Apple yazindua simu tatu. iPhone X, iPhone 8 na iPhone 8 Plus. Zifahamu simu hizo kiundani hapa

Downloader zipo kibao tu achana na hiyo documents 6 , zipo I downloader, ipo my media yan zipo utitiri mpaka Facebook downloader na InstaSave

Jana nimeweka nyingine inaitwa video cache inashusha kila kitu. Acheni kupotosha watu wakuu

FYI , hizi downloader zinafanya pirating na kila mtu anazipiga vita lakini wachache wana succeed apple akiwa mmoja wapo wa tech giant ambae ameweza kufight na pirating and so far naona ni yeye tu anaweza hii kazi .. Developer wanachofanya ni kutafuta loopholes na ku impose risk kwa end user lakini legally contents nyingi haziruhusiwi kudownload mfano movies , softwares , music n.k

Mfano mzuri ni windows ambao wametoka kwenye windows 7 kwenda windows 8 then 10 , hii move inaonesha kabisa lengo ni kuweka softwares direct kwenye stores ili iwe ngumu kuzichukua free Kama ambavyo apple wamekuwa wakifanya.

Vitu vigine ni culture tu kujizoeza vitu vya wizi wizi sometimes unakuta software nzuri Kama deezer inauzwa hela ndogo tu dola moja au mbili lakini mtu halali usiku kujiunga ma bundle ya bure ili aiweke free , ukiangalia kwa jicho la pili huu ni ujinga, lets try to be responsible and legit
b9dea82dcaec35c0f1e8ddc02cd03ad0.jpg
mkuu kubishana na nyie ni tabu sana sababu hamjawahi kutumia android au hamfahamu similarities ya hivyo vitu, nitajaribu kukuelezea kiurefu zaidi kama utaelewa.

-Android hii ni kama bwalo au nyumba yenye vyumba vingi lakini unaweza kuingia kila chumba,

-ios hii ni kama jela au nyumba yenye vyumba vingi lakini huwezi kuingia kwenye kila chumba.

ukiwa na android utaweza kuhamisha mafile baina ya Apps moja na nyengine kwa urahisi, mfano naweza toa video toka folder la whatsapp kisha nikaihamisha hadi folder la alarm. ukiwa na ios hutaweza kuhamisha file baina ya folder la app.

hizo download manager unazosema zinadownload kwenye folder lake tu haziwezi kupeleka mafolder mengine hivyo tayari zinakuwa na limitation.

document 6 ni habari nyengine yenyewe ni file manager na download manager kwa pamoja, hizo app ulizotaja huwezi zifananisha na document 6, ukiwa na document 6 utadownload movie au youtube video kisha utaihamishia camera roll ili ikae. na wenzake kama kawaida. hizo app nyengine haziwezi.

compare na apps nyengine za ios document 6 ni more advanced sababu inabypass security za ios, ila compare na za android lets say ADM au es file explorer still nayo ni weak sababu inamiss essential features kama

-kuigawanya download vipande vipande ili idownload upesi upesi, hii ni kama idm, kwa android now pia zipo download manager zinafanya hivi, mfano adm, ucweb, videorder.
-kuipa process ya download special permission ili isibugudhiwe ukiclose app au ukifanya multitasking sana etc

na all in all tukirudi kwenye hoja, huwezi nunua iphone ukaacha android kwa kazi ya kudownload.
 
Siyo kwamba hakuna magari ya umeme, kuna tesla, toyota anayo, nissan anayo tatizo ni kwamba je utaweza enda umbali gani kwa hiyo chaji iliyopo?
Maana kuchaji kunachukua muda so watu wanaboresha ili liweze kuchaji haraka na kwenda umbali mrefu hilo ndilo swala la msingi.
Kama magari ya umeme yapo toka zaman sana zaman sana
Mimi nafikiri ingekuwa vyema kama iPhone zingewezeshwa kwanza kukaa na charge walau siku tatu zaidi ya wengine kwanza.kabla ya kufikiri itawezekana ktk magari.
 
