Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,882
- 38,513
Kwanza wanaume mnaotumia iPhone mmelegea sana, unaweza shikwa hata kalio ukaishia kusema "NIACHE BWANA"Mfuko babu acha kusingizia hisia
Kwanza wanaume mnaotumia iPhone mmelegea sana, unaweza shikwa hata kalio ukaishia kusema "NIACHE BWANA"Mfuko babu acha kusingizia hisia
Watu tunakuwa watumwa wa teknolojia bila kujua.siwezi tumia simu isiyo support whatsapp/instagram
ukifika huo wakati namimi nita ji update ila kamwe hutoniskia
eti nimerukia iphone x sjui s11 never never never
Chanzo cha habari tafadhalibaada ya minong'ono ya muda mrefu kwamba Apple katika simu zao za 2020, ambazo zinatarajiwa kuwa apple iphone 9(se 2)12,12pro,12 pro max, kuhamia usb type c, sasa kama kawaida yao wazee suprise wamekwepa umbea na kuamua kuja na idea yao mpya kabisa,wanatoa kabisa tundu la charger,hivyo hatutarajii tena kutumia simu ikiwa ina chajiwa.
japokuwa wadau mbali mbali wametabiri changamoto katika uhamishaji wa data kutoka katika vifaa nje ya ecosystem ya apple,lakini bado apple wanaonyesha wamejipanga kabisa na mabadiliko hato,kwani hiyo wireless charger itakuwa na uwezo huo wa kuhamisha files pia.
ndio, tech inakwenda kasi, tusubiri Mkorea atakuja na kitu gani kama jibu.
Zaidi ya kutumia Mac book pro lkn bad simu zao sina mzuka nazoSijawahi vutiwa na iPhone sijui ndio ushamba wangu.
sio kweli, hawa jamaa wana research team iliyokamilika,halafu wepesi kutoa updatesHawa apple huwa wanakurupuka kama bother K
Hawawezi fanya maamuzi bila kujua hayo yote.Naomba wasije wakawaambukiza haya makampuni mengine ya simu maana mafundi wa kuflash itakula kwao. Lakini nadhani wakilifikiria hilo hawatakurupuka maana maintenance itafanyika vipi?
vitu vingine ni "self awareness" mtu ajitambue tu anataka niniWatu tunakuwa watumwa wa teknolojia bila kujua.
Acha hizo mkuu, wengine hatuna interest na iphone hapa mimi natumia S9 plus, sasa calculate hiyo bei uone kama haitoshi kununua iphone.
Give me more optiins, not less.baada ya minong'ono ya muda mrefu kwamba Apple katika simu zao za 2020, ambazo zinatarajiwa kuwa apple iphone 9(se 2)12,12pro,12 pro max, kuhamia usb type c, sasa kama kawaida yao wazee suprise wamekwepa umbea na kuamua kuja na idea yao mpya kabisa,wanatoa kabisa tundu la charger,hivyo hatutarajii tena kutumia simu ikiwa ina chajiwa.
japokuwa wadau mbali mbali wametabiri changamoto katika uhamishaji wa data kutoka katika vifaa nje ya ecosystem ya apple,lakini bado apple wanaonyesha wamejipanga kabisa na mabadiliko hato,kwani hiyo wireless charger itakuwa na uwezo huo wa kuhamisha files pia.
ndio, tech inakwenda kasi, tusubiri Mkorea atakuja na kitu gani kama jibu.
Mkuu ninaomba msaada wako.Ukishakuwa gamer wa pc hasa kwenye mambo ya "oceanofgames" huwezi vutiwa na iphone.
Unafikiri Yesu Kristo ni yule Taahira Muhammad Mbakaji aliyembaka mtoto Aisha wa miaka 9?Ndoto za alinacha hizo, Yesu arudi kutoka wapi??, Yeye alijifia zake huko Kashmiri zamani sana.
Angalia documentary ya BBC on; Rozabal shrine.
Sawa na iphone 7 na kushuka chini.S9 plus sawa na iphone ipi kwa bei?
Sawa na iphone 7 na kushuka chini.
Hata iphone 8 unapata.
Inategemea umenunulia wapi!
Kwako wewe mkuu.Hizo zishakua nzee.... outdated
Unafikiri Yesu Kristo ni yule Taahira Muhammad Mbakaji aliyembaka mtoto Aisha wa miaka 9?
Yule Laanatulah wa Maka na Madina ndiye aliyekufa akiwa chongo baada ya kuadhibiwa kwa upanga akitangaza lifestyle ya Waarabu wakati huo kuwa eti ni dini.
Ninamuachia Mungu akujibu.
Wewe una dharau kwa Dini ya mwenzio ila ukiguswa kidg tu unalaani laaniNinamuachia Mungu akujibu.
Kwako wewe mkuu.
Ila 7 na 8 kimtaa mtaa bado ipo juu na bei yake haijachuja, sio chini ya 500k