Apple yazindua simu tatu. iPhone X, iPhone 8 na iPhone 8 Plus. Zifahamu simu hizo kiundani hapa

Kuna mdau kasema ili uweze kutumia iPhone lazima uwe vizuri kichwani,,sasa hii ni simu au ndege??..wengi wanaotumia iphone hapa bongo najua 65% percent hawazifurahii sema tu wanataka show off za ajabu ajabu..Wacha niendelee kukomaa na google pixel yangu..

Kama hatufuraiii wenzio huu mwaka wa 10 yan vipind 2 vya marais wa Tz sasa sijui unasemajena shida idevices unaziona kwa Tv au movies ndo mana unaweweseka
 
Kuna android au smartphome yoyote inakaa na chaji siku 3 au ndio ule
Ugonjwa wa rangi nyeusi kulalamika bado upo
kama utaizima isiwe hewani sawa.

sasa msome mwenzako niliyemquote,akajibu habari za gari kukaa na charge.

kama hiyo gari itakuwa ikizimwa sawa.otherways watupe mapinduzi ya charge ktk simu kwanza ndipo wafikirie huko kwenye magari kuwazidi wengine.
 
msitoke nje ya mada jamani, hatupimi nani zaidi tunaanglia ecosystem ipi ipo na ipi hakuna,

nilisema hapo nyuma App store ni nzuri mtu wa kawaida ila ukitoka nje ya whatsapp na snapchat ukaenda kwa geeks na super user android ni nzuri zaidi.

nimewaletea ushahidi, sitaki kuambiwa kwamba sijui hamuhitaji launcher wala split multitasking, jibu ni kwamba hiyo ecosystem hamna, na kama hakuna means App store imepitwa na Playstore kwenye hio ecosystem. hayo ya kwamba unaitumia au huitumii au ina faida au haina faida anzisha tena hoja nyengine tutaidiscuss nayo.

Tatizo lako unataka wote tuwe ma geek ndo linalokusumbua
 
Daaaaah chief mkwawa kweli mwanateknolojia anatoa facts mwanzo mwisho ila hyu jestkilla anatukana tu sioni Hons zake, bora hta island, bavaria n.k walileta facts zilizoshiba na sio matusi, endeleeni wajomba discussions zenu ni valuable sana kwa sisi wavivu wa kufuatilia mambo.

Kaaa na uvivu wako acha kukaa kufagilia watoto wa kiume wenzako et chief mkwawa anatoa fact kwa ukilaza wako umejuaje n fact kama
Sio upuuz
 
kama utaizima isiwe hewani sawa.

sasa msome mwenzako niliyemquote,akajibu habari za gari kukaa na charge.

kama hiyo gari itakuwa ikizimwa sawa.otherways watupe mapinduzi ya charge ktk simu kwanza ndipo wafikirie huko kwenye magari kuwazidi wengine.

Ninachowashangaa hawa android kua ios inawafanya waweweseke sana ila sie team apple hatuna mda nao
 
kama utaizima isiwe hewani sawa.

sasa msome mwenzako niliyemquote,akajibu habari za gari kukaa na charge.

kama hiyo gari itakuwa ikizimwa sawa.otherways watupe mapinduzi ya charge ktk simu kwanza ndipo wafikirie huko kwenye magari kuwazidi wengine.
Narudia kasome article ya former CEO wa RIM inayosema how iphone killed blackberry.
Moja ya sababu alizotaja ni wao RIM kuilimit simu ili isile chaji, walipoona iphone wakasema watu hawatoipenda haikai na chaji kumbe they were wrong, people never cared about that.
Wakaona browser ya simu ya iphone inapitisha data nyingi sio kama ya simu nyingine kipindi kile.
Wakasema hii simu haitofanikiwa mitandao itacrash na ni kweli ili crash At&T na Verizon ilibidi wa update mitambo yao kuendana na iphone.
 
Narudia kasome article ya former CEO wa RIM inayosema how iphone killed blackberry.
Moja ya sababu alizotaja ni wao RIM kuilimit simu ili isile chaji, walipoona iphone wakasema watu hawatoipenda haikai na chaji kumbe they were wrong, people never cared about that.
Wakaona browser ya simu ya iphone inapitisha data nyingi sio kama ya simu nyingine kipindi kile.
Wakasema hii simu haitofanikiwa mitandao itacrash na ni kweli ili crash At&T na Verizon ilibidi wa update mitambo yao kuendana na iphone.