Mimi nafikiri ingekuwa vyema kama iPhone zingewezeshwa kwanza kukaa na charge walau siku tatu zaidi ya wengine kwanza.kabla ya kufikiri itawezekana ktk magari.
More processing power more battery drainage.
Uliwahi soma article ya former CEO wa RIM inayosema how iphone killed blackberry?
 
mkuu kubishana na nyie ni tabu sana sababu hamjawahi kutumia android au hamfahamu similarities ya hivyo vitu, nitajaribu kukuelezea kiurefu zaidi kama utaelewa.

-Android hii ni kama bwalo au nyumba yenye vyumba vingi lakini unaweza kuingia kila chumba,

-ios hii ni kama jela au nyumba yenye vyumba vingi lakini huwezi kuingia kwenye kila chumba.

ukiwa na android utaweza kuhamisha mafile baina ya Apps moja na nyengine kwa urahisi, mfano naweza toa video toka folder la whatsapp kisha nikaihamisha hadi folder la alarm. ukiwa na ios hutaweza kuhamisha file baina ya folder la app.

hizo download manager unazosema zinadownload kwenye folder lake tu haziwezi kupeleka mafolder mengine hivyo tayari zinakuwa na limitation.

document 6 ni habari nyengine yenyewe ni file manager na download manager kwa pamoja, hizo app ulizotaja huwezi zifananisha na document 6, ukiwa na document 6 utadownload movie au youtube video kisha utaihamishia camera roll ili ikae. na wenzake kama kawaida. hizo app nyengine haziwezi.

compare na apps nyengine za ios document 6 ni more advanced sababu inabypass security za ios, ila compare na za android lets say ADM au es file explorer still nayo ni weak sababu inamiss essential features kama

-kuigawanya download vipande vipande ili idownload upesi upesi, hii ni kama idm, kwa android now pia zipo download manager zinafanya hivi, mfano adm, ucweb, videorder.
-kuipa process ya download special permission ili isibugudhiwe ukiclose app au ukifanya multitasking sana etc

na all in all tukirudi kwenye hoja, huwezi nunua iphone ukaacha android kwa kazi ya kudownload.

Jamaa umekuwa ukiweka uongo Mtupu humu , kusema document 6 ndo yenye uwezo wa kuhamisha file ni uongo 200%. Hapa nimekuwekea snap ya vdeo cache ikihamisha file kutoka kwake kwenda I downloader na kwenda vlc , pia unaweza kuiweka kwenye camera rolls it’s easy , yan mkuu inaonekana hujatumia iphone kabisa , angalia snap hizi attached
cb9eb67d7719cbfccb1ee2c550614784.jpg
079343a4ea3d7785c52eaf44dbd5a1f1.jpg
e22b0e3ad759fcf48e293ac963a14ae2.jpg
 
Jamaa umekuwa ukiweka uongo Mtupu humu , kusema document 6 ndo yenye uwezo wa kuhamisha file ni uongo 200%. Hapa nimekuwekea snap ya vdeo cache ikihamisha file kutoka kwake kwenda I downloader na kwenda vlc , pia unaweza kuiweka kwenye camera rolls it’s easy , yan mkuu inaonekana hujatumia iphone kabisa , angalia snap hizi attached
cb9eb67d7719cbfccb1ee2c550614784.jpg
079343a4ea3d7785c52eaf44dbd5a1f1.jpg
e22b0e3ad759fcf48e293ac963a14ae2.jpg
hujanionyesha kitu hapo, kwani video player ikiplay file inahamisha folder? si inacache tu ile video na kuiplay?

kuhamisha file baina ya folder na folder mfano wako ni huu.

-download file na hio downloader yako
-hamisha hilo file eka kwenye folder la app nyengine.

na hio air drop si adhoc? si unatumia pc hapo au vifaa viwili? yaani utumie pc kujibu hoja ya kuhamisha file na file manager?
 
hujanionyesha kitu hapo, kwani video player ikiplay file inahamisha folder? si inacache tu ile video na kuiplay?

kuhamisha file baina ya folder na folder mfano wako ni huu.

