public WiFi ambazo ni secure/ina password au router wifi ya jirani yako au uko Town afu kuna wifi ina security basi tumia WIFI MAP iko play store itaifungua na utasearch location ulipo na itaonyesha WiFi zinazokuzunguka na passwords za izo Wi-Fi waliozoweka jamaa,.... NB: GPS iwe ON muda uo ili iwe rahisi location yako kua recognized na WiFi Map na ukumbuke kudownload Tanzania WiFi Map iliopo umo umo kwenye App iyo...
nikisachi kwenye wifi yangu ya kawaida ya kwenye simu napata wifi ya mtu ipo jirani tu na mimi lakini nikitumia hiyo wifi map ili niipate password yake siipati, naletewa wifi zilozopo mbali umbali wa 600m wakati ya hapa jirani ambaho haifiki hata 50m haionekani kwenye WiFi map,shida nini?
 
Naongezea apo! Kwa wale tusopenda kununua bando tunavizia public WiFi ambazo ni secure/ina password au router wifi ya jirani yako au uko Town afu kuna wifi ina security basi tumia WIFI MAP iko play store itaifungua na utasearch location ulipo na itaonyesha WiFi zinazokuzunguka na passwords za izo Wi-Fi waliozoweka jamaa,.... NB: GPS iwe ON muda uo ili iwe rahisi location yako kua recognized na WiFi Map na ukumbuke kudownload Tanzania WiFi Map iliopo umo umo kwenye App iyo...
Sorry mkuu m nilidownload lakini nimeshindwa namna ya kuitumia naomba msaada nielekeze boss wangu nianzie wapi niishie wapi kutumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kutunza notes zako app ambayo huwa natumia ni Evernote hii iko poa sana nimekuwa naitumia tikea 2012 na niko na notes zangu zote since then.
 
nikisachi kwenye wifi yangu ya kawaida ya kwenye simu napata wifi ya mtu ipo jirani tu na mimi lakini nikitumia hiyo wifi map ili niipate password yake siipati, naletewa wifi zilozopo mbali umbali wa 600m wakati ya hapa jirani ambaho haifiki hata 50m haionekani kwenye WiFi map,shida nini?
Ndio shida ya hiyo App.
 
Naongezea apo! Kwa wale tusopenda kununua bando tunavizia public WiFi ambazo ni secure/ina password au router wifi ya jirani yako au uko Town afu kuna wifi ina security basi tumia WIFI MAP iko play store itaifungua na utasearch location ulipo na itaonyesha WiFi zinazokuzunguka na passwords za izo Wi-Fi waliozoweka jamaa,.... NB: GPS iwe ON muda uo ili iwe rahisi location yako kua recognized na WiFi Map na ukumbuke kudownload Tanzania WiFi Map iliopo umo umo kwenye App iyo...
Mkuu, hii kitu ni uhalisia?
 
wasapu
usokitabu
instagramu
twita

asilimia 99 ya simu janja wanatumia hizo
 
Na mimi ivo ivoo jirani huwa anayo ila apk hii haiisomi daah nilichoka! Inanionyesha zilizopo 60m huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_2019-01-03-17-04-22.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujua namna ya kutumia VPN
Iyo ni kiboko! Hata mtu aki update password nayo ina update pia, ina show passwords alizo change, ila mapungufu yake ni kua unahitaji kua connected to the internet ili iweze kufanya kazi, then uta copy passwords zako na utafanya yako.... Ila kwa usalama zaidi wa mambo yako utakayokua unafanya online pindi utakapo kua umefanikiwa ku connect na moja ya secure WiFi, basi huna budi kutumia VPN ili ku hide IP address yako na original location....
 
Back
Top Bottom