Kulinganisha Android na iphone ni kuishiwa akili ni simu gani ya android ya mwaka 2013 itapata updates ya android Oreo lakini kwa apple iPhone 5s imepata
 
Kulinganisha Android na iphone ni kuishiwa akili ni simu gani ya android ya mwaka 2013 itapata updates ya android Oreo lakini kwa apple iPhone 5s imepata
hakuna mtu analinganisha,kinachowavuruga nyinyi ni kusikia kwamba mtu hapendelei iphone kwa sababu anazoziona yeye haitamfaa.

binafsi nikikwambia iOS haina mashiko kwangu,unachanganyikiwa sjui mkoje!!!
 
msitoke nje ya mada jamani, hatupimi nani zaidi tunaanglia ecosystem ipi ipo na ipi hakuna,

nilisema hapo nyuma App store ni nzuri mtu wa kawaida ila ukitoka nje ya whatsapp na snapchat ukaenda kwa geeks na super user android ni nzuri zaidi.

nimewaletea ushahidi, sitaki kuambiwa kwamba sijui hamuhitaji launcher wala split multitasking, jibu ni kwamba hiyo ecosystem hamna, na kama hakuna means App store imepitwa na Playstore kwenye hio ecosystem. hayo ya kwamba unaitumia au huitumii au ina faida au haina faida anzisha tena hoja nyengine tutaidiscuss nayo.
hujajibu hoja hata moja hapo mkuu zaidi ya kuhalalisha limitation za ios ni kawaida.
1. usichanganye split screen multitasking na true multitasking ni vitu viwili tofauti,
-split screen multitasking ni uwezo wa kurun apps mbili kwa pamoja na ndio unayosema wewe
-true multitasking ni uwezo wa kuruhusu background process zifanye kazi bila ku hibernate hata kama hutumii hio program, Ios ina app switcher tu.

u
hapa hoja ilikuwa ni ecosystem, nakukumbusha kila saa hoja sababu sitaki tutoke nje ya mada,
-unaposema ios 10 ni launcher tosha means hakuna launcher huko store kwa lugha nyengine hakuna ecosytem ya launcher
-ningeomba unioneshe hizo widgets za ios nifanye comparison na za android tuone ipi ni ecosystem bora
-hakuna phone record means hakuna ecosystem hio store
-file manager ipo icloud means hakuna hizo manager store
-default apps vile vile developer hatahangaika kuzitengeneza sababu haruhusiwi aka hakuna hio ecosystem

mkuu hatubishani chengine hapa tupo kwenye ecosystem.
Upo serious kabisa mkuu? labda kama mwisho ulitumia simu ya iOS yenye iOS 6 huenda ukawa sahihi, labda ili mimi nisijitetee sana hebu jaribu kutafuta iPhone 6S (Apple flagship 2015) na Samsung Galaxy S6 (Samsung flagship 2015) halafu tafuta apps kama ishirini hivi ambazo unajua kuwa intensive kwenye resources utilization kama vile magame kisha fungua hizo apps zote kuanzia ya kwanza hadi ya mwisho kwenye simu zote, kisha rudi kuangalia ni simu gani imefanya vizuri kwenye true multitasking, ila usije ukawadanganya watu hapa kuwa iOS hakuna multitasking

Haya turudi kwenye hoja ya ecosystem maana wewe ndo ulianza kutoka nje ya maada, swali liliuliza ipi ni ecosystem nzuri? Maana ya ecosysytem nzuri ni nini kwa tafsiri yako? kwamba ni kuwa na apps nzuri zinazofanya kazi ipasavyo (efficiently and consistency as purposefully) au kuwa na apps nyingi kama unavyodai hapo juu, kwamba kukosekana kwa baadhi ya apps hata kama hazina umuhimu, leo hii Windows Store ana apps chache kuliko Play Store (Android Store zote) lakini kwangu ukiniuliza ipi kati ya hizo store ina ecosystem nzuri nitakujibu ni Windows Store, kwa nini? si kwa sababu ina apps nyingi bali it's not garbage bucket like Android stores, hivyo hivyo ukiniuliza kwa store zote nitaanza App Store itafuatia Windows Store na wengine watafuata nyuma hapo, hujawahi kujiuliza ni kwa nini developer wengi (serious developer only) apps zao huwa zinaanzia App Store halafu ndo zinafuatia store nyingine?
 
mkuu usitoke kwenye hoja,
nikukumbushe hoja

face id vs windows hello

nimekwambia unanipotezea muda sababu unaongea vitu visivyo husika, kusema ransomware alieishambulia windows xp na windows 7 (ya mwaka 2009) havimake sense.

ninavyokufahamu unapenda sana kutoa ushahidi wa picha na links lakini hapa naona unabwabwaja maneno tu sababu unafahamu windows hello ni nini.