-download file na hio downloader yako
-hamisha hilo file eka kwenye folder la app nyengine.

na hio air drop si adhoc? si unatumia pc hapo au vifaa viwili? yaani utumie pc kujibu hoja ya kuhamisha file na file manager?

Imeandika “ copy file to” maana yake file linatoka sehem moja kwenda nyingine , yan hapo naweza kuchukua file toka downloader moja kwenda nyingine au kupeleka Watsap na likakaa huko huko .

Mfano video nimeitoa hapo naipeleka vlc na linabaki huko huko bila shida , wewe tu hujajua (ningeweka video sema jf inasumbua ku upload)

Mkuu kubali tu kwamba umeshindwa usilete tena ubishi

de6544e27d6fc546218934eb78dcbed5.jpg
 
Imeandika “ copy file to” maana yake file linatoka sehem moja kwenda nyingine , yan hapo naweza kuchukua file toka downloader moja kwenda nyingine au kupeleka Watsap na likakaa huko huko .

Mfano video nimeitoa hapo naipeleka vlc na linabaki huko huko bila shida , wewe tu hujajua (ningeweka video sema jf inasumbua ku upload)

de6544e27d6fc546218934eb78dcbed5.jpg
hapana mkuu hio ni feature kama share to ya android hapo huhamishi file bali unalipeleka likatumike huko, video player inaweza ikaplay file popote pale.

kama unatumia pc huu mfano utaelewa vizuri,
1. vlc ipo local disk c kwenye program files ila inaplay file ambalo lipo my video, haulihamishi lile file lije prgram files bali unalitumia tu likiwa pale pale
2. una attach file kwenye email, file liko my documets unatumia outlook, lile file haliji kwenye outlook pale pale lilipo utalitumia,
3. unapoangalia video youtube yale mafile hayaingii folder la browser na kukaa mule bali utaangalia tu ukimaliza browser yako itabaki vile vile.

hapo app inakuwa ina generate url tu na app nyengine inatumia na sio kwamba hilo file lina hamishwa.

kuhamisha file ni kulifanya permanent liwe mkazi wa kule, ndio maana huoni ios watu wakieka fonts, launchers, kumodify apps etc.

soma hapa hicho ulichoonesha ni hiki
Sharing Files | Android Developers
 
hapana mkuu hio ni feature kama share to ya android hapo huhamishi file bali unalipeleka likatumike huko, video player inaweza ikaplay file popote pale.

kama unatumia pc huu mfano utaelewa vizuri,
1. vlc ipo local disk c kwenye program files ila inaplay file ambalo lipo my video, haulihamishi lile file lije prgram files bali unalitumia tu likiwa pale pale
2. una attach file kwenye email, file liko my documets unatumia outlook, lile file haliji kwenye outlook pale pale lilipo utalitumia,
3. unapoangalia video youtube yale mafile hayaingii folder la browser na kukaa mule bali utaangalia tu ukimaliza browser yako itabaki vile vile.

hapo app inakuwa ina generate url tu na app nyengine inatumia na sio kwamba hilo file lina hamishwa.

kuhamisha file ni kulifanya permanent liwe mkazi wa kule, ndio maana huoni ios watu wakieka fonts, launchers, kumodify apps etc.

soma hapa hicho ulichoonesha ni hiki
Sharing Files | Android Developers

Hii mada nyingine tena umeleta, hii tutaongea baadae , huko juu ulisema document 6 ndo inaweza kuhamisha file kutoka app moja kwenda nyingine au kuli save kwenye media kitu ambacho app nyingine zinafanya pia , baada ya kukuwekea ushahidi unakuja na vitu vigine . Angalia tena maelezo yako Hapa
7205a71d5ea34dbd7dd774697fa8f82a.jpg
 
Hii mada nyingine tena umeleta, hii tutaongea baadae , huko juu ulisema document 6 ndo inaweza kuhamisha file kutoka app moja kwenda nyingine au kuli save kwenye media kitu ambacho app nyingine zinafanya pia , baada ya kukuwekea ushahidi unakuja na vitu vigine . Angalia tena maelezo yako Hapa
7205a71d5ea34dbd7dd774697fa8f82a.jpg
yes still unatakiwa uelewe kwenye simu kuna utofauti wa ku share na manual kuhamisha, document 6 haifanyi share unacopy na kupaste folder nyengine,

sina kifaa cha ios hapa ningekuonesha utofauti, au kama unaona nakudanganya mtafute mtu wa ios mwenzako humu kina waheed na bravia hao watakupa utofauti wa kucopy na kupaste manual na ku share.
 
