Apple sold 4 million iPhone 6 and 6 Plus in first day

Apple sold 4 million iPhone 6 and 6 Plus in first day

wao wanaweza kununua kwa sababu ni za mkataba ila ingekuwa ni cash sisi nakuhakikishia hakuna mzungu angenunua ata kama apple ni kampuni yao...

hata ningekuwa mie ningkuwa nabadili hata kila miezi sita
 
believe you me kampuni hizi za kutengeneza OS kuna vitu wanaigana, android anaiga apple na apple anaiga android (kwa mfano Apple amefuata nyayo za android kutengeneza simu kubwa baada ya kuona android anafanikiwa huko). Ila viwango vinatofautiana. Na Kitu kikubwa kinachofanya android iwe inconsistent kidogo ni kwa sababu google wameachia source codes zinazowafanya watu kama samsung kucustomize OS. Apple na Microsoft (zamani Nokia) hawatoi source codes zao, kwa hiyo hamna anayeweza kumodify. Hilo linawaathiri google kwa sababu hakuna consistency kwa hiyo kugundua bugs na wapi pa kuboresha inawapa tabu. Pia inawafanya wasiwe wabunifu kwa haraka.
Apple kwa marekani inauza sana na kumbuka hata kwa wanamuziki, wakipata soko marekani wanakuwa wamepata market share kubwa sana. Lakini overall Android inakimbiza, 80% market share.
 
Vipi mkuu umeshanunua Note Edge? iPhone mwaka huu wameniangusha, lakin kuuza wameuza na wanaendelea kuuza, na bado utaona foleni zitavokuwa ndefu madukani! Hawa jamaa bana walmewekewa msingi mzuri sana na marehem Jobs, wanauza mpaka wanaumwa.

Zigo hili hapa baba, kila pipa linapakia iPhone 250000 (laki mbili na elfu hamsini) kutoka kulee kwa wale jamaa zetu wenye macho madogo kuelekea kwa jaluo na kwingineko.
View attachment 185733

Boss kwa hizo bei siwezi kugusa Note mzee. Ila Galaxy Note Edge naitamani sana. Ona bei sasa T-Mobile is going to offer the phone for $31.24/month with a 2-year contract. Interestingly, AT&T has revealed its no contract pricing of the Galaxy Note 4. The SIM-free version will cost you $825.99. You can also have it for $299.99 with a 2-year deal, as well.

In Europe, the phone will launch on October 10 with a rumored price tag of €699 for a SIM-free phone.

Hapo ni Note 4. Note $ Edge nasikia itaanzia $1000+
 
naskia crdb na voda wanatoa samsung , sijawahi kufuatilia lakini. wenzetu kampuni zao za simu wanasubsidize, iphone 6plus 32gb wanauziwa $259 kama skosei, anakuwa na mkataba wa kutumia mtandao huo tu kwa kulipia bundle ya kiwango fulani cha sauti na data kila mwezi, ikiisha miaka miwili anaruhusiwa ku-unlock, kampuni zingine ikitoka simu mpya unaruhusiwa kwenda kubadlisha na kulipa tofauti kidogo.


Unaweza kununua hyo $329 halafu ukaileta ukaunlock kwa hapa bongo??
 
Ku-unlock mpaka uwe na access ya server za carrier, ni ngumu mpaka ulipie tofauti.

Baada ya hyo miaka miwili ndo utaweza ku unlock?? hawa wabongo wana unlock nini??
 
Baada ya hyo miaka miwili ndo utaweza ku unlock?? hawa wabongo wana unlock nini??

UNALIPIA!,,,hao wabongo hawaaunlock, wanalipa kwa watu wenye uccess za kufanya official unlock, zamani ilikuwa rahisi tu ukijailbreak kulikuwa na tools za kufungua au unatumia givey lakini sku hizi kibano kimekuwa kikubwa,
 
wao wanaweza kununua kwa sababu ni za mkataba ila ingekuwa ni cash sisi nakuhakikishia hakuna mzungu angenunua ata kama apple ni kampuni yao...

Hata ningekuwa mie ningkuwa nabadili hata kila miezi sita

i see..............
 
hapa bongo nna uhakika wenye nazo hawajafika 500 tz nzima

500?? hyo unaongelea iphone 5 au? iphone 6 na 6+ bado hazjaingia.... kama kuna watu wanazo it means wamepurchase online ... yawezekana bado hazijafka ndo zpo njianiiiiiiiii
 
As some have said hapo juu, kuwa phones are sold in 2yrs contract "locked" but kiuhalisia ATT, Sprint, and Verizon phones are just "locked" if you are using it with another US carrier, ukiwa nje ya US you can use it anywhere because they are GSM unlocked(yes, even Verizon are required to have their phones GSM ready and unlocked).
T-Mobile wao wana mfumo tofauti, hawana contracts so as their customer they will sell you an unlocked phone you put a down payment and unalipia the phone monthly, without tough constraints on voice/data as other carriers. But all these subsidies are subject to credit check but hawako strick kivile.
TL;DR: iPhones sold in the US are GSM ready worldwide, they are usually locked ukiwa in the US tu, and even if they are locked when you travel abroad you can ask your carrier to for a temporary unlock which is not necessary sana. And because of this feature of phones being GSM ready wizi umeongezeka and they are being sold nje ya marekani a lot hence the introduction of iCloud lock and the new kill switch.
 
Sie wengine nikusoma tu kwenye internet basi na kuangalia ma youtube..
 
Technology is like fashion, what works for u, might not necessarily work for someone else. Ur taste doesn't mean it'll be my taste. I'm an Android fan, a well informed/knowledgeable fan. But I appreciate technology regardless of what brand I like. Apple sells because it has lots of teenagers and uninformed fans. But then again they make good products.
 
CYBERTEQ nimepokea jana Iphone 6+ Gold,ki ukweli nimependa,ukiishika mkononi ndio utajua.For the time being napumzika kubeba Ipad,Iphone 6+ na 5s,zinanitosha. Please fanya kuorder, you will not regret lol!
 
Last edited by a moderator:
CYBERTEQ nimepokea jana Iphone 6+ Gold,ki ukweli nimependa,ukiishika mkononi ndio utajua.For the time being napumzika kubeba Ipad,Iphone 6+ na 5s,zinanitosha. Please fanya kuorder, you will not regret lol!

hahahahaa, wamekupa na pesa uje kuniconvice nini?!!...mwaka huu wamenikosa na hiyo design yao sijapendezwa nayo. tofauti gani kubwa na iphone5s ambayo umeiona, tofauti na kioo ni nini mkuu? najua bado unaichezeachezea utagundua mapya. ni heri wife wangu hachaguagi simu, toka nilivyomwachia 5 mpaka leo wala hana maneno na hajawahi kuona tofauti ya 5 na 5s...mbona lingekuwa deni! hongera lakini mkuu, ukiendelea kuniconvice huenda nikalegeza kidogo msimamo!
 
Technology is like fashion, what works for u, might not necessarily work for someone else. Ur taste doesn't mean it'll be my taste. I'm an Android fan, a well informed/knowledgeable fan. But I appreciate technology regardless of what brand I like. Apple sells because it has lots of teenagers and uninformed fans. But then again they make good products.

angalia facts zako vizuri usipotoke! vijana wengi na wasioelewa simu wanatumia android, fanya tu utafiti vizuri, vijana wanataka kurushiana nyimbo, wanataka kurushiana picha, wanataka kuchomeka memory card, iPhone haina mambo hizo ni usumbufu kwa wengi, angalia hata hum jf tu kule kwenye matakangazo "nataka simu yenye android"! Kama mefatilia vizuri habari, ukaingalia watu kwenye zile foleni wote ni watu wazima wanaojitambua, wengi zaidi ni watu tech savvy, watu wengi wanaotumia iOS na Mac OS ni watu wenye uelewa wa technolojia ya mawasiliano.
 
hahahahaa, wamekupa na pesa uje kuniconvice nini?!!...mwaka huu wamenikosa na hiyo design yao sijapendezwa nayo. tofauti gani kubwa na iphone5s ambayo umeiona, tofauti na kioo ni nini mkuu? najua bado unaichezeachezea utagundua mapya. ni heri wife wangu hachaguagi simu, toka nilivyomwachia 5 mpaka leo wala hana maneno na hajawahi kuona tofauti ya 5 na 5s...mbona lingekuwa deni! hongera lakini mkuu, ukiendelea kuniconvice huenda nikalegeza kidogo msimamo!
Bado nakodolea mimacho tu,kesho nitaweka line nikianza kuitumia,nitakujulisha Mkuu,only mwonekano wake si mbaya sana,japo hizo curved corner zinaboa kidogo.Ha ha ha,nitakuconvince mkuu,kama sio wewe basi wife umpatie surprize,na hivi hana makuu,utakuwa umemtendea haki.
 
angalia facts zako vizuri usipotoke! vijana wengi na wasioelewa simu wanatumia android, fanya tu utafiti vizuri, vijana wanataka kurushiana nyimbo, wanataka kurushiana picha, wanataka kuchomeka memory card, iPhone haina mambo hizo ni usumbufu kwa wengi, angalia hata hum jf tu kule kwenye matakangazo "nataka simu yenye android"! Kama mefatilia vizuri habari, ukaingalia watu kwenye zile foleni wote ni watu wazima wanaojitambua, wengi zaidi ni watu tech savvy, watu wengi wanaotumia iOS na Mac OS ni watu wenye uelewa wa technolojia ya mawasiliano.
Asante kwa jibu mwafaka,asipoelewa hapa,hatuna msaada zaidi wa kumsaidia kuelewa ni nini maana ya products za Apple!
 
Bado nakodolea mimacho tu,kesho nitaweka line nikianza kuitumia,nitakujulisha Mkuu,only mwonekano wake si mbaya sana,japo hizo curved corner zinaboa kidogo.Ha ha ha,nitakuconvince mkuu,kama sio wewe basi wife umpatie surprize,na hivi hana makuu,utakuwa umemtendea haki.

poa mkuu, ukishabofyabofya nipe mrejesho. hizo curve tu ndiyo mimi wameniuwa, lakini naskia si mbaya sana kwa sababu wameifanya nyembamba sana, ngoja kwanza nijikaze kisabuni, nikishindwa ntakwambia tu kwamba nimeshakamatika...lol!
 
Back
Top Bottom