mkuu actress wote hawa ni ios na icloud imechakachuliwa thats why picha na video zao zipo mtandaoni, ndio maana nikakwambia hio ni security ya kulinda msg za whatsapp tu unapoenda kwa wababe wenyewe mara moja wanaichakachua tofauti na windows hello na security ya Microsoft kwa ujumla. tulidiscus hii leak hapa
Hacking kubwa kufanyika kwenye historia ya celebrity
maisha yangu yote ya kufuatilia technology sijawahi ona breach kubwa kama hii na mpaka leo inaendelea kuwa namba moja, thanks to Apple.

makampuni mengi duniani wanatumia ecosystem ya Microsoft na Onedrive pamoja na Microsoft azure, outlook etc ni kubwa sana tena sana compare na cloud ya Apple ila sisikii ovyo ovyo watu wakizichakachua kampuni kubwa, na hizi ndio zina hela balaa kuliko hizo id za celebrity wa icloud na ios
Sielewi unailinganisha security Windows 10 and which OS hebu naomba unambie japo celebrity wanne tu Os walitokuwa wanatumia,mwaka huyo hacker aliye hack,Kwa sababu umekomaa na windows 10 kwa ios which os huu si ushabiki na upendeleo.
Wewe ukija kwenye apple unasema ios ukienda kwenye windows unasema windows 10 bro be specific tuangalie security hapa.Sio ukute unazungumzia mambo ya 2014 huko.
Eti windows 10 mbona hii hapa windows 10s sasa imekuwa hacked na hacker alisema hata ransomware angeweka na wakati microsoft wanapiga domo eti ina ulinzi sasa kwa taarifa yako imechukua 3hrs mpaka aibu.
'Secure' Windows 10 S Hacked Wide Open in 3 Hours
Acha hiyo microsoft waliwaonya wateja wao kuhusu kuwa hacked.
IMG_7501.PNG

Wao si nondo kuliko apple?
 
Kaaa na uvivu wako acha kukaa kufagilia watoto wa kiume wenzako et chief mkwawa anatoa fact kwa ukilaza wako umejuaje n fact kama
Sio upuuz
Inawezekana mdau mmoja humu hakukosea kukuita ke, maana hta ujibiju wako tu ni hitimisho tosha, ila sorry kama nitakuwa nimekukwaza kukuambia ule ukweli, hebu mkwawa na wataalamu wengne endelezeni discussion aisee.
 
Sielewi unailinganisha security Windows 10 and which OS hebu naomba unambie japo celebrity wanne tu Os walitokuwa wanatumia,mwaka huyo hacker aliye hack,Kwa sababu umekomaa na windows 10 kwa ios which os huu si ushabiki na upendeleo.
Wewe ukija kwenye apple unasema ios ukienda kwenye windows unasema windows 10 bro be specific tuangalie security hapa.Sio ukute unazungumzia mambo ya 2014 huko.
Eti windows 10 mbona hii hapa windows 10s sasa imekuwa hacked na hacker alisema hata ransomware angeweka na wakati microsoft wanapiga domo eti ina ulinzi sasa kwa taarifa yako imechukua 3hrs mpaka aibu.
'Secure' Windows 10 S Hacked Wide Open in 3 Hours
Acha hiyo microsoft waliwaonya wateja wao kuhusu kuwa hacked.
View attachment 594240
Wao si nondo kuliko apple?
na wewe kama wenzako nakuambia urudi kwenye hoja face id vs windows hello, maana naona umechepuka sana njia kuu.

kuhusu hio windows 10s yaaani mtu ana device tayari, laptop anapewa imeshafunguliwa sidhani kama ni point unayoweza kuitumia, sio yeye tu hata mimi na watu kibao wanaweza hack pc ya namna hio si ngumu kivile. pc ya 10s anytime unaweza kuiconvert kwenda 10 pro tena bure no need kuhack kupata access kama hio.

na updates si ndio kazi yake? unatakiwa uwe up to date ili usichakachuliwe? ulitaka wasemaje? uweke version ya zamani? hizo updates ndio zinawafanya microsoft wakubalike na makampuni dunia nzima, na sio Apple wala Google wala mwengine.

kuhusu icloud mkuu sio mwaka naweza kukuletea breach hata 10 au zaidi zipo kibao sana tena sana, hivi tunaandika hapa kuna breach ina trend mwezi wa 8 na wa 9 mwaka huu ya Kalunga Russia icloud hack, jisomee mwenyewe.

kalunga russia ransomware - Пошук Google

search tu hashtag [HASHTAG]#fappening[/HASHTAG] utapata breach kibao za ios,

hio kalunga kila forum unayojua wewe maarufu ya Apple hadi official forum ya Apple watu wanalalamika wamerambwa, na kama kawaida yao Apple watajibu you are doing it wrong
 
Upo serious kabisa mkuu? labda kama mwisho ulitumia simu ya iOS yenye iOS 6 huenda ukawa sahihi, labda ili mimi nisijitetee sana hebu jaribu kutafuta iPhone 6S (Apple flagship 2015) na Samsung Galaxy S6 (Samsung flagship 2015) halafu tafuta apps kama ishirini hivi ambazo unajua kuwa intensive kwenye resources utilization kama vile magame kisha fungua hizo apps zote kuanzia ya kwanza hadi ya mwisho kwenye simu zote, kisha rudi kuangalia ni simu gani imefanya vizuri kwenye true multitasking, ila usije ukawadanganya watu hapa kuwa iOS hakuna multitasking

Haya turudi kwenye hoja ya ecosystem maana wewe ndo ulianza kutoka nje ya maada, swali liliuliza ipi ni ecosystem nzuri? Maana ya ecosysytem nzuri ni nini kwa tafsiri yako? kwamba ni kuwa na apps nzuri zinazofanya kazi ipasavyo (efficiently and consistency as purposefully) au kuwa na apps nyingi kama unavyodai hapo juu, kwamba kukosekana kwa baadhi ya apps hata kama hazina umuhimu, leo hii Windows Store ana apps chache kuliko Play Store (Android Store zote) lakini kwangu ukiniuliza ipi kati ya hizo store ina ecosystem nzuri nitakujibu ni Windows Store, kwa nini? si kwa sababu ina apps nyingi bali it's not garbage bucket like Android stores, hivyo hivyo ukiniuliza kwa store zote nitaanza App Store itafuatia Windows Store na wengine watafuata nyuma hapo, hujawahi kujiuliza ni kwa nini developer wengi (serious developer only) apps zao huwa zinaanzia App Store halafu ndo zinafuatia store nyingine?

ok nikuulize swali rahisi tu kati ya App store na playstore ipi ina ecosystem nzuri kwa geeks na super user?
 
ok nikuulize swali rahisi tu kati ya App store na playstore ipi ina ecosystem nzuri kwa geeks na super user?
Ili niweze kukujibu hili swali lako labda uanzishe thread nyingine yenye kichwa cha habari "Kati ya App Store na Play Store ipi ina ecosystem nzuri kwa GEEKS na SUPER USER" nitakuja nikujibu lakini kwa hapa tunazungumzia in general ambapo geeks and super user are just little portion of users in a millions of users
 
Hapa ulitaka kusema nin shida ako unataka ios wafanane na mbwa wengine kitu ambacho Steve alikataaa af we kama rangi ya mkaa huna effect kwa hoja zako chakavu
Mama majadiliano ya kitaalam wewe huyawezi. Endelea na mada zako za kikahaba kule jukwaa la wakubwa. Endelea kuuza kyuma kule jukwaa la wakubwa. Huku waachie wataalam.

Wewe iphone tofauti na kupiga picha ya kyuma ukapost kule jukwaa la wakubwa unajua nini zaidi?
 
Mama majadiliano ya kitaalam wewe huyawezi. Endelea na mada zako za kikahaba kule jukwaa la wakubwa. Endelea kuuza kyuma kule jukwaa la wakubwa. Huku waachie wataalam.

Wewe iphone tofauti na kupiga picha ya kyuma ukapost kule jukwaa la wakubwa unajua nini zaidi?
si kasema amechagua iPhone sababu kuna kazi zingine android haifai.

kwakweli kwa kazi hiyo android itachemka,hapo haiwezi kufanya hizo kazi.
 
Ili niweze kukujibu hili swali lako labda uanzishe thread nyingine yenye kichwa cha habari "Kati ya App Store na Play Store ipi ina ecosystem nzuri kwa GEEKS na SUPER USER" nitakuja nikujibu lakini kwa hapa tunazungumzia in general ambapo geeks and super user are just little portion of users in a millions of users
actual hoja ya hapa ni hio sababu mtu kaniuliza ecosystem ipi ni nzuri nikamjibu hivyo
-Appstore ni user wa kawaida wasiojua vizuri tech
-playstore ni geeks na superuser

then nyie mkabisha mkakataa hio comment yangu na hii ndio source ya ubishi wote huu, na hata hayo matumizi niliotaja ya kuangalia movies, launcher etc ni ya ki geeks zaidi,

lakini i hope deep in your hearts mnaujua ukweli.
 
actual hoja ya hapa ni hio sababu mtu kaniuliza ecosystem ipi ni nzuri nikamjibu hivyo
-Appstore ni user wa kawaida wasiojua vizuri tech
-playstore ni geeks na superuser

then nyie mkabisha mkakataa hio comment yangu na hii ndio source ya ubishi wote huu, na hata hayo matumizi niliotaja ya kuangalia movies, launcher etc ni ya ki geeks zaidi,

lakini i hope deep in your hearts mnaujua ukweli.
Darasa murua sana yaani chief, isalnd, bavaria,wahed sunday bila kumsahau lukaku you made my weekend thanks brothers.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom