SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,074
Naitumia hadi leoNimewahi kuitumia ni nzuri sana
Naitumia hadi leoNimewahi kuitumia ni nzuri sana
Hii inafnya kaz gan mkuu!??Naitumia hadi leo
Sjaona Whatscan
True caller ndo natumia,hiyo nyingine hapaHii inafnya kaz gan mkuu!??
jamani hiyo video oder nshajaribu kuidown load lkn siwez kudowload video yoyote sasa ebu nielekezeni inavo tumika
mkuu utakapofungua video huwa inaleta option hizo unaweza download audio au video kwa size uipendayo.jamani hiyo video oder nshajaribu kuidown load lkn siwez kudowload video yoyote sasa ebu nielekezeni inavo tumika
ni jinsi ya kudownload video na picha za kawaida Instagram. Bofya kwenye hizo dot upande wa kulia ktk post... Kisha itatokea hivi
Hii App inahitaji simu iwe rooted au hata bila root?!Naongezea apo! Kwa wale tusopenda kununua bando tunavizia public WiFi ambazo ni secure/ina password au router wifi ya jirani yako au uko Town afu kuna wifi ina security basi tumia WIFI MAP iko play store itaifungua na utasearch location ulipo na itaonyesha WiFi zinazokuzunguka na passwords za izo Wi-Fi waliozoweka jamaa,.... NB: GPS iwe ON muda uo ili iwe rahisi location yako kua recognized na WiFi Map na ukumbuke kudownload Tanzania WiFi Map iliopo umo umo kwenye App iyo...
Hapana ku root sio lazima,,, inafanya kazi kwa both rooted & unrooted devices...Hii App inahitaji simu iwe rooted au hata bila root?!
Mbona unaguna!?Mmmmh
Hii n ya nnN7 music player ni zaidi ya Poweramp.
Jarib uone ukishindwa kabisa pakua GoneMAD music player lazima urudi unipe ahsante.
Naikubali Sana hii appKila mtu ana chaguzi zake bora katika application za Smartphone...!!
Sijaona app ya truecaller...!!
App inayokuwezesha kutambua jina la aliye kupigia hata kama huna namba yake..!!
Hii ni moja tu ya mfano ila kuna a lots of app ambazo ni bomba kutokana na hitaji la mtumiaji.
Yote ya yote shukran mleta uzi..
Naikubali Sana hii appKila mtu ana chaguzi zake bora katika application za Smartphone...!!
Sijaona app ya truecaller...!!
App inayokuwezesha kutambua jina la aliye kupigia hata kama huna namba yake..!!
Hii ni moja tu ya mfano ila kuna a lots of app ambazo ni bomba kutokana na hitaji la mtumiaji.
Yote ya yote shukran mleta uzi..
Naikubali Sana hii appKila mtu ana chaguzi zake bora katika application za Smartphone...!!
Sijaona app ya truecaller...!!
App inayokuwezesha kutambua jina la aliye kupigia hata kama huna namba yake..!!
Hii ni moja tu ya mfano ila kuna a lots of app ambazo ni bomba kutokana na hitaji la mtumiaji.
Yote ya yote shukran mleta uzi..