More processing power more battery drainage.
Uliwahi soma article ya former CEO wa RIM inayosema how iphone killed blackberry?
kama unajua hili,maelezo ya kwanza yalizingatia kitu gani???au gari hill linayarajiwa kuwa na parfomance ya baiskeri???
 
Kuna mdau kasema ili uweze kutumia iPhone lazima uwe vizuri kichwani,,sasa hii ni simu au ndege??..wengi wanaotumia iphone hapa bongo najua 65% percent hawazifurahii sema tu wanataka show off za ajabu ajabu..Wacha niendelee kukomaa na google pixel yangu..
 
Kuna mdau kasema ili uweze kutumia iPhone lazima uwe vizuri kichwani,,sasa hii ni simu au ndege??..wengi wanaotumia iphone hapa bongo najua 65% percent hawazifurahii sema tu wanataka show off za ajabu ajabu..Wacha niendelee kukomaa na google pixel yangu..

Sio kweli

Mdg ang anatumia iPhone 6 vzri tuu
 
kama unajua hili,maelezo ya kwanza yalizingatia kitu gani???au gari hill linayarajiwa kuwa na parfomance ya baiskeri???
Simu ni kifaa kidogo sehemu ya kuweka battery na bado simu iwe ndogo ni kazi maana jinsi unavyotaka battery likae na chaji ndivyo linazidi kuwa kubwa so wanacheza na optimization ya processing.
Turudi kwenye gari kitu ambacho kinaganya gari za umeme zisipendwe ni hiyo mtu kuwa na wasi wasi wa chaji kukata hujafila then ukae usubiri lichaji mpaka lijae, ndiyo maana kuna magari ya umeme ambayo battery liliwa low yana engine inawaka kuchaj battery sio kuendesha gari lakini hiyo bado inachukuliwa kuwa ni hybrid watu wanataka pure electric car.
Ndiyo maana makampuni yana fight kuona ni jinsi gani yanaweza kuprolong battery life per charge u cover distance kubwa na kumbuka gari la umeme halina engone zaidi ya motor ambazo ni ndogo compared na engine so mbele kwenye bonet inaweka kaa engine, eneo lote la chini inaweka kaa battery, yani maana yangu gari lina nafasi kubwa ya kukupa uwezo wa kutengeneza battery kubwa zaidi kuliko simu.
Ukiongeza battery kwenye sim lazima uongeze ukubwa wa simu wakat watu wanapambana kutengeneza simu nyembamba.
But technology inakuwa hope kuna siku battery dogo litaweza kaa saa 24 per charge na fast charging nimesikia kuna kampuni ya israel ime develope battery la simu linachaji na kuwa full ndani ya dakika sijui 5 sikumbuka ni dakika ngapi but chache.
Ndoto moja wapo ya steve jobs ilikuwa ni kutengeneza gari la umeme from apple.
Japo yapo magari ya umeme hope lao litakuwa na cha ziada kama ambavyo zilikuwepo simu but iphone ikawa game changer.
 
Kuna mdau kasema ili uweze kutumia iPhone lazima uwe vizuri kichwani,,sasa hii ni simu au ndege??..wengi wanaotumia iphone hapa bongo najua 65% percent hawazifurahii sema tu wanataka show off za ajabu ajabu..Wacha niendelee kukomaa na google pixel yangu..
Wengi wanaongea kuhusu iphone ila hawajawahi kutumia yani no hearsay, au kama katumia kaitumia nusu saa na bado akiwa na mawazo akitegemea i function kama android.
Ni sawa mtu wa windows umpe pc yenye ubuntu au mac OS atasema ni ngumu na mbaya kwakuwa anawaza iwe kama windows.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom