Urquhart
Senior Member
- Sep 8, 2014
- 129
- 146
angalia facts zako vizuri usipotoke! vijana wengi na wasioelewa simu wanatumia android, fanya tu utafiti vizuri, vijana wanataka kurushiana nyimbo, wanataka kurushiana picha, wanataka kuchomeka memory card, iPhone haina mambo hizo ni usumbufu kwa wengi, angalia hata hum jf tu kule kwenye matakangazo "nataka simu yenye android"! Kama mefatilia vizuri habari, ukaingalia watu kwenye zile foleni wote ni watu wazima wanaojitambua, wengi zaidi ni watu tech savvy, watu wengi wanaotumia iOS na Mac OS ni watu wenye uelewa wa technolojia ya mawasiliano.
Wow!!! What a biased opinion. But don't call it facts! Cz facts my friend say that, in a recent article by time magazine, Android has over 52.1 percent market share while Apple has 43.5! You clearly don't know what ur talking about? The reason why you see old people standing in the lines waiting for the next iPhone is because the iOS software is the most easy to use and adapt compared to Android, Windows or the dead RIM. I am a Software Engineer student 3rd year, so when you say tech savvy, you're in my area of enjoyment. Eti ni usumbufu kwa wengi? U mean u, that clearly don't know to what capacity can a smartphone perform or should perform. But once again, both of our opinions will be biased since we are fans of two different Eco-systems.Next time when u make such a biased comment, plz make it a Lil informative and support ur opinion with some strong facts.